Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Mwanamke kufikia miaka 40 mpaka 50 kibailojia hawezi kuzaa tena. Mda wake unakuwa umeisha . Labda endapo Regina hayupo kwenye hiyo limit. Hiyo ni scientifically proved lakini Kaka abdiel bado anaweza kuzaa hata akifikisha Age ya 80 uko. Abdiel bado umri unamruhusu kwasababu ni mwanaume.
mkuu vipi unajua kama hawezi kuzaa? Au wewe Dr wa familia?
 
Inawezekana kabisa Hilo halina ubishi. Hajataka kuwa na demu permanent
Tatizo watu wanataka mpaka mtu apeleke watoto wake iwe matangazo.. Au Yule mwanae marehemu unaniambia watoto hana na starehe zote zile na totoz
 
Watu mnaongea saana ila hamjui terms za ndoa za mzee mengi,hivi mnaona alikua mjinga kiasi hicho? Mnajua sheria za ndoa za nchi aliyofungia ndoa?

Jack anabiashara zake ambazo alipewa support na mzee,na huo ndo urithi wake
 
nna mashaka makubwa na huyu mtoa post yaanii ka joini may 7 na kutoa kitu kizito kama hiki? sawa huenda watu wakawa wanajua ila huyu huenda ni mtu wa ndani wa familia yaani kwenye wale ma shosti anaweza kua kwenye list..

swala la picha ya tekno *WEREVA* haijalishi hata ujumbe unaeza tengenezea picha fulani...
#mjimzitohuu
 
Waja wana maneno. Hata angezimia bado wangeongea. Sijui walitaka alie kwa siku ngap ndo waridhike
Unaamini rumours!! yaan Jacky amuue mumewe kwa ajili ya mali wakati alikua kwenye mali, don't be so naive.

angelia kwa kujitupa tupa mngesema ana act, analia kimya kimya kwa uchungu mnasema hana aibu, mbona hamuwaangalii watoto wake wale wakubwa?
 
Mi ntamlaumu mengi mpaka kesho....umri ule kuoa na unapesa ni kujitia kwenye brand new stress.. alipaswa kula maisha tu unaita dem yeyote unaetaka unamla...hapo angeongeza siku za kuishi
Ni kweli kabisa maana kwa umri wa mzee machache lazima alikuwa anatumia viagra maana mtoto mbichi yule kila siku anataka kula mhogo
 
Ana wajukuu Marehemu Mutie mtoto wa Mengi ameacha mtoto
 
Huyo wa kiume sio kweli , hacheni kumchafua na story Zenu za kubuni, kwanza watu mmewajua baada ya huu msiba halafu mnamsingizia Jambo kubwa hivyo na ni uongo
Yaani wabongo kwa kutunga stori Abdiel mbona anawala sanaa!!!halafu naskia ana mtoto sina hakika sana
 
Nadhani wale watoto ni wa chupa yaani IVF. Maana kabla ya mimba Klynn na mzee walikuwa na safari nyingi sana za London, Uingereza. Hata mwanzo wa mimba yake. Naimani mzee alishiriki kikamilifu na ndo alilipia hayo matibabu. Nini hasa kilimpelekea kufanya hivyo, hata kama Klynn alimbembeleza. Mzee wa miaka 70 kuzaa ni kutesa tu watoto maana kama umri wetu wa kuishi ni miaka 75, mzee alizaa ili iweje ili hali alikuwa na watoto tayari?
Klynn aliomba watoto kama kitega uchumi. Tutasikia mengi.
Alitegesha kimaslahi zaidi smart investment!!! Mapacha baasi katulia tuliiii!!!!anasubiri urithi na utajiri baaasiii!!
 
All in all Klyn ameshaagana na umasikini, wale watoto watapata child support na ada watalipiwa. Hata kama mama yao akikosa atakula hela ya watoto. Ingawa life will never be the same again.
Hatannua tena pochi ya millioni 7 Orijino kwa sasa na mawiving ya millioni 3 nne atatupumzisha wambea na zile quotes za kitajiri nafikiri atapunguza kwa sasa zitakuwepo za faraja tu
 
Mi ntamlaumu mengi mpaka kesho....umri ule kuoa na unapesa ni kujitia kwenye brand new stress.. alipaswa kula maisha tu unaita dem yeyote unaetaka unamla...hapo angeongeza siku za kuishi
Angekuwa anamchukua anamkula anamuacha anatafuta mwingine angeenjoy maisha
 
Back
Top Bottom