Professor kipuyuyu
Member
- Feb 11, 2018
- 48
- 63
Hili swala limenifanya nifikiri sana mkuu.
Na ni wasiwasi wa kwanza ambao utakuwa umewapata watoto
Shida sio kazikuta
Shida ni kuwa ukiwa mtu mwenye familia akifa mali zinabaki za familia
Sa familia ya mengi ni nani sahv, japo wayoto wa nje wa Meng nao wana haki
Itapendeza sana huu mjadala wanasheria wakitia michango yao, watu wanasema k Lynn ameachiwa will ambayo atachukua nusu ya estate ya decesead bila ya kufikiria kwamba inawezekana marehemu aliandika will nyingine baada ya hiyo ambayo beneficiaries wake anawajua yeye na mwanasheria take, kwa move kama hii navyojua latest will ndio itakuwa valid on the court of law.Hata kama aliandika,prosecution wanawezatoa uhakiki mahakamani kua mzee aliandika akiwa mgonjwa..
Wakichukua medical records nk wanaweza prove hiyo kitu kirahisi sana....
Nasikia mzee alikua na dementia...na kumbuka wale wana madaktari wa familia medical records zote zipo....
Kama alikua diagnosed na dementia halafu ndio will ikaandikwa from the date of diagnosis onwards,mzee mzigo mzima unakua void!
Will ikiwa void,mzigo mzima unaletwa mezaniiii upyaa!
Plus na hiyo ndoa iliyofanyiwa huko sijui Cape Verde or wherever the fvck,jurisdiction haita-apply hapa uswazi!
Ngoma ni ndefu,washabiki wa KLyn wasidhani ni slum dunk tu!
Plus KLyn sidhani kama ana miakili very smart kivile namna hiyo labda kuna mahali alisahau kuset vizuri.....
Kuna mahali patakua na loophole alisahau prosecution watapita hapo hapo kama radi vile!
Hii ni photoshop kabisa mkuu, kichwa ni jacky mengi bt kiwili wili sio yeye.Ndiyo huyo au?View attachment 1091407
Mambo ni magumu Kwa jackylin. Hata kama mlango umefungwa si unavunjwa tuu. Unacheza na pesa ya Mzee Mengi ilivyo nyingi. Mlango utakuwa ulishavunjwa na kuweka mwingine. Japo wengine wanasema alifilisika wakati mpaka mwaka Jana desemba ilioonyesha Mengi ana networth ya Us560million
Babe, mapenzi ya kweli hua na sababu, unaweza mpendea sauti yake, sura yake, tabia yake, mwili wake, Elimu yake, Cheo chake, PESA ZAKE,Mmh babe hapo kwenye kumpenda hapana japo mengine yote yanaweza kuwa sahihi
Mzee alikuwa smart sanaItapendeza sana huu mjadala wanasheria wakitia michango yao, watu wanasema k Lynn ameachiwa will ambayo atachukua nusu ya estate ya decesead bila ya kufikiria kwamba inawezekana marehemu aliandika will nyingine baada ya hiyo ambayo beneficiaries wake anawajua yeye na mwanasheria take, kwa move kama hii navyojua latest will ndio itakuwa valid on the court of law.
Kingine wengi hawafikirii kwa nini mshua alifunga ndoa kwenye foreign jurisdiction bola ya kujiuliza kama taratibu za divorce ya ndoa yake ya kwanza zilikuwa finalized on the court of law, tusije kushangaa mzee hakuwahi kuvunja ndoa yake ya kwanza kwa iyo ndoa yake na k Lynn kwa mujibu wa sheria za JMTZ ni batili.
Mwanamke ambaye hajaenda shule si rahisi kudhulumu Mali ya MTU ambaye ameitafuta kisomi unless kwenye Mali aamue tu kumpa kirohi safi.
Huu msiba unaanza tu, frontman ni mwanasheria wa familia, hapo ndio ujue mzee akukaa kiboyaboya na affairs zake.
Time will tell.
Itapendeza sana huu mjadala wanasheria wakitia michango yao, watu wanasema k Lynn ameachiwa will ambayo atachukua nusu ya estate ya decesead bila ya kufikiria kwamba inawezekana marehemu aliandika will nyingine baada ya hiyo ambayo beneficiaries wake anawajua yeye na mwanasheria take, kwa move kama hii navyojua latest will ndio itakuwa valid on the court of law.
