Ulitaka awanunulie chakula, birthday nisiku muhimu kwa Kila mtu. Bwege weeeAnasherekea birthday wkt wananchi wake hawana uhakika wa kula walau mlo mmoja kwa siku!pathetic
Kwa hiyo hawa wasio kuwa na uhakika wa mlo mmoja kwa siku ,wao hawasherekei siku zao za kuzaliwa ???Anasherekea birthday wkt wananchi wake hawana uhakika wa kula walau mlo mmoja kwa siku!pathetic
Mbona sion picha mkuuuPICHA JINSI MHE: HALIMA MDEE ALIVYOSHEREKEA SIKU YAKE KUZALIWA
View attachment 331141
View attachment 331140
mtoa mada kataja wapi chadema!. wenzako wanafight teuzi za mh rais zizingatie usawa wewe uko hapa unaweweseka na chadema.Hizo nazo ni sera za Chadema kusherekea birthday? Hayo mambo yake binafsi hayana uhusiano wowote na siasa.
MaCcm bhana, mmeshau mlivyo kuwa mnapiga selfie na jamaa yenu kule Magogoni wakati wa birthday zake? Sasa Mh Halima kafanya tena kwa gharama zake imekuwa nongwa? Wakati mzee wa selfie alikuwa anatumia pesa zetu na watoto wakikaa chini hamkuona. Akili kubwa kuongozwa na akili ndogoHizo nazo ni sera za Chadema kusherekea birthday? Hayo mambo yake binafsi hayana uhusiano wowote na siasa.
Eeenhee! hiyo ndo kazi ccm mnaweza kwa fitina n majungu.Eeenhee! hiyo ndo kazi chadema mnaweza
Nkungulume mbona una mawazo ya "kimasikini" sana,kwa mshahara wa Mbunge anaopata kila mwezi atashindwa kuandaa kitu kama hicho?Unajuwa "signatory" wa account ya mfuko wa Mbunge jimboni?Unafikiri huo mfuko wa mbunge Halima Mdee ana access ya acount yake muda wote?Kama hujui vitu tulia kijana usijiabisheMbunge ana mfuko wa jimbo ambao anatakiwa autumie kwa maendeleo ya wananchi yy anafanyia siku ya kuzaliwa Nyumbu ni Nyumbu hana msaada wowote
TANGANA baaana anachekeshaaaa kweliiiiii..Eti a nafanya Bethidey watu wake Wa nalala njaa..Haaa haaaa Jamani kweli kaka Umevurugwaaa...Sasa Keki yenyewe sh.ngapi..kikweteee tena Ikulu Na Birthday hukuonaa...jamani AIBU Sana..sio lazima kila Thread uchangieeeeWewe unapokula nyama choma kwenye bar, watoto au wazazi wako wanakula? Si ni mara moja mbn unamkomalia Mdee
Kwani hana Mtoto????nasikiaaa anayejua mmoja..ngoja wachambuzii Wa Mamboo wajeeeeMungu amsaidie hata aolewee ajipatie mtoto mmojaaa
Kwa hiyo asisherekee bday yake . Kwan Hana mshahara unauhakika gan ni hela ya mfuko wa jimbo. Happy birthday Halima MdeeeMbunge ana mfuko wa jimbo ambao anatakiwa autumie kwa maendeleo ya wananchi yy anafanyia siku ya kuzaliwa Nyumbu ni Nyumbu hana msaada wowote
Mbona ikulu iliwakaribisha wasanii wa bongo movie kusherehekea tuzo binafsi za wasanii wawili ambazi hazina faida yoyote kwa taifa na watu wakanywa vinywaji.kwani hayo huoni kama ni matumizi mabaya ya pesa za umma wakati kuna maskini hawajala zaidi ya siku mbili?Anasherekea birthday wkt wananchi wake hawana uhakika wa kula walau mlo mmoja kwa siku!pathetic