Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Kuna watu wanapenda sana kuonana mwingine akianguka na kupata shida..
Yani hapa wanachotaka kuona Jackie ananyimwa urithi na kufukuzwa..huu ni ushetani
Alimchagua Jackie kati ya wanawake milioni, akasema huyu ndie nitamaliza nae umri wangu uliobakia na kweli ndoto zake zimetimia, sasa wenye chuki mnamtolea macho mjane na maskendo kibaooo me nawapa pole sababu Mungu yupo upande wa wajane siku zote.
 
Hivi huyu bidada alishawahi kwenda Machame hata kusalimia?

Sidhani kama huyu dada kama anamaelewano mazuri na watoto wa mke mkubwa.

Binafs huwez niambia Jack n mwanamke wa thamani ,angekuwa wa thaman asingekubal swaga za Mzee . Huyu alimpendea mzee wetu mali
Lkn kusema ukweli kwa hali aliyokuwa nayo mzee wake siku za hv karibuni sidhani km alihitaji kuwa mtu wa safari sana, alitakiwa apumzike tu.
Haya mambo ya matanuzi ya kijinga ndio gharama yake hiyo sasa, mke hakujali afya ya mme wake.

Matokeo yake huyu dada ndio anapata kila aina ya lawama.
 
Hivi nyinyi hamuoni hii kama ni muvi hii inaonekana familia ya mzee inataka imuondoe kwenye urithi huyu dada hii picha ni ya zamani sana kabla hata smartphone hazijaingia hiyo ni nokia90 nakumbuka nilikuwanayo ilikuwa inatoa picha kama hizo kabla hajawa na mengi
 
Kuna watu wanapenda sana kuonana mwingine akianguka na kupata shida..
Yani hapa wanachotaka kuona Jackie ananyimwa urithi na kufukuzwa..huu ni ushetani

Kwani alishiriki kuzitafuta??? ,,akinyimwa kwangu n sawa tu ,akipewa pia ni sawa tu kwangu maana ni huruma itakuwa imetumika .

Ningekuwa mwanafamilia ningevipiga vita urithi wapate watoto wa mke mkubwa na watoto wake na sio yeye ,.Napasema vita namaanisha hata kumtoa uhai tu akileta ujuaji ujuaji
 
Kwani klyin ana haki gani . Unajua Mali yote kaikuta . Mali yote alitafuta Mzee Mengi na Mkewe mkubwa ambaye ni marehemu na pia hao watoto wake wakubwa wemefanya kazi ya kuikuza hiyo kampuni ya Mzee Mengi . Kylin asubiriage huruma ya wale watoto mapacha. Yeye Kylin Hana chake
Nadhani kisheria wataangalia je kuna kilichoongezeka tangia Mzee Mengi aoane na Jack na kama kipo je Jack ana mchango wowote chanya katika ongezeko hilo na kama ni hivo basi nae anafungu lake... Mwisho wa siku Mzee Mengi sio mjinga mtu aliyemzalia kama Jack tena mapacha asiache wosia wowote ambao utampa Jack kamgao
 
Lkn kusema ukweli kwa hali aliyokuwa nayo mzee wake siku za hv karibuni sidhani km alihitaji kuwa mtu wa safari sana, alitakiwa apumzike tu.
Haya mambo ya matanuzi ya kijinga ndio gharama yake hiyo sasa, mke hakujali afya ya mme wake.
Matokeo yake huyu dada ndio anapata kila aina ya lawama.

Tatizo mzee alijichanganya sana kumchukua bidada na kumuweka ndani ,,angetakiwa awe anamuita mahali anamchapa tu na kila mtu anashika hamsini zake.Na pia Mzee alikuwa anajitahid kuendana na life staili ya bidada.
 
Kama tu mmechuma wote, ila kama umevikuta, hupati
Nilichouliza mwanzo pale juu ni kuwa hata kama Mzee Mengi alikuwa akichitiwa na Jack na Mzee kashafariki na hadi umauti unamkuta bado Mengi na Jack walikuwa wana ndoa halali basi vyovyote vile Jack nae ana haki yake... Kitendo cha Jack kumcheat Mzee hakimpokonyi haki yake
 
Hivi nyinyi hamuoni hii kama ni muvi hii inaonekana familia ya mzee inataka imuondoe kwenye urithi huyu dada hii picha ni ya zamani sana kabla hata smartphone hazijaingia hiyo ni nokia90 nakumbuka nilikuwanayo ilikuwa inatoa picha kama hizo kabla hajawa na mengi

Kwani alishiriki kutafuta hizo mali ! .Mchango wake ni upi ,,?
 
Hivi nyinyi hamuoni hii kama ni muvi hii inaonekana familia ya mzee inataka imuondoe kwenye urithi huyu dada hii picha ni ya zamani sana kabla hata smartphone hazijaingia hiyo ni nokia90 nakumbuka nilikuwanayo ilikuwa inatoa picha kama hizo kabla hajawa na mengi

Kwani alishiriki kutafuta hizo mali ! .Mchango wake ni upi ,,?
 
kwanini mzee unaoa binti mdogo vitu vingine wanaume tunajitakia.

tunajua kabisaa kumridhisha ni ngumu kuoa binti mdogo ni ubinafsi nakumtesa huyoo binti kwa manyege.
Mwansume kama unaoa sawa, ila at 50 unatakiwa uanze kujiandaa kuwa mbalu na mwenzi wako ili uwe huru zaidi katika shughuli zako.
 
Nilichouliza mwanzo pale juu ni kuwa hata kama Mzee Mengi alikuwa akichitiwa na Jack na Mzee kashafariki na hadi umauti unamkuta bado Mengi na Jack walikuwa wana ndoa halali basi vyovyote vile Jack nae ana haki yake... Kitendo cha Jack kumcheat Mzee hakimpokonyi haki yake

Kuwa na ndoa halali sio kigezo cha kugawiwa urithi .kuna

1.Mali binafsi ya mwanandoa
2.Na mali ya wanandoa


Jack anamchango gani kwa Mzee zaid ya kumletea umauti tu.?
 
Ndiyo huyo au?
IMG-20190507-WA0144.jpeg
 
Back
Top Bottom