Picha: Inawezekana kujenga nyumba kwa Design hii kwa milioni 16?

Picha: Inawezekana kujenga nyumba kwa Design hii kwa milioni 16?

Kwa hiyo wewe ukienda hospital unataka Dr ahisi ugonjwa wako? Mkuu tusirahisishe maisha namna hiyo. Vitu makini vinahitaji analysis za uhakika.

Mafundi wa mtaani 90% hawajui kukadiria, hawajui hesabu, tunafanya nao kazi tunajua. Mpe ramani kamili mwambie hii ramani kwenye eneo hili niandae tofali ngapi walau, hakupi jibu hata linalokaribiana. Kama tu budget yake ya gharama za kujenga haziwezi, ataweza kukukadiria jengo lako?
Hapo fundi unampa lawama hasizo stahili. Kwenye ujenzi kuna taaluma nyingi zinafanya kazi kwa pamoja. Kuna Wasanifu (Architect), Wakadiliaji (Quantity Surveyor), wahandisi (Engineers) wa ujenzi, umeme, mifumo ya maji, mifumo ya air-conditioning na mifumo ya mawasiliano then ndipo wanafuata mafundi.
Fundi kumbebesha mzigo wa kukadilia ni kumuonea tu. Watu wengi wanaojenga ukwepa kutumia wataalam wa ujenzi na kumbebesha fundi mzigo wote wakidhani wanapunguza ghalama. Kimsingi hawapunguzi bali wameongeza ghalama bila kujua kwani matokeo yake ni kujenga nyumba substandard kwa ghalama kubwa.
 
Nyumba imenivutia design yake. Ila kwa 16M hufiki popote mkuu
 
Naona watu wameshindwa kumuuliza muhusika swali la msingi kwamba hilo jengo anajengea wapi?

Ujenzi wa mji kama wa Dar huwezi kuufananisha na wa Mbeya,gharama zinazidiana mkoa kwa mkoa,kwa hela hiyo mkoa A inaweza kutosha au akaongeza kidogo wakati mkoa B inaweza isifikishe hata 50% ya ujenzi.
Sio mkoa kwa mkoa tu hata hapa dsm unatofautiana sana, ujenzi wa kivule na goba ni tofauti
 
Hii ramani kali sana, nimeipenda ni nyumba ya vyumba viwili, nimeitoa huko Twitter kwa mnigeria, mwenyewe anadai anaweza kukujengea nyumba kama hiyo ya kwa Naira milioni 5 tu ambapo hiyo ni sawa na milioni 15 na laki 9 kwa pesa za kibongo (15,907,496.08)

Yule jamaa kama ni kweli anaweza kujenga hiyo nyumba kwa kiasi hicho Cha pesa basi atapata wateja wengi sana maana nimeona watu wengi wamemuomba mawasiliano yake japo wapo watu walio doubt kwamba ni japo lisilowezekana.

Halafu pia kwenye Comment Section kupitia hiyo tweet yake nimeona jamaa Kasema kwao mfuko mmoja wa cement ni Naira 8,400 ambayo ni sawa na Tsh 26,700, hiyo ni gharama kubwa sana ukilinganisha na bei ya huku kwetu ambayo inachezea kwenye 16,500 hadi 18,000 je kwa fact hiyo inawezekana kushusha mjengo kama huo kwa milioni 16 pekee

Eniwei, Mimi nimeipenda hiyo ramani hata kama itanicost milioni 50 fresh tu ilimradi kitu kitoke kama kilivyochorwa hapo japokuwa jamaa kasema hiyo design ni best suitable for 2 bedroom ila Binafsi ningependa iwe 3 bedrooms hata kwa ku convert hiyo Car garage hiyo hapo chini to another room

Kuna Eng hapa Bongo anaweza modify hiyo ramani iwe 3 bedrooms instead of 2 bedrooms?View attachment 2683359
Mpaka miaka ya leo kuna mabata bado mnapigwa deal na hizo mbuzi za Kinaigeria?
 
Ina maana arch wa hapa home ni vilaza sana hawawezi kufanya reverse engineering na kupata ndani kupoje?
Kama hawawezi basi si wakisie(trial and error) waunde model tofauti za vyumba ili kipata minimum cost modal.
Nadhani wataalamu haoa wanaweza kabisa kupata namna vyumba vinaweza kijipanga na kupata uhalisia wa gharama.
 
ramani ndo hiyo kwa milion 16 hapa hutoboi
IMG_20230711_113655.jpg
IMG_20230711_113405.jpg
IMG_20230711_113436.jpg
IMG_20230711_113328.jpg
 

Attachments

  • IMG_20230711_113328.jpg
    IMG_20230711_113328.jpg
    30.1 KB · Views: 10
Dunia inaenda kwa kasi huu upauaji kwenye picha ndio upauaji utakaokuja kutrend mbeleni hapo, muda si muda watu wataachana na contemporary
 
Hii ramani kali sana, nimeipenda ni nyumba ya vyumba viwili, nimeitoa huko Twitter kwa mnigeria, mwenyewe anadai anaweza kukujengea nyumba kama hiyo ya kwa Naira milioni 5 tu ambapo hiyo ni sawa na milioni 15 na laki 9 kwa pesa za kibongo (15,907,496.08)

Yule jamaa kama ni kweli anaweza kujenga hiyo nyumba kwa kiasi hicho Cha pesa basi atapata wateja wengi sana maana nimeona watu wengi wamemuomba mawasiliano yake japo wapo watu walio doubt kwamba ni japo lisilowezekana.

