FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
JK si alikuwa anasherekea kule Ikulu kwa tafrija kubwa tu za mamilioni.. Wananchi walikuwa wanakula?? After all Halima hausiki na wananchi kula au kutokula.. Upuuzi wa CCM mnataka muwabebeshe lawama wengine?? Unajua Halima Jimbo analotawala ndio linaongoza kukaliwa na matajiri wa Tanzania.. Bakhressa, Mengi, Rostam, Manji, Mafuruki, Dewji wote wanakaa huko anakotawala huyo binti.. Mitaa kama Masaki, Obey, Mikocheni, Msasani ambako mawaziri wote huishi huko anatawala huyu binti...Anasherekea birthday wkt wananchi wake hawana uhakika wa kula walau mlo mmoja kwa siku!pathetic