Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Jamani Jamani wanazengo Leo wambea tutakufa kwa pressure maana sio kwa double breaking news za Leo , yani wakati sakata la gwajima bado likiwa bichi, Jipya laibuka kuhusu mke wa marehemu mengi akiwa kwenye picha ya pamoja na mwanaume aliyetajwa kutoka nae kimapenzi anayejulikana kwa Jina la Hussein mmliki wa element bar na balozi.

Ila wanazengo Leo nimemuangalia jacky kwenye msiba alivyo mkavu na tinted juu sijui alikua anaficha nini usoni, yan ukiangalia kwa makini utasema Madam ritha Ndo alikua mfiwa Na sio jacky, na ndio maaan hata watu walikua hawana time naye kabisa kumpa pole, yan Yale maneno ya mange yanaanza kuniingia kichwani, jacky she is a Jezebel .

Mi nilivyoona mange kataja mpaka Jina la mwanaume mpaka picha ikapostiwa pale pale mbea mie nikawa alerted there is something danger .

Unajua kwa stage aliyofikia mengi hakupaswa Kuwa na stress kabisa , huenda aligundua kitu kutoka kwa jacky, na kama mnavyojua babu yetu alikufa na kuoza kwa jacky, alikua aambiliki, Ila sema Ndo hivyo mapenzi upofu.

Na nimemuona regina alivyonuna wakati kabeba shada ya maua mmh yani jacky ajiandae tu kuvuliwa nguo , na kama tu ikijulikana alikua anacheat, itakula kwake hataambulia hata Mia na wamachame watamfanyia kitu mbaya atajuta maisha yake yote View attachment 1091184View attachment 1091185View attachment 1091186
Wabongo baadala ya kutafuta pesa,mnachunguza maisha ya watu,kwanza hilo li picha,limetengenezwa tu,wala sio Jack huyo,na kama ni yeye hiyo picha imepigwa baada ya Mengi kufa,?kwanini hiyo picha haikutoka kabla,mwezi uliopita,mwaka Jana?!!!
 
Go Jackie Gooo,
wabongo kuongea jadi yao, kaa kimya wakichoka watalala, sote tunajua ulimpenda mzee Mengi, ulimzalia mapacha, ulimpa furaha aliyoitaka na hakusita kuongea mbele ya kadamnasi,

Kama wachaga hulka yao ni kunyanyasa Wajane basi safari hii watagonga mwamba.
 
Go Jackie Gooo,
wabongo kuongea jadi yao, kaa kimya wakichoka watalala, sote tunajua ulimpenda mzee Mengi, ulimzalia mapacha, ulimpa furaha aliyoitaka na hakusita kuongea mbele ya kadamnasi,

Kama wachaga hulka yao ni kunyanyasa Wajane basi safari hii watagonga mwamba.

Too bad wambea hatulalagi hivyo *****, tukitaka kumtoa mtu kwenye ramani ni dakika moja tu
 
Too bad wambea hatulalagi hivyo *****, tukitaka kumtoa mtu kwenye ramani ni dakika moja tu
Safari hii wambea mtanyooshwa ipasavyo, mzee hakua mjinga kumuacha mkewe kizembe tu,
lieni, zimieni urithi wake upo pale pale
 
Kweli kabisa
Mi ntamlaumu mengi mpaka kesho....umri ule kuoa na unapesa ni kujitia kwenye brand new stress.. alipaswa kula maisha tu unaita dem yeyote unaetaka unamla...hapo angeongeza siku za kuishi
 
Alimchagua Jackie kati ya wanawake milioni, akasema huyu ndie nitamaliza nae umri wangu uliobakia na kweli ndoto zake zimetimia, sasa wenye chuki mnamtolea macho mjane na maskendo kibaooo me nawapa pole sababu Mungu yupo upande wa wajane siku zote.
 
Mi ntamlaumu mengi mpaka kesho....umri ule kuoa na unapesa ni kujitia kwenye brand new stress.. alipaswa kula maisha tu unaita dem yeyote unaetaka unamla...hapo angeongeza siku za kuishi
Alikuwa anakula kijana mwenzetu, alafu sisi tungekuka nini, unumiliki pesa nyingi tulia ndo utaishi,
 
Go Jackie Gooo,
wabongo kuongea jadi yao, kaa kimya wakichoka watalala, sote tunajua ulimpenda mzee Mengi, ulimzalia mapacha, ulimpa furaha aliyoitaka na hakusita kuongea mbele ya kadamnasi,

Kama wachaga hulka yao ni kunyanyasa Wajane basi safari hii watagonga mwamba.
Mmh babe hapo kwenye kumpenda hapana japo mengine yote yanaweza kuwa sahihi
 
Ukiachana na kutowaamini pia kuna athari mtu mzima unapooa binti mdogo, uyo mdada umri wake imembidi tu afanye ivo japokua sio sahihi
 
Watu wana nguvu za bed na pesa wanasalitiwa itakuwa Jack kwa Mengi. Hata hivyo msiba hauna muda mrefu, tuache kuyakuza mambo kwa huyu mdada
 
Zinaanza picha za kawaida kwanza ...

Tukipinga pinga ndo zinakuja zenyewe Sasa..


Jamani tuendelee kupinga huku kwenye comments wote tuseme hilo ni pozi la kawaida [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom