Picha kali ya wiki hii hapa, Maandamano ya CHADEMA Kahama

Picha kali ya wiki hii hapa, Maandamano ya CHADEMA Kahama

Hii hapa ni Picha kali ya wiki hii iliyochukuliwa kwenye Maandamano ya CHADEMA huko Kahama .


Wengi wanadhani Polisi wanakuja kwenye Maandamano haya kwa sababu ya Kikokotoo, lakini mimi napinga, na naamini Polisi wanakuwa kwenye Maandamano haya ili kutimiza majukumu yao ya Ulinzi na Usalama.
Malizia maandamano haya yamekujia kwa hisani ya Dr Samia Suluhu Hassani!
 
Hii hapa ni Picha kali ya wiki hii iliyochukuliwa kwenye Maandamano ya CHADEMA huko Kahama .


Wengi wanadhani Polisi wanakuja kwenye Maandamano haya kwa sababu ya Kikokotoo, lakini mimi napinga, na naamini Polisi wanakuwa kwenye Maandamano haya ili kutimiza majukumu yao ya Ulinzi na Usalama.
Demokrasia ni raha kwa watu woote.
 
Kwani polisi wana shida gani mkiandamana bila kufanya fujo? Jaribuni kuanzisha vurugu mkione kilichomtoa kanga manyoya. Kipigo cha mbwa koko kitawahusu.
Sasa kilichowafanya polisi washindwe kufanya hivi kipindi cha mwendazake ni nini? Jibu lako lilatoa picha kama wewe ni mwerevu au ni mpumbavu na majibu utayapata hapa hapa. Jibu tafadhali!
 
Sasa kilichowafanya polisi washindwe kufanya hivi kipindi cha mwendazake ni nini? Jibu lako lilatoa picha kama wewe ni mwerevu au ni mpumbavu na majibu utayapata hapa hapa. Jibu tafadhali!
Akikujibu na mimi unishtue
 
Hii hapa ni Picha kali ya wiki hii iliyochukuliwa kwenye Maandamano ya CHADEMA huko Kahama .


Wengi wanadhani Polisi wanakuja kwenye Maandamano haya kwa sababu ya Kikokotoo, lakini mimi napinga, na naamini Polisi wanakuwa kwenye Maandamano haya ili kutimiza majukumu yao ya Ulinzi na Usalama.
Wameruhusiwa kuingia na bunduki chumba Cha kupigia kura,

Hilo nalo mkalitizame.
 
Back
Top Bottom