Picha: Inawezekana kujenga nyumba kwa Design hii kwa milioni 16?

Picha: Inawezekana kujenga nyumba kwa Design hii kwa milioni 16?

Kwa haraka haraka naona milioni 16 haitoshi hapo.

Msingi wake si mchezo, ni kama kighorofa fulani.
 
Inaweza kiasi gani cost yake
Hapo sio at uongeze gharama za kibari ndio aendelee kujenga. No. Ipo hiv; Maelezo ya mwanzo ya jamaa aliewekewa X. Ramani yake sio ya gorofa alioombea kibari, ilikuwa nyumba ya kawaida ambayo pale mbele kibarazani pana zege juu badala ya bati. wengine huwa wanaweka tank la maji au dish.
sasa jamaa wakati anajenga akaamua kugeuza au kajiongeza kifikra kuwa ajenge kibaraza cha juu na chini ili akapunge upepo juu akitaka. Hapo ndio wakamwekea X asiendelee na hicho kibalaza. Hapo hakuna kuongeza pesa uendelee ni stop plan ya mwanzo alioombea kibari sio gorofa.na beam aliweka hizi za kawaida. Japo zingebeba mana ni kakibalaza tu sema sheria ya gorofa beam zina vipimo vyake
 
Kuna Wasanifu (Architect), Wakadiliaji (Quantity Surveyor), wahandisi (Engineers) wa ujenzi, umeme, mifumo ya maji
Kwa mjengo kama huo, hao wataalamu wanaweza kugharimu kiasi gani kwenye michoro/drawings
 
Kwa mjengo kama huo, hao wataalamu wanaweza kugharimu kiasi gani kwenye michoro/drawings
Bei ni tofauti kulingana na level ya service utakayotaka. Mfano kama utataka service hiishie kwenye design peke yaka na kuwa na more detailed drawings ama hata kwenye ujenzi ashiriki ili ku hakikisha ubora wa kazi na kile kilichokuwa designed kwenye paper kinakuwa halisi
 
Back
Top Bottom