Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Acha kuwadanganya watanzania wewe auoni hata aibu !!

Jiulize yule Mzee asingekuwa na kitu bidada angemvulia Mzee chupi amtengee na kumzalia?

Think twice Culture gal
Aibu iwe juu yako kwa kushindwa kunielewa sababu ya mihemko isiyokua na maana.
Soma tena uelewe
 
Kuna watu wanapenda sana kuonana mwingine akianguka na kupata shida..
Yani hapa wanachotaka kuona Jackie ananyimwa urithi na kufukuzwa..huu ni ushetani
Na ushetani wao utawarudia wenyewe, wakati wanatongozana hawakuwepo leo hii wanampangia mtu urithi,
Michango ya wadau humu ndio inasadifu jinsi walivyo cruel kwenye familia zao pia inaonesha haswaa jinsi mjane wa kiafrica anavyonyanyaswa pindi mumewe akifariki, nilidhani hayo mambo yameisha kumbe bado tena hata kwa wanaojiita wasomi.

what a shame!
 
Kwa hivi sasa hauwezi ukazungumza lolote kuhusu hao watoto kuwa ndio waongeza ukoo cuz kama dada yao na kaka yao ni LGBT kama ni kweli usemayo ...hata wao wanaweza kufuata njia hiyo
but lesbian anaweza zaa akiamua kuwa na familia, same kwanza gay anweza fanya IVF na mwanamke yoyote
 
Na ushetani wao utawarudia wenyewe, wakati wanatongozana hawakuwepo leo hii wanampangia mtu urithi,
Michango ya wadau humu ndio inasadifu jinsi walivyo cruel kwenye familia zao pia inaonesha haswaa jinsi mjane wa kiafrica anavyonyanyaswa pindi mumewe akifariki, nilidhani hayo mambo yameisha kumbe bado tena hata kwa wanaojiita wasomi.

what a shame!
Mwanaume mwenye mali akifa mjane ataambiwa hakuwa na mapenzi na mume. Waja wana visa sanah
 
Ndo mana mnashindwa kujadili ndugu zetu akina mdude wanatekwa mnajadilia mambo yasiyo na msingi kwa taifa hili na mengine ni personal issues za watu
Ndio ushafeli nawe kufuatilia comment ambazo hazina msingi huku kukiwa na hizo mada unazoona zina tija kwako, maisha uliyochagua kuishi usilazimishe mwingine kuyaishi LYL & MYOB
 
Eti mwaya,
Swali la kujiuliza ni kuwa ,

Je Mzee Mengi angekuwa hana hela kabisa kachoka hata Pension hana , je bidada angemkubali ?
Je angemzalia watoto?

Huo ndo utabaki kuwa ukweli
Kumbukeni jack alitongozwa hakujitongozesha
 
Umbea siku zote unapata comments za kutosha.
BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
Acha kuchanganya kifo cha mengi na vitu vya kijinga [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kumbukeni jack alitongozwa hakujitongozesha

Hiyo si hoja!
Maana wanawake wanamtega mwanamme ili watongozwe wakijua ana pesa !

Yani umtege mwanaume halafu akikutongoza ukamkubalia useme yeye alianza?!

Aliyeanza ni Yule aliyemlia mingo!

[emoji3][emoji3][emoji3]

Wanawake someni, fanyeni kazi na siyo kuishi kwa kutegemea kutoka kimaisha kwa kutegemea K
 
Yaani madam Rita msiba umemkolea na kulia kwa kutaabika KULIKO the so termed mke wa marehemu I e Jack? Hatari kabisa hii.
si nae bi mdogo, lazima alie mwaya, mchepuko unauma, hata makeup hajapaka Rita wa watu
 
Hii technique aliutumia Rollin Stone alpoachana na mke wake. Alimuoa kwenye visiwa vya Fiji kumbe kwa sheria za Uingereza walikoachania ndoa haijulikani. Jamaa aliingia kutoa children maintenance tu.
ujue mi naishi hapa FIJI hehehe
 
Jamani Jamani wanazengo Leo wambea tutakufa kwa pressure maana sio kwa double breaking news za Leo , yani wakati sakata la gwajima bado likiwa bichi, Jipya laibuka kuhusu mke wa marehemu mengi akiwa kwenye picha ya pamoja na mwanaume aliyetajwa kutoka nae kimapenzi anayejulikana kwa Jina la Hussein mmliki wa element bar na balozi.

View attachment 1091442

Ila wanazengo Leo nimemuangalia jacky kwenye msiba alivyo mkavu na tinted juu sijui alikua anaficha nini usoni, yan ukiangalia kwa makini utasema Madam ritha Ndo alikua mfiwa Na sio jacky, na ndio maaan hata watu walikua hawana time naye kabisa kumpa pole, yan Yale maneno ya mange yanaanza kuniingia kichwani, jacky she is a Jezebel .

Mi nilivyoona mange kataja mpaka Jina la mwanaume mpaka picha ikapostiwa pale pale mbea mie nikawa alerted there is something danger.

View attachment 1091444

Unajua kwa stage aliyofikia mengi hakupaswa Kuwa na stress kabisa , huenda aligundua kitu kutoka kwa jacky, na kama mnavyojua babu yetu alikufa na kuoza kwa jacky, alikua aambiliki, Ila sema Ndo hivyo mapenzi upofu.

Na nimemuona regina alivyonuna wakati kabeba shada ya maua mmh yani jacky ajiandae tu kuvuliwa nguo , na kama tu ikijulikana alikua anacheat, itakula kwake hataambulia hata Mia na wamachame watamfanyia kitu mbaya atajuta maisha yake yote View attachment 1091186

JM aavuta cha R au ni mkono tu hapo?
 
Back
Top Bottom