makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kwa haraka haraka naona milioni 16 haitoshi hapo.
Msingi wake si mchezo, ni kama kighorofa fulani.
Msingi wake si mchezo, ni kama kighorofa fulani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sio at uongeze gharama za kibari ndio aendelee kujenga. No. Ipo hiv; Maelezo ya mwanzo ya jamaa aliewekewa X. Ramani yake sio ya gorofa alioombea kibari, ilikuwa nyumba ya kawaida ambayo pale mbele kibarazani pana zege juu badala ya bati. wengine huwa wanaweka tank la maji au dish.Inaweza kiasi gani cost yake
Kwa mjengo kama huo, hao wataalamu wanaweza kugharimu kiasi gani kwenye michoro/drawingsKuna Wasanifu (Architect), Wakadiliaji (Quantity Surveyor), wahandisi (Engineers) wa ujenzi, umeme, mifumo ya maji
Bei ni tofauti kulingana na level ya service utakayotaka. Mfano kama utataka service hiishie kwenye design peke yaka na kuwa na more detailed drawings ama hata kwenye ujenzi ashiriki ili ku hakikisha ubora wa kazi na kile kilichokuwa designed kwenye paper kinakuwa halisiKwa mjengo kama huo, hao wataalamu wanaweza kugharimu kiasi gani kwenye michoro/drawings
mkuu wewe ni akina kamugisha au?Halafu hii Garage Land cruiser V8 itatoshea kweli hapo?