Thibitisha kwanza uraia wako na ututhibitishie kwamba Ulimwengu sio raiaYeah, hakujua! Tanzania tuna tabia ya kuwaamini watu tukidhani ni wema kama sisi. Huyu siyo Mtanzania jameni anzieni kwenye jina lake. Hata Njelu Kasaka hakujua G55 alidhani ni mwenzao kumbe vurugaji.
Huyu hana lolote wala si chochote.Wakudadavuwa atabisha na kununa!
Mkimbizi toka rwanda hadi wamembaini enzi za mkapa. Baada ya kuomba uraia akapewa hadi leo amekua mwiba kwa kuipinga ccm na serikali zake.Hii ilikuwa mwaka 1988 baada ya kutambua Mchango wake katika kuwatumikia vijana .
View attachment 2009075
Harafu Kuna mbwa majike wanatubania pua eti Ulimwengu sio Mtanzania,ni mnyarwanda.Hii ilikuwa mwaka 1988 baada ya kutambua Mchango wake katika kuwatumikia vijana .
View attachment 2009075
Umetisha sana mkuu.
Utaambulia kuiona inayomwonesha akiwa kwenye tembe.Tunaomba na picha ya Ndungai hata akiwa amesimama tu na Nyerere achilia mbali kupewa medali yoyote Ile.
Kwa kauli yako hii usishangae ukaitwa bungeni kuhojiwa Kama wakina Assad.😄😄😄😄Utaambulia kuiona inayomwonesha akiwa kwenye tembe.
Ni busara mkatafute hoja za kupangua hoja zake. Poleni
Ngoja hiyo siku ifikeSiku akimtukana au kumkosoa Mbowe Bavicja mtageuka huyo Jenerali
Jifunze Kutoka Kwa mkt wako U-Turn aliyopiga kumhusu JPM.Hii ilikuwa mwaka 1988 baada ya kutambua Mchango wake katika kuwatumikia vijana .
View attachment 2009075
Enzi ya Nyerere huyo pimbi alikuwa anakunya porini na kula viwavi jeshi huko kongwaTunaomba na picha ya Ndungai hata akiwa amesimama tu na Nyerere achilia mbali kupewa medali yoyote Ile.
Mimi sijawahi kumtukana Magufuli , kama una ushahidi weka hapa hayo matusi , BALI MARA ZOTE NIMEMWANDIKA MAGUFULI KWA TABIA ZAKE ZA UKATILI , USHAMBA , ROHO MBAYA , VISASI NA ULEVI WA MADARAKA , hata mara moja kumuelezea mtu alivyo na tabia alizonazo hajawahi kuwa matusi .Jifunze Kutoka Kwa mkt wako U-Turn aliyopiga kumhusu JPM.
Mkt alikiri jiwe alikuwa na uthubutu na alisimamia vizuri raslimali za Taifa.
Amekuwa akisema pia mabaya ya jiwe Ili viongozi wengine wasiyafuate.
Mh LEMA amewahi fanya hivyo pia alipokiri kuwa JPM aliitangaza vizuri Nchi kuliko huyu sababu alihimiza uchapa KAZI na PAN AFRCANISM.
Kuna tabia imejengeka CDM Kila anayemtukana JPM mnamuona kama shujaa, sikatai uhuru wa maoni.
Nikufikirishe kidogo,
Mkt na makamu wake walipohamasisha maandamano Nchi nzima Ili mkt atolewe JELA Kwa case ya mchongo, huoni kuwa kumtukana jiwe kumeathiri chama chenu Kwa kiasi kikubwa kupata support ya watu wa chini ambao zamani walikuwa mtaji mkubwa wa KISIASA wa CDM?
Ktk suala la JPM mngebalance mapema, Leo hii hao mnaowaita S.gang wote wangekuja CDM na mngepata political gain.
Nashauri fanyeni siasa kisayansi, mtu huyu Magufuli alifanya MAZURI mengi sana ktk Nchi kuliko mabaya,
Mkiyakubali MAZURI yake wananchi wataelewa kirahsi.
Nijibu kisomi Kwa HOJA. Amen
Ni HAKI Yako KIKATIBA Kutoa maoni,Mimi sijawahi kumtukana Magufuli , kama una ushahidi weka hapa hayo matusi , BALI MARA ZOTE NIMEMWANDIKA MAGUFULI KWA TABIA ZAKE ZA UKATILI , USHAMBA , ROHO MBAYA , VISASI NA ULEVI WA MADARAKA , hata mara moja kumuelezea mtu alivyo na tabia alizonazo hajawahi kuwa matusi .
Kingine kinachonihusu mimi ni hiki , situkani watu humu JF kwa vile nina tabia njema , na hata sheria za JF haziruhusu matusi , lakini siogopi kukueleza ukweli wewe ama mwingine yoyote , hata akiwa kiongozi wa nchi , polisi ama yoyote , chunguza vizuri maandiko yangu yote utanijua bila shaka .
NILIDHANI anamvisha MAGUFULI maana nasikia ANASIFIWA sana Eti MZALENDOHii ilikuwa mwaka 1988 baada ya kutambua Mchango wake katika kuwatumikia vijana .
View attachment 2009075
Siku hizi umekuwa chawa wa Generali?Hii ilikuwa mwaka 1988 baada ya kutambua Mchango wake katika kuwatumikia vijana .
View attachment 2009075
Leo kuna mbuzi wanambezaHii ilikuwa mwaka 1988 baada ya kutambua Mchango wake katika kuwatumikia vijana .
View attachment 2009075