Picha: Irene Uwoya, The undisputed [emoji91]

Picha: Irene Uwoya, The undisputed [emoji91]

Sawa hiv amechoka sana k ni zaidi ya mapango ya amboni
 
Bongo movie wanajua Sana kufake maisha..
Mtafute ndogo janja akuambie ukweli kuhusu huyu Dada.
Hivi ana nyumba? Ngapi?
Unajua huyu Dada kuna kipindi nyuma ndikumana akiwa hai walikua wamepangisha mahali walishindwa kulipa kodi wakafurumushwa wakakuta mwenye nyumba katoa vitu vyao nje watu wakawaibia...ndo mwanzo akaanza kudanga hadi alipofumaniwa na mondo..
Halafu mnavompaisha kwao mambo safi..si tungeona hata unaenda kuchukua range rover kwao atambie mtaani..kiko wapi
Hapo sasa
Maisha ya mitandaoni wizi mtupu
 
Nilimwona kwenye video fulani akiwa na kina Steve Nyerere anatembea. Dah wazee. Msidanganywe na haya mapicha. Tipwa kbs ila kwa picha kiuno chembamba! [emoji23]
 
Ana sura tu nzuri ila umbo umedanganya Binamu, naona editing zinakudanganya
 
Lulu yuko wapi jamani hizi zilikua ndio dili zake town au ndoa imembana
 
Duh, umaarufu kweli una gharama zake, hii mitusi humu kama una roho nyepesi waweza kuijtoa uhai.
 
Watanzania tawana hasira ya kukua kimaisha wanaridhika haraka sana. Muda huu hata kama pesa ni ya demu angetumia kukuza mtaji zaidi ili kuweka akiba ya baadae maana hata muziki wake anaoimba ni wa kiwango cha chini , na sio muda yatamkuta ya Marlow.
 
Ukifika hapo Last Minute Lounge unaweza kupata shinikizo la ghafla
 
Back
Top Bottom