KWELI Picha inayoonesha watu wakinywa maji machafu pembeni ya dimbwi imepigwa nchini Tanzania

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Kila kukicha ni afadhali ya Jana, Tz ya 2020 ++ Ina maisha magumu kuliko ya miaka ya mkoloni
 
Ooh kama toka 2015 hadi sasa wapo hivyo, serikali Iko wap hapo?

Au serikali ipo DAR pekeake,
Serikali haiangaiki na wamasai wapumbavu wanaoama ama sana Kila Kona ya nchi hii
 
The people of Wami Sokoine village, Mvomero district, Morogoro region have complained about using dirty water used by livestock for a long time, a situation that threatens the health of the people for fear of getting diseases.
Huu si ni uchochezi tu? Hebu futa maneno WAMI SOKOINE VILLAGE andika Nzega au Makunduchi au Pemba au Rombo, tofauti ni nini? Nani anapenda maji machafu? Hizi ni mbinu ovyo za Wapinzani kujijengea uhalali, kufitinisha wananchi na serkali yao. Si muda baadaye watasema "MIAKA SITINI BAADA YA UHURU" au "WENYEWE WANATEMBELEA VX". Cheap politics.
 
Je, hii picha ni Tanzania?

View attachment 2427093
Hili ni tambiko la kabila la Wakaguru. Mvua ya kwanza ukinywa maji yake huwa yana neema kwa mwaka mzima. Na si hapa tu - ukienda India, mji wa Veranasi jimbo la Bihar panapogawanyika Mto Ganges kuelekea Bangladesh, Wahindu hupaona ni mahala patakatifu kunywa kuoga au hata kufa sehemu hiyo. Kila mwaka Mahujaji huwa ni wengi kuliko Makka.
 
hapa lazima kuna walakini.

haiwezekani jamii hiyo yote pasiwe na hata mmoja mwenye Ustaarabu wa kutumia chombo mbadala na ndoo
Wanakunywa baada ya hapo wanachota ya kubeba kupeleka majumbani mwao, bilauri au vikombe si sehemu yake hapo.
 
Hayati alijaribu kufika maenei yooooote TZ. Bila kubagua mjini au vijijini , ila kazi ya muuumba haina makosa ikaishia njiani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…