Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Yes hata mimi nijuavyo, mali za wazaz ni urithi wa watoto maana mke/anaweza kuwa na mwenza wake mwingne
Sanasana kama kuna pesa ipo basi mjane/mgane anaweza kuambulia
Mambo ya ndHapana huyo alikuwa waziri kamili enzi za JK
mtoto akishakuwa anaondoka kwao kwenda kujitegemea na kuanzisha family yake,mke nabaki palepale na mme hadi kifo kiwatenganishe,lakini hata baada ya kifo,mke pale ni kwake bado,watoto wadogo pale ni kwao,automatically favour iko kwa mjane na watoto wadogo kuliko hao wakubwa wanaojitegemea
waambie na wenzio hakuna kitu kama hichomtoto akishakuwa anaondoka kwao kwenda kujitegemea na kuanzisha family yake,mke nabaki palepale na mme hadi kifo kiwatenganishe,lakini hata baada ya kifo,mke pale ni kwake bado,watoto wadogo pale ni kwao,automatically favour iko kwa mjane na watoto wadogo kuliko hao wakubwa wanaojitegemea
hahahahahahahaha!!Watu wa mujini wanakunywa K-Vant, hembu mfundishe askofu, Lusekelo anaujua mchezo.
Sure broh, mimi hili nililiona kitambo..... kuna mijitu nilikuwa nikiiambia inakuwa migumu kuamini, kama jamaa itakuwa kaacha will ambayo inaonesha K lyn anapesa ndefu ni lazima kutakuwa na uwalakini hapo.Kama haya yanayosemwa yana ukweli na Mengi kaacha will inayompa Jackie percentage kubwa kuliko watoto wakubwa basi lawyers wajiandae kuvuna mpunga mrefu maana naona kuna kesi kubwa inakuja muda si mrefu ujao.
HASA YAKIWA HAYAKUHUSUMambo ya kawaida sana haya.
jamani hebu mtujuze kuhusu hawa WAMACHAME mbona wanaongelewa tofauti!!!!.. kuna kitu gani hatari kutoka kwao mpaka watishe kiasi kisichojulikana!!!?Jamani Jamani wanazengo Leo wambea tutakufa kwa pressure maana sio kwa double breaking news za Leo , yani wakati sakata la gwajima bado likiwa bichi, Jipya laibuka kuhusu mke wa marehemu mengi akiwa kwenye picha ya pamoja na mwanaume aliyetajwa kutoka nae kimapenzi anayejulikana kwa Jina la Hussein mmliki wa element bar na balozi.
View attachment 1091442
Ila wanazengo Leo nimemuangalia jacky kwenye msiba alivyo mkavu na tinted juu sijui alikua anaficha nini usoni, yan ukiangalia kwa makini utasema Madam ritha Ndo alikua mfiwa Na sio jacky, na ndio maaan hata watu walikua hawana time naye kabisa kumpa pole, yan Yale maneno ya mange yanaanza kuniingia kichwani, jacky she is a Jezebel .
Mi nilivyoona mange kataja mpaka Jina la mwanaume mpaka picha ikapostiwa pale pale mbea mie nikawa alerted there is something danger.
View attachment 1091444
Unajua kwa stage aliyofikia mengi hakupaswa Kuwa na stress kabisa , huenda aligundua kitu kutoka kwa jacky, na kama mnavyojua babu yetu alikufa na kuoza kwa jacky, alikua aambiliki, Ila sema Ndo hivyo mapenzi upofu.
Na nimemuona regina alivyonuna wakati kabeba shada ya maua mmh yani jacky ajiandae tu kuvuliwa nguo , na kama tu ikijulikana alikua anacheat, itakula kwake hataambulia hata Mia na wamachame watamfanyia kitu mbaya atajuta maisha yake yote View attachment 1091186
Hizi picha ni photoshop, ukizichunguza utagundua hazina ukweli wa details.Jamani Jamani wanazengo Leo wambea tutakufa kwa pressure maana sio kwa double breaking news za Leo , yani wakati sakata la gwajima bado likiwa bichi, Jipya laibuka kuhusu mke wa marehemu mengi akiwa kwenye picha ya pamoja na mwanaume aliyetajwa kutoka nae kimapenzi anayejulikana kwa Jina la Hussein mmliki wa element bar na balozi.
View attachment 1091442
Ila wanazengo Leo nimemuangalia jacky kwenye msiba alivyo mkavu na tinted juu sijui alikua anaficha nini usoni, yan ukiangalia kwa makini utasema Madam ritha Ndo alikua mfiwa Na sio jacky, na ndio maaan hata watu walikua hawana time naye kabisa kumpa pole, yan Yale maneno ya mange yanaanza kuniingia kichwani, jacky she is a Jezebel .
Mi nilivyoona mange kataja mpaka Jina la mwanaume mpaka picha ikapostiwa pale pale mbea mie nikawa alerted there is something danger.
View attachment 1091444
Unajua kwa stage aliyofikia mengi hakupaswa Kuwa na stress kabisa , huenda aligundua kitu kutoka kwa jacky, na kama mnavyojua babu yetu alikufa na kuoza kwa jacky, alikua aambiliki, Ila sema Ndo hivyo mapenzi upofu.
Na nimemuona regina alivyonuna wakati kabeba shada ya maua mmh yani jacky ajiandae tu kuvuliwa nguo , na kama tu ikijulikana alikua anacheat, itakula kwake hataambulia hata Mia na wamachame watamfanyia kitu mbaya atajuta maisha yake yote View attachment 1091186
hela achana nayo unaambiwa hela ni nzuri kuliko mwanamkeGwajima ndio anakula hiinkitu. Duh shikamoo ela
Hivi nyinyi hamuoni hii kama ni muvi hii inaonekana familia ya mzee inataka imuondoe kwenye urithi huyu dada hii picha ni ya zamani sana kabla hata smartphone hazijaingia hiyo ni nokia90 nakumbuka nilikuwanayo ilikuwa inatoa picha kama hizo kabla hajawa na mengi
We ndiyo hujui kitu lambi lambi ndiyo nini!!?Yani watu wote humu hamjui mnachokiongea mmekalia chuki tu kuongea kwa mihemko hata sheria hamjui kwa taarifa yenu kisheria wale watoto wadogo ndio wanaurithi mkubwa kushinda wote wale wana 50% hizo zinazobaki ndo wanagawana wakubwa na mjane alieachwa watoto wanapewa urithi mkubwa kwasababu hawajitegemei bado wadogo ndo maana hata Magu aliwapa watoto wa jacky lambi lambi hamjiuliz kwanini hakumpa yule kijana punguzen chuki kuongea msichokijua
70% ya ndoa hazijabase kwenye mapenzi,mwanaume anataka farijiko la moyo wake in exchange anaprovide economic security kwa mwanamke,so argument kuwa jack hakumpenda mengi ni irrelevant
Mengi na ujanja wote kaenda jenga mtoni