Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Watu mnaongea vitu msivyovijua..

Jack alishapewa chake mapema, IPP pale hana chochote chake. Na wala hawezi kudai chochote. Eti kapewa 50%, nani kawadanganya? Mange??

Jack alishaandaliwa maisha yake na Mzee, kule Machame kamjengea nyumba ya Ghorofa 2 Kijiji cha Foo, na hiyo nyumba ndio urithi wa watoto wake mapacha.

Msiba wa Mzee haujaenda na wala hautafika kwenye nyumba aliyomjengea Jack kule Foo Machame, msiba utalala na kufanyika kwenye boma la familia. Hilo pekee liwafaamishe nafasi ya Jack kwenye familia na biashara..

Jack angekuwa na matatizo na familia kama mnavyoaminishana huku mitandaoni yeye pamoja na dadake wasingeruhusiwa hata kubeba shada na dadake kukaa nae on front seats pale Karimjee.
 
@DASM,documents haziwekwi kwenye draw y meza,zinahifadhiwa kwenye strong safe au hata kwa wakili ama kwenye safe deposit
 
We ndo hujui, hyo ni kama wangeachana, ila kafa wakiwa ni wanandoa, inamaanisha familia halali ya mengi
Kikubwa ni wosia ataoacha Mengi ndo utajibu





Mkuu kumbuka Mengi alikuwa na Mke mwingine na ana watoto nae kama alivo kwa Jack ,je Jack amechangia nini katika utajiri wa mzee ?
Hicho kibind walicho kaa kwenye ndoa wamechuma nini, Mkuu kuna mali za aina mbili
1:Mali binasfi ya mwanandoa
2.Na mali ya wanandoa
Pia kama mzee aliacha will ,je kama bidada ndo alimshawishi vilivo unadhan watoto wakubwa watakubal hivi hiv tu ukizingatia nao wamepambana mpaka kufikisha kampuni hapo ilipo?
Hili jambo ni zito sana ,Mungu apitishe hekima yake sana kwa wanafamilia mambo yaende kwa amani aman[/QUOTE]
 
kila mtu huchagua aina ya maisha labda hakutaka kuwa mzinzi kama wewe
Mi ntamlaumu mengi mpaka kesho....umri ule kuoa na unapesa ni kujitia kwenye brand new stress.. alipaswa kula maisha tu unaita dem yeyote unaetaka unamla...hapo angeongeza siku za kuishi
 
Hiyo Kesi itaisha haraka Sana kwasababu Mke mkubwa wa Mengi marehemu ana haki kuliko huyu Kylin aliekuja Mali zikiwa zimechumwa Tayari. Kylin hapewi kitu wale watoto watapewa wakapewa kiasi Kwa huruma ya watoto wakubwa Wa Mengi
Kutokana na sheria za mirathi ya Tanzania au ubunifu wako tu mkuu?
 
Watu mnaongea vitu msivyovijua..
Jack alishapewa chake mapema, IPP pale hana chochote chake. Na wala hawezi kudai chochote. Eti kapewa 50%, nani kawadanganya? Mange??
Jack alishaandaliwa maisha yake na Mzee, kule Machame kamjengea nyumba ya Ghorofa 2 Kijiji cha Foo, na hiyo nyumba ndio urithi wa watoto wake mapacha.
Msiba wa Mzee haujaenda na wala hautafika kwenye nyumba aliyomjengea Jack kule Foo Machame, msiba utalala na kufanyika kwenye boma la familia. Hilo pekee liwafaamishe nafasi ya Jack kwenye familia na biashara..
Jack angekuwa na matatizo na familia kama mnavyoaminishana huku mitandaoni yeye pamoja na dadake wasingeruhusiwa hata kubeba shada na dadake kukaa nae on front seats pale Karimjee.



Kama mzee alifanya hivo atakuwa alitumia busara zake sana na elimu ili kuepesha ugomvi baade.


Hivi kwanini wanawake wanaaminigi kuwa mwanaume ndo ataanza kufa kwanza ndo afuate yeye.
 
Alikosea sana ,na pia aliwakosea heshima wanawe wakubwa ,huoni Regina ni mkubwa kushinda Jack !

Mkuu

Mzee hawezi sema anawapenda wale watoto wakubwa eti at the same time ana vita na mama aliewazaa hao watoto!

Psychologically this can never happen....hua tunajiaminisha tu

Huwezi sema unanipenda at the same time unasababisha maumivu makubwa kwa mama yangu mzazi,thats nonsensical !

Mzee angebaki long time bachelor,tena angekua huru kupiga more k za kutosha,etc!

Kuna kitu mzee labda alikosa alipokua mdogo,ndio maana anataka attention sana kwa wanawake..and this is weakness!

Wote tuna weaknesses zetu,na hii ili-happen kumpata mzee,na ndio iliyomvuruga na kummaliza..

Sisi sote tuna fate zetu,this happens to be mzee's fate...

No judgement lakini.....ila he would have done it better than this in my opinion!
 
Watu mnaongea vitu msivyovijua..

Jack alishapewa chake mapema, IPP pale hana chochote chake. Na wala hawezi kudai chochote. Eti kapewa 50%, nani kawadanganya? Mange??

Jack alishaandaliwa maisha yake na Mzee, kule Machame kamjengea nyumba ya Ghorofa 2 Kijiji cha Foo, na hiyo nyumba ndio urithi wa watoto wake mapacha.

Msiba wa Mzee haujaenda na wala hautafika kwenye nyumba aliyomjengea Jack kule Foo Machame, msiba utalala na kufanyika kwenye boma la familia. Hilo pekee liwafaamishe nafasi ya Jack kwenye familia na biashara..

Jack angekuwa na matatizo na familia kama mnavyoaminishana huku mitandaoni yeye pamoja na dadake wasingeruhusiwa hata kubeba shada na dadake kukaa nae on front seats pale Karimjee.
Wamachame na baadhi ya wadada wenye kijicho watajinyonga wakiona hii comment...

Wanataka Jacq asipate hata mia[emoji16]

(Jamani natania)
 
Ninachokiona hapa ni vita kati ya wamachame na jacky ambaye ni mke halali wa mzee Mengi

Kwanini msisubiri msiba uishe asee

Naamini mzee Mengi hakua mjinga wa kisheria, najua kila mtu atapata chake kisheria kabisa

Tuache chuki.
 
Kama mzee alifanya hivo atakuwa alitumia busara zake sana na elimu ili kuepesha ugomvi baade.


Hivi kwanini wanawake wanaaminigi kuwa mwanaume ndo ataanza kufa kwanza ndo afuate yeye.
Nyie mna stress sana mkuu, ndio maana mnavuta mapema!
 
Wamachame na baadhi ya wadada wenye kijicho watajinyonga wakiona hii comment...
Wanataka Jacq asipate hata mia[emoji16]
(Jamani natania)


Hapana lazima apate sasa hawaoni anawatto wadogo kabisa? .Atapata ila kidogo.

Lakini hii tabia ya wadada na vibabu kuoana sio nzuri kwenye jamii
 
Back
Top Bottom