Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuwangaNdoa za uji izo ramadhani inakaribia aloo huwa hazidumu hizi ndoa save hii comment
Nadhani Tuishie HapaNdoa za uji izo ramadhani inakaribia aloo huwa hazidumu hizi ndoa save hii comment
Huyu ni bishoo wakimataifa na demu ndio Umo umoAache sasa mambo yake ya ubishoo
Hamnaga mapenzi machungu mwanzoni....sie tunawalia timing tuu hao...nasema wataachana tuuuHuu mwaka kataa ndoa wameuanza vibaya, ni ndoa kila kona.
Kheri tele katika ndoa yao, MaashAllah!
AmiinHuu mwaka kataa ndoa wameuanza vibaya, ni ndoa kila kona.
Kheri tele katika ndoa yao, MaashAllah!
Shirki ndo nn?Juma anapenda sana shirki, siju kama watakuwa couple yakuigwa
🤣🤣🤣🤣🤣 Ukisikia nyooooo! Ujue imeuma hiyo.Pole sana nywea maji tu hakuna namnaKwa uzoefu wangu binti kajitafutia matatizo. Dini ni factor kubwa kwenye ndoa. Wenye kuelewa wataelewa.
Uzoefu wako sio wa kila mtu... punguzeni uchawi kwa watu msiowajuaKwa uzoefu wangu binti kajitafutia matatizo. Dini ni factor kubwa kwenye ndoa. Wenye kuelewa wataelewa.
Ndoa hua mnafunga sana tu ila hamuishi kulialia kule ustawi wajamii...KATAA NDOAWanakaribia kupoteza pambano 🤣🤣🤣
Tunasubiri ya Chibudenga sasa na yule Zuhura
Sijui itakuwa mwaka huu