Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli hii tecno wereva haijamtendea hakii, [emoji16][emoji16]kwahyo Jacky alikua anamsafirishia papunga yake maana huyu jamaa si alishafurumishwa hapa nchini?
Aisee ni kweliLeo ndio siku kifurushi kingeuzwa hata laki watu wangenunua
HahahaLeo ndio siku kifurushi kingeuzwa hata laki watu wangenunua
Izo nywele zake nilimuona nazo kwenye xxl majuzi tuJamani Jamani wanazengo Leo wambea tutakufa kwa pressure maana sio kwa double breaking news za Leo , yani wakati sakata la gwajima bado likiwa bichi, Jipya laibuka kuhusu mke wa marehemu mengi akiwa kwenye picha ya pamoja na mwanaume aliyetajwa kutoka nae kimapenzi anayejulikana kwa Jina la Hussein mmliki wa element bar na balozi.
Ila wanazengo Leo nimemuangalia jacky kwenye msiba alivyo mkavu na tinted juu sijui alikua anaficha nini usoni, yan ukiangalia kwa makini utasema Madam ritha Ndo alikua mfiwa Na sio jacky, na ndio maaan hata watu walikua hawana time naye kabisa kumpa pole, yan Yale maneno ya mange yanaanza kuniingia kichwani, jacky she is a Jezebel .
Mi nilivyoona mange kataja mpaka Jina la mwanaume mpaka picha ikapostiwa pale pale mbea mie nikawa alerted there is something danger .
Unajua kwa stage aliyofikia mengi hakupaswa Kuwa na stress kabisa , huenda aligundua kitu kutoka kwa jacky, na kama mnavyojua babu yetu alikufa na kuoza kwa jacky, alikua aambiliki, Ila sema Ndo hivyo mapenzi upofu.
Na nimemuona regina alivyonuna wakati kabeba shada ya maua mmh yani jacky ajiandae tu kuvuliwa nguo , na kama tu ikijulikana alikua anacheat, itakula kwake hataambulia hata Mia na wamachame watamfanyia kitu mbaya atajuta maisha yake yote View attachment 1091184View attachment 1091185View attachment 1091186
Sio huyu aliyefukuzwa ni mwingine, wambea walichanganya tu ma file
Izo nywele zake nilimuona nazo kwenye xxl majuzi tu
Subiri uone uchagani hatoki boyaKwani hela anapewa na wachaga ama Mengi alishaandika kila kitu?
Well sayMi ntamlaumu mengi mpaka kesho....umri ule kuoa na unapesa ni kujitia kwenye brand new stress.. alipaswa kula maisha tu unaita dem yeyote unaetaka unamla...hapo angeongeza siku za kuishi
Atabaki na fenicha tu ule mjumba ndio bye bye tena msiba ukiisha akatafute pa kulalaMjini watu wapo kimya tu Ila wana Ma file hatari , yan alivyokua Hana akili anajiachia kabisa na picha juu , mmh kweli huyu dada ni shetani wa kutupwa