Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Kwa kweli wamemtenda Gwajima, mpaka hili likae sawa sadaka itapungua sana. Baba askofu anacheza mayenu kunako 6x6
Ila baba askofu kanikera sana sijui alikula maharage ya wapi yule
Yaani zile dakika 2 ndio anaunguruma vile kweli?
Ila inawezekana wanamsingizia tu pale alikua anayatoa mapepo ya yule dada ndio maana alikua ananena kwa lugha.
 
Ila baba askofu kanikera sana sijui alikula maharage ya wapi yule
Yaani zile dakika 2 ndio anaunguruma vile kweli?
Ila inawezekana wanamsingizia tu pale alikua anayatoa mapepo ya yule dada ndio maana alikua ananena kwa lugha.
Watu wa mujini wanakunywa K-Vant, hembu mfundishe askofu, Lusekelo anaujua mchezo.
 
Yes, uzinzi unavunja ndoa[emoji107]
Kwamba ndoa ilishavunjika iwe kwasababu ya uzinzi ama kifo ama sababu nyengine kama vile mume kupata uhanithi nk, je mke au mume anaweza poteza haki zake ikaja kugundulika kwamba wakati wapo kwenye ndoa mmo wa wana ndoa alikuwa anachepuka?
 
Kwakweli hii tecno wereva haijamtendea hakii, [emoji16][emoji16]kwahyo Jacky alikua anamsafirishia papunga yake maana huyu jamaa si alishafurumishwa hapa nchini?
Original east alichanganya kati ya Mido na shemeji yake (hiyo alleged baby ya Jack).
 
Watu wa mujini wanakunywa K-Vant, hembu mfundishe askofu, Lusekelo anaujua mchezo.
Halafu mtu kweli unafanya dhambi ya kuzini unatumia missionary style?
Si bora angeacha kuliko kuandikiwa zambi kizembe vile, si bora hata angepiga chuma mboga, mbuzi kagoma, popo kanyea mbingu zambi zake zingeenda kwa halali.
 
Kwamba ndoa ilishavunjika iwe kwasababu ya uzinzi ama kifo ama sababu nyengine kama vile mume kupata uhanithi nk, je mke au mume anaweza poteza haki zake ikaja kugundulika kwamba wakati wapo kwenye ndoa mmo wa wana ndoa alikuwa anachepuka?
Babu zetu waliishi hivi, humgusi mwanamke mpaka siku ya ndoa, hata uwe uchumba wa miaka kumi. Ikitokea mume amepata ajali, ni rahisi mke kuvumilia .

Kama ulioa kwa kunogewa na mchezo utaipata fresh ya shamba.
 
Halafu mtu kweli unafanya dhambi ya kuzini unatumia missionary style?
Si bora angeacha kuliko kuandikiwa zambi kizembe vile, si bora hata angepiga chuma mboga, mbuzi kagoma, popo kanyea mbinu zambi zake zingeenda kwa halali.
Kumbuka alimbariki kondoo pale alikua anakula kosher.
 
Narudia tena, uzinzi huvunja ndoa
Kwamba ndoa ilishavunjika iwe kwasababu ya uzinzi ama kifo ama sababu nyengine kama vile mume kupata uhanithi nk, je mke au mume anaweza poteza haki zake ikaja kugundulika kwamba wakati wapo kwenye ndoa mmo wa wana ndoa alikuwa anachepuka?
 
Madam alimzawadia kitumbua waziri kijana wa enzi zile. Madam na Klyn walikua ma best, mzee hakwenda mbali.

Hayo ndiyo mambo ya mujini.
Mhh kwa hiyo mzee alikua na bahati mbaya ya kugongewa wapenzi wake...
 
Kama haya yanayosemwa yana ukweli na Mengi kaacha will inayompa Jackie percentage kubwa kuliko watoto wakubwa basi lawyers wajiandae kuvuna mpunga mrefu maana naona kuna kesi kubwa inakuja muda si mrefu ujao.

Dah aisee nimeona current pic akiwa na Jacky kwenye event na pete ya ndoa nimejisikia vibaya mno,aisee kweli mapenz yana run dunia,Babu alicheza karata yake vibaya kumuoa huyu dada[emoji22]
 
Back
Top Bottom