Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu iwe juu yako kwa kushindwa kunielewa sababu ya mihemko isiyokua na maana.Acha kuwadanganya watanzania wewe auoni hata aibu !!
Jiulize yule Mzee asingekuwa na kitu bidada angemvulia Mzee chupi amtengee na kumzalia?
Think twice Culture gal
Na ushetani wao utawarudia wenyewe, wakati wanatongozana hawakuwepo leo hii wanampangia mtu urithi,Kuna watu wanapenda sana kuonana mwingine akianguka na kupata shida..
Yani hapa wanachotaka kuona Jackie ananyimwa urithi na kufukuzwa..huu ni ushetani
but lesbian anaweza zaa akiamua kuwa na familia, same kwanza gay anweza fanya IVF na mwanamke yoyoteKwa hivi sasa hauwezi ukazungumza lolote kuhusu hao watoto kuwa ndio waongeza ukoo cuz kama dada yao na kaka yao ni LGBT kama ni kweli usemayo ...hata wao wanaweza kufuata njia hiyo
Mwanaume mwenye mali akifa mjane ataambiwa hakuwa na mapenzi na mume. Waja wana visa sanahNa ushetani wao utawarudia wenyewe, wakati wanatongozana hawakuwepo leo hii wanampangia mtu urithi,
Michango ya wadau humu ndio inasadifu jinsi walivyo cruel kwenye familia zao pia inaonesha haswaa jinsi mjane wa kiafrica anavyonyanyaswa pindi mumewe akifariki, nilidhani hayo mambo yameisha kumbe bado tena hata kwa wanaojiita wasomi.
what a shame!
Eeeee [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Dogo domo nae alijilipua sijui alikuwa anahongwa . Mambo ni mengi muda mchache
Bahati mbaya hujawaLaki ??? ,
Mimi ningekua prezda ningeamuru kibabe makampun ya simu yauze internet ukitaka bundle la 500MB unatoa milioni moja
sana jiji lenu zito hiloo aiseeHuyu kaka ndo Hussein au?[emoji3]..mji mzito huu jamanii.
Bahati mbaya hujawa
Ndio ushafeli nawe kufuatilia comment ambazo hazina msingi huku kukiwa na hizo mada unazoona zina tija kwako, maisha uliyochagua kuishi usilazimishe mwingine kuyaishi LYL & MYOBNdo mana mnashindwa kujadili ndugu zetu akina mdude wanatekwa mnajadilia mambo yasiyo na msingi kwa taifa hili na mengine ni personal issues za watu
Wanaridhika, sema PESA na mkuyenge kila kimoja kina nafasi yake. Akipata vyote anaridhika.Tangu lini mwanamke akaridhika .....
Kumbukeni jack alitongozwa hakujitongozeshaEti mwaya,
Swali la kujiuliza ni kuwa ,
Je Mzee Mengi angekuwa hana hela kabisa kachoka hata Pension hana , je bidada angemkubali ?
Je angemzalia watoto?
Huo ndo utabaki kuwa ukweli
Acha kuchanganya kifo cha mengi na vitu vya kijinga [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Umbea siku zote unapata comments za kutosha.
BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
#BringBackMdudeAlive
Kumbukeni jack alitongozwa hakujitongozesha
Inasikitisha sana, wivu huzalisha chuki na chuki huzalisha ujinga.Mwanaume mwenye mali akifa mjane ataambiwa hakuwa na mapenzi na mume. Waja wana visa sanah
si nae bi mdogo, lazima alie mwaya, mchepuko unauma, hata makeup hajapaka Rita wa watuYaani madam Rita msiba umemkolea na kulia kwa kutaabika KULIKO the so termed mke wa marehemu I e Jack? Hatari kabisa hii.
ujue mi naishi hapa FIJI heheheHii technique aliutumia Rollin Stone alpoachana na mke wake. Alimuoa kwenye visiwa vya Fiji kumbe kwa sheria za Uingereza walikoachania ndoa haijulikani. Jamaa aliingia kutoa children maintenance tu.
Mkuu ukimaanisha basha au mke wake
Jamani Jamani wanazengo Leo wambea tutakufa kwa pressure maana sio kwa double breaking news za Leo , yani wakati sakata la gwajima bado likiwa bichi, Jipya laibuka kuhusu mke wa marehemu mengi akiwa kwenye picha ya pamoja na mwanaume aliyetajwa kutoka nae kimapenzi anayejulikana kwa Jina la Hussein mmliki wa element bar na balozi.
View attachment 1091442
Ila wanazengo Leo nimemuangalia jacky kwenye msiba alivyo mkavu na tinted juu sijui alikua anaficha nini usoni, yan ukiangalia kwa makini utasema Madam ritha Ndo alikua mfiwa Na sio jacky, na ndio maaan hata watu walikua hawana time naye kabisa kumpa pole, yan Yale maneno ya mange yanaanza kuniingia kichwani, jacky she is a Jezebel .
Mi nilivyoona mange kataja mpaka Jina la mwanaume mpaka picha ikapostiwa pale pale mbea mie nikawa alerted there is something danger.
View attachment 1091444
Unajua kwa stage aliyofikia mengi hakupaswa Kuwa na stress kabisa , huenda aligundua kitu kutoka kwa jacky, na kama mnavyojua babu yetu alikufa na kuoza kwa jacky, alikua aambiliki, Ila sema Ndo hivyo mapenzi upofu.
Na nimemuona regina alivyonuna wakati kabeba shada ya maua mmh yani jacky ajiandae tu kuvuliwa nguo , na kama tu ikijulikana alikua anacheat, itakula kwake hataambulia hata Mia na wamachame watamfanyia kitu mbaya atajuta maisha yake yote View attachment 1091186