Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Hiyo Kesi itaisha haraka Sana kwasababu Mke mkubwa wa Mengi marehemu ana haki kuliko huyu Kylin aliekuja Mali zikiwa zimechumwa Tayari. Kylin hapewi kitu wale watoto watapewa wakapewa kiasi Kwa huruma ya watoto wakubwa Wa Mengi
Mke wa kwanza wa Mengi ni marehemu...na walishA malizana na Mengi kitamboooo..
 
Wosia unaweza kubatilishwa kama hautendi haki Kwa Mwanamke mkubwa yaani Mama Mercy Mengi . Ukumbuke inavyosemekana Yule mama alikuwa na Kesi ambayo haijaisha na alikuwa anadai 75% ya Mali zote ziwe zake na kabla Kesi haijaisha mauti yakamkuta. Kwasababu Yule mama ameshiriki kuanzisha na kuikuza IPP . Kwa upande wa Jack Hali itakuwa ngumu bado kwake pamoja na ujanja wake wale watoto wakubwa wataidai Mali ya mama Yao lazima. Ukumbuke na watoto wale wameshiriki kuitumikia hiyo kampuni ya IPP toka ujana wao mpaka leo ni wazee nao.wamezaliwa na kulia na kuzeekea kwenye kampuni ya IPP group
Na kama aliandika wosia je itakuwaje?,,


Wosia unaweza kutenguliwa mahakamani?,, maana waweza kuta Jack alimshawish mzee aandike wosia hawa wanawake wa mjini janja janja kweli na ukizingatia Mzee alikuwa anamuelewa sana sana.


Mm naona kunaweza zuka kesi kubwa tu hapa .
 
Wosia unaweza kubatilishwa kama hautendi haki Kwa Mwanamke mkubwa yaani Mama Mercy Mengi . Ukumbuke inavyosemekana Yule mama alikuwa na Kesi ambayo haijaisha na alikuwa anadai 75% ya Mali zote ziwe zake na kabla Kesi haijaisha mauti yakamkuta. Kwasababu Yule mama ameshiriki kuanzisha na kuikuza IPP . Kwa upande wa Jack Hali itakuwa ngumu bado kwake pamoja na ujanja wake wale watoto wakubwa wataidai Mali ya mama Yao lazima. Ukumbuke na watoto wale wameshiriki kuitumikia hiyo kampuni ya IPP toka ujana wao mpaka leo ni wazee nao.wamezaliwa na kulia na kuzeekea kwenye kampuni ya IPP group
Marehemu hana haki
 
Na kama aliandika wosia je itakuwaje?,,


Wosia unaweza kutenguliwa mahakamani?,, maana waweza kuta Jack alimshawish mzee aandike wosia hawa wanawake wa mjini janja janja kweli na ukizingatia Mzee alikuwa anamuelewa sana sana.


Mm naona kunaweza zuka kesi kubwa tu hapa .
Hata Ile tuu Jackylin kupewa awe msimamizi wa mirathi ni kitu kisichowezekana. Haijui hata kampuni inaendeshwaje. Wale watoto wakubwa ndio wamekuwa wakisimamia hiyo kampuni Kwa miaka mingi. Mzee alikuwa ni mmiliki. Wale wakubwa wananguvu ya kuihodhi mpaka sasa wao ndio wanaisimamia Kwa mda mrefu. Jack ajiandae kaisaikolojia kwamba yeye hautakuwa miongoni mwa warithi. Watoto wa Jack wanauhakikia wa kupewa chochote Katika hiyo mali
 
Kwa haya yanayoendelea basi kuna siku zitatolewa picha na video za ajabu nchi itikisike. Dah Mange Mungu anakuona
Mange ametesa familia nyingi hadi nyumba nyeupe!
 
Sijaiona hiyo video naomba unitumie pm
Ila baba askofu kanikera sana sijui alikula maharage ya wapi yule
Yaani zile dakika 2 ndio anaunguruma vile kweli?
Ila inawezekana wanamsingizia tu pale alikua anayatoa mapepo ya yule dada ndio maana alikua ananena kwa lugha.
 
Hata Ile tuu Jackylin kupewa awe msimamizi wa mirathi ni kitu kisichowezekana. Haijui hata kampuni inaendeshwaje. Wale watoto wakubwa ndio wamekuwa wakisimamia hiyo kampuni Kwa miaka mingi. Mzee alikuwa ni mmiliki. Wale wakubwa wananguvu ya kuihodhi mpaka sasa wao ndio wanaisimamia Kwa mda mrefu. Jack ajiandae kaisaikolojia kwamba yeye hautakuwa miongoni mwa warithi. Watoto wa Jack wanauhakikia wa kupewa chochote Katika hiyo mali


Kwanini ni ngumu na alikuwa Mkewe na wamezaa ,,


Binafsi nisingependa kuona huyu bidada akipata chochote maana hajashiriki katika kuvitafuta hata kidogo, Lakin wanawe wanapaswa kuangaliwa sana sana .

Asipate chochote ili kukomesha hii tabia ya wadada kutaka kuolewa na wazee ili warithi mali maana naamini hakumpenda Mzee wetu

Tatizo ndo hivo inasemekana Mzee alisha muandika kwenye urithi .Kwahiyo anaweza kwenda mahakamani kudai hilo.

Ni ngumu sana pia watoto wakubwa wa Mzee wakubali Jack awe mkurugenzi mpya na wao wawe chini yake ni ngumu sana hapa patapiganwa vita vyote hata vya ndumba na live.


Dada yetu huyu atapitia wakati mgumu sana kwenye maisha yake dhid ya hawa ndugu zangu wachagga wa machame ,,

Tusubiri mda ni jawabu zuri
 
Hivi huyu bidada alishawahi kwenda Machame hata kusalimia?

Sidhani kama huyu dada kama anamaelewano mazuri na watoto wa mke mkubwa.

Binafs huwez niambia Jack n mwanamke wa thamani ,angekuwa wa thaman asingekubal swaga za Mzee . Huyu alimpendea mzee wetu mali
 
Back
Top Bottom