ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Ni busara mkatafute hoja za kupangua hoja zake. PoleniYeah, hakujua! Tanzania tuna tabia ya kuwaamini watu tukidhani ni wema kama sisi. Huyu siyo Mtanzania jameni anzieni kwenye jina lake. Hata Njelu Kasaka hakujua G55 alidhani ni mwenzao kumbe vurugaji.
Atake asitakeeeeeeeeeeePicha yake na Nyerere kutokuwepo ndo isimpe mamlaka ya kumkemea mtu?na kuisimamia sheria?
Anayo ya kupiga watu bakoraMchango wa Ulimwengu kwa vijana, Tasnia ya habari, demokrasia, uchambuzi wa masuala ya kitaifa ni mkubwa sana
Kiufupi Ndugai hana impact yoyote kubwa katika nchi hii kulinganisha na Jenerali Ulimwengu
Wakati Ulimwengu akiwa kwenye trenches na akina Samora Machel, Ndugai alikuwa shule ya msingi anaenda shule bila viatu, sasa atamtisha nini Jenerali?
Polepole anakufanyiagaje Kwani?hao smart mbona hawafanyi kama polepole?
Ulimwengu nimeanza kumsoma makala zake nikiwa darasa la pili . Jamaa kichwa sanaaaaaMchango wa Ulimwengu kwa vijana, Tasnia ya habari, demokrasia, uchambuzi wa masuala ya kitaifa ni mkubwa sana
Kiufupi Ndugai hana impact yoyote kubwa katika nchi hii kulinganisha na Jenerali Ulimwengu
Wakati Ulimwengu akiwa kwenye trenches na akina Samora Machel, Ndugai alikuwa shule ya msingi anaenda shule bila viatu, sasa atamtisha nini Jenerali?
Siku zimebadilika sana.Mchango wa Ulimwengu kwa vijana, Tasnia ya habari, demokrasia, uchambuzi wa masuala ya kitaifa ni mkubwa sana
Kiufupi Ndugai hana impact yoyote kubwa katika nchi hii kulinganisha na Jenerali Ulimwengu
Wakati Ulimwengu akiwa kwenye trenches na akina Samora Machel, Ndugai alikuwa shule ya msingi anaenda shule bila viatu, sasa atamtisha nini Jenerali?
EeenHeee Heee!Ulimwengu nimeanza kumsoma makala zake nikiwa darasa la pili . Jamaa kichwa sanaaaaa
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Yeah, hakujua! Tanzania tuna tabia ya kuwaamini watu tukidhani ni wema kama sisi. Huyu siyo Mtanzania jameni anzieni kwenye jina lake. Hata Njelu Kasaka hakujua G55 alidhani ni mwenzao kumbe vurugaji.
Mungu ana maajabu sana. Ndugai alimwambia Ally Kessy aweke hoja yake kwa ajili ya bunge lijalo. Ali Kesy akapingwa mweleka. March 17 maji yakitingimanya. Sasa kajitu kafupi hakana pa kushikia"Atake asitake" legacy nukuu za aibu kwa taifa letu tuliwahi kuwa na mfumo duni watu wa ajabu kupenya nafasi za juu uongozi.
Swali lako linalenga nini ?Hizi picha ziko makumbusho kwahiyo, au amezitoa Jenerali zitumike
Ndugai is mentally and professionally weak.Picha yake na Nyerere kutokuwepo ndo isimpe mamlaka ya kumkemea mtu?na kuisimamia sheria?
Good observation, hata mm nilikua najiuliza, 1988, JKN alikua na mvi kiasi hicho?!.Kumbe nyerere kitambo tu alishakuwaga na mvi
.Yeah, hakujua! Tanzania tuna tabia ya kuwaamini watu tukidhani ni wema kama sisi. Huyu siyo Mtanzania jameni anzieni kwenye jina lake. Hata Njelu Kasaka hakujua G55 alidhani ni mwenzao kumbe vurugaji.
Picha zinapatikana sehemu mbali mbali, nyingine nadhani hata Ulimwengu mwenyewe alishazisahau.Hizi picha ziko makumbusho kwahiyo, au amezitoa Jenerali zitumike
Hahaha you're damn right. Ndugai asijifananishe kabisa na gen. Ulimwengu. Hakuna kijana yeyote nchini anayevutiwa na ubunge wala uspika wake. What a legacy is he building to the youth?Mchango wa Ulimwengu kwa vijana, Tasnia ya habari, demokrasia, uchambuzi wa masuala ya kitaifa ni mkubwa sana
Kiufupi Ndugai hana impact yoyote kubwa katika nchi hii kulinganisha na Jenerali Ulimwengu
Wakati Ulimwengu akiwa kwenye trenches na akina Samora Machel, Ndugai alikuwa shule ya msingi anaenda shule bila viatu, sasa atamtisha nini Jenerali?