Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Sasa kama diamond platinumz na mazoezi yote yale na maviuno yote yale anayokata watu WAMEMLIA tunda lake vizuri sembuse kibabu kizee HAYATI DR. R.A MENGI?? Mbona hakuna jipya hapo kabisa alichofanya Jacky
 
Hili swala limenifanya nifikiri sana mkuu.
Na ni wasiwasi wa kwanza ambao utakuwa umewapata watoto

Ndio ,,kikubwa asilete za kuleta akae asubirie maamuzi ya familia hasa watoto wa mke mkubwa sababu yeye amedandia gari kwa mbele..

Hata kama mzee atakuwa aliandika wosia ,sio rahis utekelezwe maana huenda huyu bidada alimshawishi Mzee amuandike na watapelekana mahakamani ,bidada akileta za kuleta.

Bidada hawez achwa hivo maana ana watoto wadogo sana .Kikubwa asikilize maamuz ya familia ila ujuaji unaweza kumkosesha
 
Shida sio kazikuta
Shida ni kuwa ukiwa mtu mwenye familia akifa mali zinabaki za familia
Sa familia ya mengi ni nani sahv, japo wayoto wa nje wa Meng nao wana haki

Kwahiyo watoto wa Mke Mkubwa ni watoto wa njee ya Ndoa ,??

Familia ya Mengi ni pamoja na hao watoto wake wote na huyu bidada
 
Hata kama aliandika,prosecution wanawezatoa uhakiki mahakamani kua mzee aliandika akiwa mgonjwa..

Wakichukua medical records nk wanaweza prove hiyo kitu kirahisi sana....

Nasikia mzee alikua na dementia...na kumbuka wale wana madaktari wa familia medical records zote zipo....

Kama alikua diagnosed na dementia halafu ndio will ikaandikwa from the date of diagnosis onwards,mzee mzigo mzima unakua void!

Will ikiwa void,mzigo mzima unaletwa mezaniiii upyaa!

Plus na hiyo ndoa iliyofanyiwa huko sijui Cape Verde or wherever the fvck,jurisdiction haita-apply hapa uswazi!

Ngoma ni ndefu,washabiki wa KLyn wasidhani ni slum dunk tu!

Plus KLyn sidhani kama ana miakili very smart kivile namna hiyo labda kuna mahali alisahau kuset vizuri.....

Kuna mahali patakua na loophole alisahau prosecution watapita hapo hapo kama radi vile!
Itapendeza sana huu mjadala wanasheria wakitia michango yao, watu wanasema k Lynn ameachiwa will ambayo atachukua nusu ya estate ya decesead bila ya kufikiria kwamba inawezekana marehemu aliandika will nyingine baada ya hiyo ambayo beneficiaries wake anawajua yeye na mwanasheria take, kwa move kama hii navyojua latest will ndio itakuwa valid on the court of law.

Kingine wengi hawafikirii kwa nini mshua alifunga ndoa kwenye foreign jurisdiction bola ya kujiuliza kama taratibu za divorce ya ndoa yake ya kwanza zilikuwa finalized on the court of law, tusije kushangaa mzee hakuwahi kuvunja ndoa yake ya kwanza kwa iyo ndoa yake na k Lynn kwa mujibu wa sheria za JMTZ ni batili.

Mwanamke ambaye hajaenda shule si rahisi kudhulumu Mali ya MTU ambaye ameitafuta kisomi unless kwenye Mali aamue tu kumpa kirohi safi.

Huu msiba unaanza tu, frontman ni mwanasheria wa familia, hapo ndio ujue mzee akukaa kiboyaboya na affairs zake.

Time will tell.
 
Mambo ni magumu Kwa jackylin. Hata kama mlango umefungwa si unavunjwa tuu. Unacheza na pesa ya Mzee Mengi ilivyo nyingi. Mlango utakuwa ulishavunjwa na kuweka mwingine. Japo wengine wanasema alifilisika wakati mpaka mwaka Jana desemba ilioonyesha Mengi ana networth ya Us560million


Huenda Mkuu ,, hi tabia ya vidada kuolewa na vibabu na vibabu kuona vidada sio nzuri katika jamii. Ona sasa yanayotokea sasa ,sio rais watoto wakubwa wa Meng kama Regina amuete Kyailn mama mdogo au pia amsalimie shikamoo
 
Mmh babe hapo kwenye kumpenda hapana japo mengine yote yanaweza kuwa sahihi
Babe, mapenzi ya kweli hua na sababu, unaweza mpendea sauti yake, sura yake, tabia yake, mwili wake, Elimu yake, Cheo chake, PESA ZAKE,

Tunaweza kusema Jackie alitoa furaha kwa Mengi na Mengi alitoa Pesa kwa Jackie.

