Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Samwel Luhanga lazima anyenyekee kwa hao jamaa, kwasababu ndio walimpa elimu, wasingekuwa hao jamaa angekuwa mvuvi kule bagamoyo, na mwenyekiti wa kijiji cha msoga.chadema wanataka kuligawa taifa
Ohooo sasa suti si za kanisani nazoHao waarabu wenyewe wamekuja kidini dini,
Kwanini wafunge mashuka ya kimasai kichwani na wavae makanzu yao? Suti hawazijui?
Kwa vipi?chadema wanataka kuligawa taifa
Kila mmoja na utamaduni wakeHao waarabu wenyewe wamekuja kidini dini,
Kwanini wafunge mashuka ya kimasai kichwani na wavae makanzu yao? Suti hawazijui?
Hayo ameyasema Rais mstaafu Jakaya mrisho kikwete
Na kweli sio vizuri kuchanganya dini na siasaView attachment 2723188View attachment 2723189
"TANZANIA INA WENYEWE NA WENYEWE NI CCM, CCM, CCM".chadema wanataka kuligawa taifa
chadema wanataka kuligawa taifa
Ikijadiliwa hii kitu wanasema dini isichanganyweDIPI WEDI?[emoji23]
Exactly! Siasa inaanzia nyimbani hadi kila sehem.Politics is everywhere
KabisaExactly! Siasa inaanzia nyimbani hadi kila sehem.
Siasa inaamua
Tulipwe kiasi gani
Tulipe kiasi gani
katika elimu, biashara, kilimo, ufugaji, n.k
Kweli kabisa..Exactly! Siasa inaanzia nyimbani hadi kila sehem.
Siasa inaamua
Tulipwe kiasi gani
Tulipe kiasi gani
katika elimu, biashara, kilimo, ufugaji, n.k
est“Roma locuta… causa finita
Duuuh! Kweli we mburula,Hao waarabu wenyewe wamekuja kidini dini,
Kwanini wafunge mashuka ya kimasai kichwani na wavae makanzu yao? Suti hawazijui?
Umeandika nini sasa hapa?Duuuh! Kweli we mburula,
Unaabudu sana suti pumbavu wewe, kwa taarifa yako kanzu haiwakilishi dini nyau wewe, kanzu hata papa na yesu wanavaaUmeandika nini sasa hapa?
Bichwa kama fenesi,