Nadhani watalijengea Kwa ndani.hivyo wanatengeneza space Kwa ajili ya kuweka msingi[emoji860][emoji860][emoji860]wamechimba refu sana, daaah noma sana[emoji15][emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa Dar watamuagia wapi?Hivi ndege toka south africa ingepeleka mwili wa marehemu bukoba moja kwa moja au mwanza airport kuna tatizo gani?kisha kuagwa na kuzikwa.
Kwa nini uletwe dar kisha tena safari ianze kwenda bukoba?
Acha ushamba wa Mila na tamaduni wew.mila zinatofautiana kulingana na kabila.uhayani kaburi unaweza hata jichimbia hata kabla hujafa.kuna koo nyingine zina makaburi Yao tayari sio chidaHawa vilaza wa wapi Hawa.Toka lini kaburi likalala wazi.Kaburi lafaa kuchimbwa siku anayo zikwa marehemu.
Ndio maana zikaitwa Mila , unaweza kuzigeuka Na ukatupa matokeoMila hiyo inashangaza kiukweli
Je mkizika Gogo ni kweli mauti haitokei kwenye familia ina maana wanaishi milele
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa vilaza wa wapi Hawa.Toka lini kaburi likalala wazi.Kaburi lafaa kuchimbwa siku anayo zikwa marehemu.
Wahaya ndo maana huwa mnakufa sana mnaishia kusingizia ukimwi. Endeleeni kujifanya wazunguAcha ushamba wa Mila na tamaduni wew.mila zinatofautiana kulingana na kabila.uhayani kaburi unaweza hata jichimbia hata kabla hujafa.kuna koo nyingine zina makaburi Yao tayari sio chida
Pia utaratibu huu sio Kwa wahaya Tu Bali hata wayahudi( waisraeli) kumbuka Yesu alizikwa kwenye kaburi lililokuwepo tayari hivyo sio kitu cha ajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya bana Nyie endeleeni kujifanya wazunguAcha matusi ndugu, usilazimishe watu wafuate mila za kwenu
Ana familia hajaacha bado kuna watu watatumiaMali, magari kila kitu ana acha hapa duniani
Ila wanadamu,Mungu atusaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Usawa wa Binadamu, upo kwenye KUKATA ROHO tu!
ha ha ha ha ha ha ha ha wewe jamaa god anakuona ha ha haWahaya bwana kwa hiyo makaburi ya zamani yamepakwa rangi upya baada ya Ruge kufariki.
Flight gani ya Mwanza toka SA au unawaza SangaraHivi ndege toka south africa ingepeleka mwili wa marehemu bukoba moja kwa moja au mwanza airport kuna tatizo gani?kisha kuagwa na kuzikwa.
Kwa nini uletwe dar kisha tena safari ianze kwenda bukoba?
Kwani wachaga hamfi sana .kaburi wala halina uhusiano na kifo cha mtu .uhayani kuna watu wengi Tu wanafikia miaka 110 na mabibi kizee.kufa hakuna uhusiano na kabila la mtu wala nini.Wahaya ndo maana huwa mnakufa sana mnaishia kusingizia ukimwi. Endeleeni kujifanya wazungu
Wote tutarudi udongoni lakiniUsawa wa Binadamu, upo kwenye KUKATA ROHO tu!
Akina wengine, hatutazikwa bali tutafukiwa tu.
Jamani kagera ni milima yenye mawe, changarawe na miamba hivyo basi inalazimisha kuandaa kaburi mapemaNa ndege iliyobeba hilo jeneza kutoka SA ikipotea hilo kaburi linafukiwa tupu au linasubiri mwingine tena.Heri kuchimba maiti ikishawasili kijijini hapo.
"oya wewe mimi nimesoma ujue sio kilazaBasi Mila ni tofauti . wahaya kaburi hata ukijichimbia mapema hakuna shida
Pia kuna koo nyingine zina makaburi tayari yaliyojengwa Kwa ajili ya wanaukoo
Seminary ya Rubya ambapo huzikwa mapadre wa jimbo la bukoba huwa kunatengenezwa makaburi kabula hata mapadre hawajafa
Sasa kama uchagani mnachimba mapema kanisa katoliki linao utaratibu wa kuzika maaskofu kanisani ambapo makaburi huwa yamechimbwa tayari je hapo hamuharibu utamaduni wenu
Na je makaburi yenu hamuyajengei Kwa ndani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Miamba na mawe ndiyo sababu ya kuchimba kaburi mara tu mtu anapofariki na kusubiri siku husika ya mazishiHawa vilaza wa wapi Hawa.Toka lini kaburi likalala wazi.Kaburi lafaa kuchimbwa siku anayo zikwa marehemu.