Picha: Kama taifa tumepitia katika nyakati za ovyo Sana

Picha: Kama taifa tumepitia katika nyakati za ovyo Sana

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Screenshot_20230211-164325.png
Screenshot_20230211-164849.png

Screenshot_20230201-132543.png
 
Magufuli ndo ilikua paraketer nzuri ya kusimamia tunapodai katiba mpya!! Imagine mtu kama Kangi Lugola alikua tayari kuonekana hayawani mbele ya watoto wake ili amfurahishe Magufuli..

Nchi yote ilinyamaa hata wale tuliowaona wamaana walianza imba pambio zake...

Hii nchi inahitaji katiba mpya vinginevyo atakuja tokea kichaa mara kumi ya mwendazake.
 
Hii nchi inahitaji katiba mpya vinginevyo atakuja tokea kichaa mara kumi ya mwendazake.
Huu wimbo wa katiba mpya hivi sasa unaimbwa na kila mtu, hata waliopo ccm.

Ukitafuta mazuri ya dikteta jiwe utalipata moja tu, nalo ni kutuonesha namna katiba yetu ilivyo ya hovyo
 
Back
Top Bottom