Fair enough.
 
Itapendeza sana huu mjadala wanasheria wakitia michango yao, watu wanasema k Lynn ameachiwa will ambayo atachukua nusu ya estate ya decesead bila ya kufikiria kwamba inawezekana marehemu aliandika will nyingine baada ya hiyo ambayo beneficiaries wake anawajua yeye na mwanasheria take, kwa move kama hii navyojua latest will ndio itakuwa valid on the court of law.

Kingine wengi hawafikirii kwa nini mshua alifunga ndoa kwenye foreign jurisdiction bola ya kujiuliza kama taratibu za divorce ya ndoa yake ya kwanza zilikuwa finalized on the court of law, tusije kushangaa mzee hakuwahi kuvunja ndoa yake ya kwanza kwa iyo ndoa yake na k Lynn kwa mujibu wa sheria za JMTZ ni batili.

Mwanamke ambaye hajaenda shule si rahisi kudhulumu Mali ya MTU ambaye ameitafuta kisomi unless kwenye Mali aamue tu kumpa kirohi safi.

Huu msiba unaanza tu, frontman ni mwanasheria wa familia, hapo ndio ujue mzee akukaa kiboyaboya na affairs zake.

Time will tell.
Mzee alikuwa smart sana
 
Itapendeza sana huu mjadala wanasheria wakitia michango yao, watu wanasema k Lynn ameachiwa will ambayo atachukua nusu ya estate ya decesead bila ya kufikiria kwamba inawezekana marehemu aliandika will nyingine baada ya hiyo ambayo beneficiaries wake anawajua yeye na mwanasheria take, kwa move kama hii navyojua latest will ndio itakuwa valid on the court of law.
Kingine wengi hawafikirii kwa nini mshua alifunga ndoa kwenye foreign jurisdiction bola ya kujiuliza kama taratibu za divorce ya ndoa yake ya kwanza zilikuwa finalized on the court of law, tusije kushangaa mzee hakuwahi kuvunja ndoa yake ya kwanza kwa iyo ndoa yake na k Lynn kwa mujibu wa sheria za JMTZ ni batili.
Mwanamke ambaye hajaenda shule si rahisi kudhulumu Mali ya MTU ambaye ameitafuta kisomi unless kwenye Mali aamue tu kumpa kirohi safi.
Huu msiba unaanza tu, frontman ni mwanasheria wa familia, hapo ndio ujue mzee akukaa kiboyaboya na affairs zake.
Time will tell.


Hilo linaweza likajitokeza maana sidhani hicho cheti chake cha ndoa kiko valid Tanzania. Huenda hapo ndo mzee alicheza vyema karata yake.

Pia huyu bidada hakuna mali yoyote aliyo chuma na Mzee labda kama kaendeleza na itakuwa kwa sehemu ndogo sana. Kikubwa bodada alikuwa wamatumizi tu.

Na hapa palivo na wakubwa wengi utashangaa mambo yanavokwenda na kumuacha bidada bila hiyo 50% inayo semekana.
 
Ila warithi wake wana haki...ambao ni watoto wake hvyo nae kama aliandika kuhusu mirathi yake automatically Mali zitaangukia kwa watoto wake...


Anyway haya ni mambo ya kifamilia Ila kwa vyovyote itakavyokuwa watakaofaidika wa kwanza watakuwa watoto wakubwa wa marehemu kisha huyo Jacky na watoto watafuata.

Kisheria mtoto mdogo anahaki kuliko mkubwa
Wanachukulia utoto mkubwa ashajielewa na anauwezo wa kujitegemea
 
Babe, mapenzi ya kweli hua na sababu, unaweza mpendea sauti yake, sura yake, tabia yake, mwili wake, Elimu yake, Cheo chake, PESA ZAKE,
Tunaweza kusema Jackie alitoa furaha kwa Mengi na Mengi alitoa Pesa kwa Jackie.
Fair enough.

Acha kuwadanganya watanzania wewe auoni hata aibu !!

Jiulize yule Mzee asingekuwa na kitu bidada angemvulia Mzee chupi amtengee na kumzalia?

Think twice Culture gal
 
Tatizo mzee alijichanganya sana kumchukua bidada na kumuweka ndani ,,angetakiwa awe anamuita mahali anamchapa tu na kila mtu anashika hamsini zake.Na pia Mzee alikuwa anajitahid kuendana na life staili ya bidada.

Mzee alifeli sana....