Kingine wengi hawafikirii kwa nini mshua alifunga ndoa kwenye foreign jurisdiction bola ya kujiuliza kama taratibu za divorce ya ndoa yake ya kwanza zilikuwa finalized on the court of law, tusije kushangaa mzee hakuwahi kuvunja ndoa yake ya kwanza kwa iyo ndoa yake na k Lynn kwa mujibu wa sheria za JMTZ ni batili.
Mwanamke ambaye hajaenda shule si rahisi kudhulumu Mali ya MTU ambaye ameitafuta kisomi unless kwenye Mali aamue tu kumpa kirohi safi.
Huu msiba unaanza tu, frontman ni mwanasheria wa familia, hapo ndio ujue mzee akukaa kiboyaboya na affairs zake.
Time will tell.
Ila warithi wake wana haki...ambao ni watoto wake hvyo nae kama aliandika kuhusu mirathi yake automatically Mali zitaangukia kwa watoto wake...
Anyway haya ni mambo ya kifamilia Ila kwa vyovyote itakavyokuwa watakaofaidika wa kwanza watakuwa watoto wakubwa wa marehemu kisha huyo Jacky na watoto watafuata.
Babe, mapenzi ya kweli hua na sababu, unaweza mpendea sauti yake, sura yake, tabia yake, mwili wake, Elimu yake, Cheo chake, PESA ZAKE,
Tunaweza kusema Jackie alitoa furaha kwa Mengi na Mengi alitoa Pesa kwa Jackie.
Fair enough.
Tatizo mzee alijichanganya sana kumchukua bidada na kumuweka ndani ,,angetakiwa awe anamuita mahali anamchapa tu na kila mtu anashika hamsini zake.Na pia Mzee alikuwa anajitahid kuendana na life staili ya bidada.
Nimefanya nini?Duh! Hta wewe?
Na kama kweli mzee kaacha hivyo mi nitasikitika sana watoto wake wakubwa wamepigika nae weee toka wakiwa wadogo wamekula maharage ila baba yao afungue makampuni mwisho was siku hata percent wanayopata iwe ndogo kuliko mwanamke aliyekutana nae uzee akiwa kashachuma vya kutosha aisee mzee atakuwa kawaumiza sana wanae
Sawa Kylin anaweza pewa vipasenti kidogo na wanae wapewe percent kubwa kuliko mama yao ila wale akina Regina na Abdi wapewe kubwa kuliko maana wamefight since the beginning na baba na mama yao na pia ndio engine zilizobakia kuendesha makampuni ya baba yao .
Kama Klyin ata demand percent kubwa zaidi nitamshangaa sana hata kujistukia atakuwa ameshindwa sitomwolewa yeye kama yeye alipaswa ajenge future yake wakati mzee akiwa hai
Na hapo apiginie tu percentage ya wanae ambayo naamimi watoto wakubwa hawawezi kubwa ditch wadogo zao naamini they will take care of their little brothers
Watu wengine wanajadili bila kuijua sheria ya ndoa,
Mali ambazo atakazopata Jack ni zile alizochuma pamoja na Mzee Mengi,
Kama hakuchuma nae chochote ni zile alizokuta Jack hatapata chochote [emoji108][emoji108]
Na hata kama alimrubuni amwandikie urithi akiwa hai bado sheria inamapana na watoto wakubwa wanaweza kusema kuwa tangu amuoe huyu Bibi mdogo Mzee sababu ya umri akili yake haikuwa kawaida !
Kwendraa chuki kwani cananilisha?Yani wabongo na angezimia mngesema mnafek bora yeye sio mnafki wala kuzimia au kulia sana haimaanishi huna uchungu muache chuki kwa mwanamke mwenzetu
Mzee alifeli sana....
Ni kama ana poor judgement and reasoning aisee kwenye haya mambo....
BInadamu hawezi weza kila kitu!
Kwenye weakness yake hii ndio walikopitia kama kawa
Mim nilivyoona mzee mzima anaanza kumtumia mke wake romantic message kwenye mtandao nilijuw kuna jambo katika mapenzi yao, kwa akili ya kawaida haiingii akilini mtu kuanza kutuma msg ata za Gudnit kwenye mtandao wakati anaishinae ata kama wako mbali ana namba yake.
Inawezekana kuna kitu mzee aliona