Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Nawahi seat hapa haya ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni
 
Izo nywele zake nilimuona nazo kwenye xxl majuzi tu
 
Wale wanaosema mapenzi pesa hebu waje huku. Alisikika msanii mmoja akiimba hivi....

Hukudekeza kama mtoto, furaha kufurahia.
Ghafla hugeuka moto, machozi unaliaaa.
Mwembamba munene, uwe na pesa kama dangote.
Penzi halijali umaskini, unaweza penda mtu yeyote.
Penzi sio somoo, usome kwa kitabu.
Penzi limefanya harmonize amfukuzishe mwarabu.

Mpaka mwisho wa nyimbo.

Ujumbe ni kwamba; mapenzi ni kama yaache yakifuata mkondo huwezi kuyazuia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…