Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Jamani Jamani wanazengo Leo wambea tutakufa kwa pressure maana sio kwa double breaking news za Leo , yani wakati sakata la gwajima bado likiwa bichi, Jipya laibuka kuhusu mke wa marehemu mengi akiwa kwenye picha ya pamoja na mwanaume aliyetajwa kutoka nae kimapenzi anayejulikana kwa Jina la Hussein mmliki wa element bar na balozi.

View attachment 1091442

Ila wanazengo Leo nimemuangalia jacky kwenye msiba alivyo mkavu na tinted juu sijui alikua anaficha nini usoni, yan ukiangalia kwa makini utasema Madam ritha Ndo alikua mfiwa Na sio jacky, na ndio maaan hata watu walikua hawana time naye kabisa kumpa pole, yan Yale maneno ya mange yanaanza kuniingia kichwani, jacky she is a Jezebel .

Mi nilivyoona mange kataja mpaka Jina la mwanaume mpaka picha ikapostiwa pale pale mbea mie nikawa alerted there is something danger.

View attachment 1091444

Unajua kwa stage aliyofikia mengi hakupaswa Kuwa na stress kabisa , huenda aligundua kitu kutoka kwa jacky, na kama mnavyojua babu yetu alikufa na kuoza kwa jacky, alikua aambiliki, Ila sema Ndo hivyo mapenzi upofu.

Na nimemuona regina alivyonuna wakati kabeba shada ya maua mmh yani jacky ajiandae tu kuvuliwa nguo , na kama tu ikijulikana alikua anacheat, itakula kwake hataambulia hata Mia na wamachame watamfanyia kitu mbaya atajuta maisha yake yote View attachment 1091186
Sasa katafute hela ya kula
 
Jamani Jamani wanazengo Leo wambea tutakufa kwa pressure maana sio kwa double breaking news za Leo , yani wakati sakata la gwajima bado likiwa bichi, Jipya laibuka kuhusu mke wa marehemu mengi akiwa kwenye picha ya pamoja na mwanaume aliyetajwa kutoka nae kimapenzi anayejulikana kwa Jina la Hussein mmliki wa element bar na balozi.

View attachment 1091442

Ila wanazengo Leo nimemuangalia jacky kwenye msiba alivyo mkavu na tinted juu sijui alikua anaficha nini usoni, yan ukiangalia kwa makini utasema Madam ritha Ndo alikua mfiwa Na sio jacky, na ndio maaan hata watu walikua hawana time naye kabisa kumpa pole, yan Yale maneno ya mange yanaanza kuniingia kichwani, jacky she is a Jezebel .

Mi nilivyoona mange kataja mpaka Jina la mwanaume mpaka picha ikapostiwa pale pale mbea mie nikawa alerted there is something danger.

View attachment 1091444

Unajua kwa stage aliyofikia mengi hakupaswa Kuwa na stress kabisa , huenda aligundua kitu kutoka kwa jacky, na kama mnavyojua babu yetu alikufa na kuoza kwa jacky, alikua aambiliki, Ila sema Ndo hivyo mapenzi upofu.

Na nimemuona regina alivyonuna wakati kabeba shada ya maua mmh yani jacky ajiandae tu kuvuliwa nguo , na kama tu ikijulikana alikua anacheat, itakula kwake hataambulia hata Mia na wamachame watamfanyia kitu mbaya atajuta maisha yake yote View attachment 1091186
1. haya mliajua wakti mengi bado akiwa hai? Mbona hatukuyaona?
2. awe alikuwa anacheat au la Sheria haiangalii!! tunachojua mengi ameacha mjane 1 na watoto kadhaa!! na mnajua mgao wa mali kwa watoto unaendaje? kaangalieni sheria za mirathi wale madogo wawili wataachiwa mpunga wa kutosha - wanalindwa na sheria si utashi! Too late!!
 
Wosia unaweza kubatilishwa kama hautendi haki Kwa Mwanamke mkubwa yaani Mama Mercy Mengi . Ukumbuke inavyosemekana Yule mama alikuwa na Kesi ambayo haijaisha na alikuwa anadai 75% ya Mali zote ziwe zake na kabla Kesi haijaisha mauti yakamkuta. Kwasababu Yule mama ameshiriki kuanzisha na kuikuza IPP . Kwa upande wa Jack Hali itakuwa ngumu bado kwake pamoja na ujanja wake wale watoto wakubwa wataidai Mali ya mama Yao lazima. Ukumbuke na watoto wale wameshiriki kuitumikia hiyo kampuni ya IPP toka ujana wao mpaka leo ni wazee nao.wamezaliwa na kulia na kuzeekea kwenye kampuni ya IPP group
Watoto wakubwa walifungua kesi ya mirathi ya marehemu mama yao kabla ha mzee mauti hayajamkuta,kwahiyo kesi moja ipo mahakamani
 
1. haya mliajua wakti mengi bado akiwa hai? Mbona hatukuyaona?
2. awe alikuwa anacheat au la Sheria haiangalii!! tunachojua mengi ameacha mjane 1 na watoto kadhaa!! na mnajua mgao wa mali kwa watoto unaendaje? kaangalieni sheria za mirathi wale madogo wawili wataachiwa mpunga wa kutosha - wanalindwa na sheria si utashi! Too late!!

hahahaha mkuu binti ameingia kwenye Maisha ya Mengi less than five years ago....I can guarantee you, wale wa MACHAME they saw all of it coming! Siyo wajinga kihivyo mkuu…..Mark my words!
 
Dah kwahiyo siku chache za karibuni Jack atakuwa mkurugenzi wa IPP , Mda unaenda kasi kweli kweli na mambo n mengi.
 
