Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ilikuwa mwaka 1988 baada ya kutambua Mchango wake katika kuwatumikia vijana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakudadavuwa atabisha na kununa!Hii ilikuwa mwaka 1988 baada ya kutambua Mchango wake katika kuwatumikia vijana .
View attachment 2009075
Wakudadavua ndo Ndugai mwenyewe 😄Wakudadavuwa atabisha na kununa!
Mbona mnazidi kumuudhi na kumkera Ayubu jamani lakiniHii ilikuwa mwaka 1988 baada ya kutambua Mchango wake katika kuwatumikia vijana .
View attachment 2009075
Yeah, hakujua! Tanzania tuna tabia ya kuwaamini watu tukidhani ni wema kama sisi. Huyu siyo Mtanzania jameni anzieni kwenye jina lake. Hata Njelu Kasaka hakujua G55 alidhani ni mwenzao kumbe vurugaji.Hii ilikuwa mwaka 1988 baada ya kutambua Mchango wake katika kuwatumikia vijana .
View attachment 2009075
Tunataka ule uvimbe kichwani upasuke kabisaMbona mnazidi kumuudhi na kumkera Ayubu jamani lakini
acha ubwawa hata JU kawa mjinga kumsema job, sio size yakeMchango wa Ulimwengu kwa vijana, Tasnia ya habari, demokrasia, uchambuzi wa masuala ya kitaifa ni mkubwa sana
Kiufupi Ndugai hana impact yoyote kubwa katika nchi hii kulinganisha na Jenerali Ulimwengu
Wakati Ulimwengu akiwa kwenye trenches na akina Samora Machel, Ndugai alikuwa shule ya msingi anaenda shule bila viatu, sasa atamtisha nini Jenerali?
Hii ilikuwa mwaka 1988 baada ya kutambua Mchango wake katika kuwatumikia vijana .
View attachment 2009075
Kwahiyo kuwa Mtanzania ni lazima uwe Mjinga?Huyu siyo Mtanzania jameni
Aandae jukwaa litamwijia juu.Mtamfanya ndugai aandae barua ya wito.