Ni kama ana poor judgement and reasoning aisee kwenye haya mambo....

BInadamu hawezi weza kila kitu!

Kwenye weakness yake hii ndio walikopitia kama kawa
 
Kuna binadamu hawana haya kabisa ,anaweza kwenda mahakaman macho makavu
Mkuu kwani humuoni alivo macho makavu kwa sasa?

Kama aliacha will kama wototo wanayo wao itakuwaje ? .Maana huenda watoto walisha pekua ndani ,atakuwa na nguvu ya kwenda mahakamani??

Hata kama Will inasema 50% ni haki yake na wanawe .Itakuwa si haki hata mbele za Mungu

Je watoto wakubwa na fanilia wakisema wanawatambua watoto ila sio ndoa Jack ataweza kwenda mahakaman ukizingatiaa ndoa ilifingwa njee ya nchi

.
Na kama kweli mzee kaacha hivyo mi nitasikitika sana watoto wake wakubwa wamepigika nae weee toka wakiwa wadogo wamekula maharage ila baba yao afungue makampuni mwisho was siku hata percent wanayopata iwe ndogo kuliko mwanamke aliyekutana nae uzee akiwa kashachuma vya kutosha aisee mzee atakuwa kawaumiza sana wanae
Sawa Kylin anaweza pewa vipasenti kidogo na wanae wapewe percent kubwa kuliko mama yao ila wale akina Regina na Abdi wapewe kubwa kuliko maana wamefight since the beginning na baba na mama yao na pia ndio engine zilizobakia kuendesha makampuni ya baba yao .
Kama Klyin ata demand percent kubwa zaidi nitamshangaa sana hata kujistukia atakuwa ameshindwa sitomwolewa yeye kama yeye alipaswa ajenge future yake wakati mzee akiwa hai
Na hapo apiginie tu percentage ya wanae ambayo naamimi watoto wakubwa hawawezi kubwa ditch wadogo zao naamini they will take care of their little brothers
 
Watu wengine wanajadili bila kuijua sheria ya ndoa,
Mali ambazo atakazopata Jack ni zile alizochuma pamoja na Mzee Mengi,
Kama hakuchuma nae chochote ni zile alizokuta Jack hatapata chochote [emoji108][emoji108]
Na hata kama alimrubuni amwandikie urithi akiwa hai bado sheria inamapana na watoto wakubwa wanaweza kusema kuwa tangu amuoe huyu Bibi mdogo Mzee sababu ya umri akili yake haikuwa kawaida !

We ndo hujui, hyo ni kama wangeachana, ila kafa wakiwa ni wanandoa, inamaanisha familia halali ya mengi
Kikubwa ni wosia ataoacha Mengi ndo utajibu
 
K
Yani wabongo na angezimia mngesema mnafek bora yeye sio mnafki wala kuzimia au kulia sana haimaanishi huna uchungu muache chuki kwa mwanamke mwenzetu
Kwendraa chuki kwani cananilisha?
 
Mim nilivyoona mzee mzima anaanza kumtumia mke wake romantic message kwenye mtandao nilijuw kuna jambo katika mapenzi yao, kwa akili ya kawaida haiingii akilini mtu kuanza kutuma msg ata za Gudnit kwenye mtandao wakati anaishinae ata kama wako mbali ana namba yake.
Inawezekana kuna kitu mzee aliona
 
Mzee alifeli sana....
Ni kama ana poor judgement and reasoning aisee kwenye haya mambo....
BInadamu hawezi weza kila kitu!
Kwenye weakness yake hii ndio walikopitia kama kawa

Alikosea sana ,na pia aliwakosea heshima wanawe wakubwa ,huoni Regina ni mkubwa kushinda Jack !

Nas tuliobaki tujifunze maana hapa huyu bidada akileta za kuleta patatokea ugomvi sana maana pesa ya Mzee n ndefu.

Wadada waache kudandia magari kwa mbele na wazee waache kuwafuata mabint wakiwashawishi na pesa zao.
 
Mim nilivyoona mzee mzima anaanza kumtumia mke wake romantic message kwenye mtandao nilijuw kuna jambo katika mapenzi yao, kwa akili ya kawaida haiingii akilini mtu kuanza kutuma msg ata za Gudnit kwenye mtandao wakati anaishinae ata kama wako mbali ana namba yake.
Inawezekana kuna kitu mzee aliona


Mkuu huenda/unaweza kuta bidada ndo alikuwa anajiandikia mwenyewe. Wadada wa mujini plus na uzungu zungu ni watu hatari sana
 
Back
Top Bottom