Halafu pia kwenye Comment Section kupitia hiyo tweet yake nimeona jamaa Kasema kwao mfuko mmoja wa cement ni Naira 8,400 ambayo ni sawa na Tsh 26,700, hiyo ni gharama kubwa sana ukilinganisha na bei ya huku kwetu ambayo inachezea kwenye 16,500 hadi 18,000 je kwa fact hiyo inawezekana kushusha mjengo kama huo kwa milioni 16 pekee

Eniwei, Mimi nimeipenda hiyo ramani hata kama itanicost milioni 50 fresh tu ilimradi kitu kitoke kama kilivyochorwa hapo japokuwa jamaa kasema hiyo design ni best suitable for 2 bedroom ila Binafsi ningependa iwe 3 bedrooms hata kwa ku convert hiyo Car garage hiyo hapo chini to another room

Kuna Eng hapa Bongo anaweza modify hiyo ramani iwe 3 bedrooms instead of 2 bedrooms?View attachment 2683359
Hii uliyoweka ni ramani au picha?!
 
Ngoja jumba bovu liwaangukie Mnigeria ana lake jambo.
Kwani Mnigeria kasema anajenga nyumba TANZANIA ????
Bei yenyewe kataja kwa naira, sio hata dollar, walengwa wake ni Wanaigeria, sasa utapigwaje na huyo mtu ? Mi nilidhani discussion ni je, kweli inawezekana kwa hapa Tanzania ukiachana ha huyo Mnigeria?

Kwa mimi hicho kijumba ni kibovu ajabu. Mbele kuna ki craw space, yani unaingia kwa kutambaa, gari haiingii wala mtu hasimami wima, cha nini ? Na ardhi ni tambarare, sasa amepandisha level upande mmoja na kuweka craw space ili iweje ???

Na ki ngazi cha mbele kinapiga kona bila sababu, chembamba kama kinjia cha kuku wakati nafasi ipo kama ngazi zisingepiga kona...

Dirisha la vioo kuanzia darini mpaka sakafuni, well, kama unajenga kijumba cha kichumi kama hicho ina maana hela huna, walinzi huna, ukuta huna na umekijenga high density, high crime area, Kizuiani Mbagala, panya road wanaingia kwa kupiga kofi dirisha. The design is atrocious.


img_20230709_200811-jpg.2683359
 
Mimi naomba kujua kama 1.5 storey kama hii inahutaji design approval kama mgorofa? Yaani architects, structural, umeme, maji na bango? Au ni kawaida tu kama tunavyofanya mijengo ya kawaida?
 
Ndani jamaa kagoma kuonesha isipokuwa kwa wale ambao wapo tayari kufanya nae kazi
Hiyo ramani sio yake, picha hiyo katoa mtandaoni, nimeshaiona. Hilo jengo linafaa kwenye slope kidogo. Pia naamini kuna ramani nzuri zaidi ya higo. cha msingi hapo eneo lako likoje. Unachukua ramani hakikisha iendane na site, km hilo umezingatia sawa. kurekebisha garage kuwa chumba hapo hakitakaa sawa mana urefu mdogo, katakuwa kama kaandaki.
 
Mimi naomba kujua kama 1.5 storey kama hii inahutaji design approval kama mgorofa? Yaani architects, structural, umeme, maji na bango? Au ni kawaida tu kama tunavyofanya mijengo ya kawaida?
Hilo gorofa kaka. kuna mtu alipigwa X kibalaza tu cha nche mbele baada ya kujiongeza akataka aweke ngazi na sehemu ya kupumzikia juu. Akakuta X hakuna kuendelea juu
 
Hii ramani kali sana, nimeipenda ni nyumba ya vyumba viwili, nimeitoa huko Twitter kwa mnigeria, mwenyewe anadai anaweza kukujengea nyumba kama hiyo ya kwa Naira milioni 5 tu ambapo hiyo ni sawa na milioni 15 na laki 9 kwa pesa za kibongo (15,907,496.08)

Yule jamaa kama ni kweli anaweza kujenga hiyo nyumba kwa kiasi hicho Cha pesa basi atapata wateja wengi sana maana nimeona watu wengi wamemuomba mawasiliano yake japo wapo watu walio doubt kwamba ni japo lisilowezekana.

Halafu pia kwenye Comment Section kupitia hiyo tweet yake nimeona jamaa Kasema kwao mfuko mmoja wa cement ni Naira 8,400 ambayo ni sawa na Tsh 26,700, hiyo ni gharama kubwa sana ukilinganisha na bei ya huku kwetu ambayo inachezea kwenye 16,500 hadi 18,000 je kwa fact hiyo inawezekana kushusha mjengo kama huo kwa milioni 16 pekee

Eniwei, Mimi nimeipenda hiyo ramani hata kama itanicost milioni 50 fresh tu ilimradi kitu kitoke kama kilivyochorwa hapo japokuwa jamaa kasema hiyo design ni best suitable for 2 bedroom ila Binafsi ningependa iwe 3 bedrooms hata kwa ku convert hiyo Car garage hiyo hapo chini to another room

Kuna Eng hapa Bongo anaweza modify hiyo ramani iwe 3 bedrooms instead of 2 bedrooms?View attachment 2683359
Ndoto za Alinacha.
 
Back
Top Bottom