Watoto wakubwa walifungua kesi ya mirathi ya marehemu mama yao kabla ha mzee mauti hayajamkuta,kwahiyo kesi moja ipo mahakamani
K-lylin ajiandae kisaikolojia asitegemee Sana hizo Mali. Ila hawawezi kumtupa kwasababu ana watoto wadogo.Ila akitaka kuleta za kuleta watamtoa nduki na hata akienda mahakamani atashindwa kutokana na historia ya Mali ilivyopatikana.
 
Ukurugenxi labda kama unaota ndoto za usiku . Watoto wakubwa ambao wanamzidi Mengi umri wataenda wapi. Yule binti Regina Mengi ndio alikuwa anasimamia hizo TV na Radio Kwa miaka . Jackline ataingizaje pua hapo. Atakuwa anaenda kama mgeni. Hujawahi kuona wenye haki wanazulumiwa sasa huyu alieolewa akakuta Mali zote zipo , watoto wa Mzee ndio walikuwa wasimamizi. Jacklin kazi yake ilikuwa Kula Raha na kutumia pesa.watoto wa mzee wameitumikia kampuni Kwa miaka mingi toka inaanza mpaka hapo ilipo. Kumbuka hata Yule motie Mengi iliwahi kusemekana EATV ni yake
Dah kwahiyo siku chache za karibuni Jack atakuwa mkurugenzi wa IPP , Mda unaenda kasi kweli kweli na mambo n mengi.
 
Kwa sheria yawapi unaijua sheria wewe hata wangefanya kazi miaka200 hao washakuwa wakubwa wanajitegemea wenye urithi mkubwa ni watoto wa jacky hakuna huruma ya mtu hapo
Hata wewe hujui sheria . Sheria haibagui mtoto. Lakini Ile Mali ilikuwa miliki ya Mengi na mke wake mkubwa. Je Leo mke mkubwa angekuepo unafikiri ingekuaje. Sio rahisi kama unavyofikiria ndugu
 
Mnavyojinadi kuwa nyie ni wamachame ivi mnadhan miaka hii ni kama ile
Skuiz sheria inachukua mkondo wake, mke ata kama akicheat bado ni mke na hawezi kudhulumiwa kuwa wanahis kacheat bas inabidi asipewe mali zake halali
Kama wanamchukia ni wao kama anacheat ni ndoa yao, kikubwa ni mke halali wa marehem na hawakupeana taraka, mambo ya kudhurumiwa ni mambo ya zaman na miaka hyo
 
kuna mijitu nilikuwa nikiiambia inakuwa migumu kuamini, kama jamaa itakuwa kaacha will ambayo inaonesha K lyn anapesa ndefu ni lazima kutakuwa na uwalakini hapo.

Hata kama aliandika,prosecution wanawezatoa uhakiki mahakamani kua mzee aliandika akiwa mgonjwa..

Wakichukua medical records nk wanaweza prove hiyo kitu kirahisi sana....

Nasikia mzee alikua na dementia...na kumbuka wale wana madaktari wa familia medical records zote zipo....

Kama alikua diagnosed na dementia halafu ndio will ikaandikwa from the date of diagnosis onwards,mzee mzigo mzima unakua void!

Will ikiwa void,mzigo mzima unaletwa mezaniiii upyaa!

Plus na hiyo ndoa iliyofanyiwa huko sijui Cape Verde or wherever the fvck,jurisdiction haita-apply hapa uswazi!

Ngoma ni ndefu,washabiki wa KLyn wasidhani ni slum dunk tu!

Plus KLyn sidhani kama ana miakili very smart kivile namna hiyo labda kuna mahali alisahau kuset vizuri.....

Kuna mahali patakua na loophole alisahau prosecution watapita hapo hapo kama radi vile!
 
Umbea siku zote unapata comments za kutosha.
BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
 
Pale haja kubwa inapo jigonga kwenye feni inayo zunguka, hivi ndivyo inavyo kuaga
 
Huyu bidada atakuwa na wakati mgumu sana mbele ya familia na jamii nzima

Hivi alishawahi kutia mguu machame kwani

?
Hata kama aliandika,prosecution wanawezatoa uhakiki mahakamani kua mzee aliandika akiwa mgonjwa..
Wakichukua medical records nk wanaweza prove hiyo kitu kirahisi sana....
Nasikia mzee alikua na dementia...na kumbuka wale wana madaktari wa familia medical records zote zipo....
Kama alikua diagnosed na dementia halafu ndio will ikaandikwa from the date of diagnosis onwards,mzee mzigo mzima unakua void!
Will ikiwa void,mzigo mzima unaletwa mezaniiii upyaa!
Plus na hiyo ndoa iliyofanyiwa huko sijui Cape Verde or wherever the fvck,jurisdiction haita-apply hapa uswazi!
Ngoma ni ndefu,washabiki wa KLyn wasidhani ni slum dunk tu!
Plus KLyn sidhani kama ana miakili very smart kivile namna hiyo labda kuna mahali alisahau kuset vizuri.....
Kuna mahali patakua na loophole alisahau prosecution watapita hapo hapo kama radi vile!
 
Narudia tena, uzinzi huvunja ndoa

Kisheria ndoa huvunjwa na wanandoa wenyewe japo Biblia inakubali kuvunjwa kwa ndoa kwa uzinzi, ila inategemea kama pande ya mlalamikaji kama kaamua kuivunja

Swala la jacky ata kama kacheat ila ndoa haikuvunjwa kishelia na marehem kafa jacky akiwa mke wake halali
 
Kisa ni Mengi kuoa akat anajua anakarbia kufa, mana kuoa ukijua unakarbia kufa ni kumkabidhi mtu mali zako
 
Back
Top Bottom