Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Mmh mambo ni mengi muda ni mchache,Kupenda ama kutokupenda kuko moyoni mwa mtu..mmejuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh mambo ni mengi muda ni mchache,Kupenda ama kutokupenda kuko moyoni mwa mtu..mmejuaje
Kumbe mzee alikuwa nyenzo tu dada alikua na date na Husseni wakutane Dubai.Angempenda angejali uzee wake na sio kutaka wasafiri safari ndefu hivo had dubai na mzee akiwa amechoka.
Kumbe mzee alikuwa nyenzo tu dada alikua na date na Husseni wakutane Dubai.
Wewe una uhakika gani kwamba Jack ndie kamsababishia Mzee Mengi umauti? Kwenye mali naelewa kwamba chochote kilichopatikana kwenye ndoa na ikaonekana mwanandoa alikuwa ana mchango chanya basi lazima apate mgaoKuwa na ndoa halali sio kigezo cha kugawiwa urithi .kuna
1.Mali binafsi ya mwanandoa
2.Na mali ya wanandoa
Jack anamchango gani kwa Mzee zaid ya kumletea umauti tu.?
Mkuu hapo haijalishi jacky alikua na mchango chanya au lah, mgao wake upo tuWewe una uhakika gani kwamba Jack ndie kamsababishia Mzee Mengi umauti? Kwenye mali naelewa kwamba chochote kilichopatikana kwenye ndoa na ikaonekana mwanandoa alikuwa ana mchango chanya basi lazima apate mgao
Wamachame nuksi.Hivi nyinyi hamuoni hii kama ni muvi hii inaonekana familia ya mzee inataka imuondoe kwenye urithi huyu dada hii picha ni ya zamani sana kabla hata smartphone hazijaingia hiyo ni nokia90 nakumbuka nilikuwanayo ilikuwa inatoa picha kama hizo kabla hajawa na mengi
Because he was too decent for that.
AhsanteMkuu hapo haijalishi jacky alikua na mchango chanya au lah, mgao wake upo tu
Ndoa ni mtego.
Unaruhusiwa kuvunja ndoa lakini ukishavunja ukae hivyo hivyo maana ukioa au kuolewa tena utakuwa unaziniYes, uzinzi unavunja ndoa[emoji107]
Kabisa Wa tz wanavyopenda vitu Kama hivi ni hatariLeo ndio siku kifurushi kingeuzwa hata laki watu wangenunua
Hatari tupuKabisa Wa tz wanavyopenda vitu Kama hivi ni hatari
Kwahiyo usigonge maisha...kisa ulioa. We unaweza!?Unaruhusiwa kuvunja ndoa lakini ukishavunja ukae hivyo hivyo maana ukioa au kuolewa tena utakuwa unazini
Mimi nimesema kile nnachokijua hilo swali muulize aliyetoa hiyo sheriaKwahiyo usigonge maisha...kisa ulioa. We unaweza!?
Ishu sio kuchiti, bali kumdedisha ili urithi maliHivi ukigundulika kwamba ulikuwa unacheat katika masuhiano ndio kigezo cha kumpokonya mtu haki yake?
You have wrong info.Mimi nimesema kile nnachokijua hilo swali muulize aliyetoa hiyo sheria
Sema wewe kuishi bila kula/ kuliwa haiwezekani. Hata hivyo inawezekana nabishana na mtu ambae hata biblia hajui ni kitu gani maana ungekuwa unasoma bible singebisha au zaidi ungesema wewe hilo neno unalielewajeYou have wrong info.
Kuishi bil kula/ kuliwa haiwezekani.