Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Makasiriko wakati nimeshaanza kufurahia marinda yakojibu swali acha makasirikio maana kwa kuvunja ndoa za watu hamjambo kisa viti maalum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makasiriko wakati nimeshaanza kufurahia marinda yakojibu swali acha makasirikio maana kwa kuvunja ndoa za watu hamjambo kisa viti maalum
Malizia maandamano haya yamekujia kwa hisani ya Dr Samia Suluhu Hassani!Hii hapa ni Picha kali ya wiki hii iliyochukuliwa kwenye Maandamano ya CHADEMA huko Kahama .
Wengi wanadhani Polisi wanakuja kwenye Maandamano haya kwa sababu ya Kikokotoo, lakini mimi napinga, na naamini Polisi wanakuwa kwenye Maandamano haya ili kutimiza majukumu yao ya Ulinzi na Usalama.
Ni wapi tulikowahi kuanzisha vurugu ?Kwani polisi wana shida gani mkiandamana bila kufanya fujo? Jaribuni kuanzisha vurugu mkione kilichomtoa kanga manyoya. Kipigo cha mbwa koko kitawahusu.
Demokrasia ni raha kwa watu woote.Hii hapa ni Picha kali ya wiki hii iliyochukuliwa kwenye Maandamano ya CHADEMA huko Kahama .
Wengi wanadhani Polisi wanakuja kwenye Maandamano haya kwa sababu ya Kikokotoo, lakini mimi napinga, na naamini Polisi wanakuwa kwenye Maandamano haya ili kutimiza majukumu yao ya Ulinzi na Usalama.
Ni kweli ana roho nzuri sio kama yule mtu wenu wa zamani.Malizia maandamano haya yamekujia kwa hisani ya Dr Samia Suluhu Hassani!
Huyo tushammalizaLe
Leo hutuletei habari za Makonda?
Unateseka ukiwa wapi Mkuu? Wafuasi wa mtu yule mnatamani sana damu zimwagike.....Shetani ameshindwa awamu hii tumemfunga minyororo.Ulitaka mtoe kauli za kutishia amani na usalama halafu polisi wawachekee siyo?
Kipigo cha mbwa koko kingewahusu.
Chadema kuna mademu wazuri tu. Kule hakuna wanywa gongo.Huyo dada pembeni ya mbowe ameolewa
Sasa kilichowafanya polisi washindwe kufanya hivi kipindi cha mwendazake ni nini? Jibu lako lilatoa picha kama wewe ni mwerevu au ni mpumbavu na majibu utayapata hapa hapa. Jibu tafadhali!Kwani polisi wana shida gani mkiandamana bila kufanya fujo? Jaribuni kuanzisha vurugu mkione kilichomtoa kanga manyoya. Kipigo cha mbwa koko kitawahusu.
Unless kaelekezwa na mamlakaSoon tutasikia huyo kamishna wa jeshi hilo amehamishiwa lindi, mtwara, tandahimba au rufiji...😂
Akikujibu na mimi unishtueSasa kilichowafanya polisi washindwe kufanya hivi kipindi cha mwendazake ni nini? Jibu lako lilatoa picha kama wewe ni mwerevu au ni mpumbavu na majibu utayapata hapa hapa. Jibu tafadhali!
Wameruhusiwa kuingia na bunduki chumba Cha kupigia kura,Hii hapa ni Picha kali ya wiki hii iliyochukuliwa kwenye Maandamano ya CHADEMA huko Kahama .
Wengi wanadhani Polisi wanakuja kwenye Maandamano haya kwa sababu ya Kikokotoo, lakini mimi napinga, na naamini Polisi wanakuwa kwenye Maandamano haya ili kutimiza majukumu yao ya Ulinzi na Usalama.
AiseeWameruhusiwa kuingia na bunduki chumba Cha kupigia kura,
Hilo nalo mkalitizame.
Ndio moja ya sababu ya haya maandamanoWameruhusiwa kuingia na bunduki chumba Cha kupigia kura,
Hilo nalo mkalitizame.
Muanzishe vurugu wakati kipigo cha mbwa mwizi kiko hapo hapo kinawasubiri? Basi mtakuwa mazezeta!Ni wapi tulikowahi kuanzisha vurugu ?