Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa kabla ya kujipambanua kuwa ni mzembe wa kutumia ubongo wake nilikuwa namuamini balaa
Wote wawili wanasumbuliwa na ushamba uliotopeaSioni kosa katika hizo picha au ni marufuku kula mahindi na watu kucheza ngoma?
Nimeipenda picha ya huyu mwanamuziki anayepuliza kinanda cha mdomo huku mgeni wa heshima akilitendea haki zuria jekundu.
Aibu naona mm kwenye hiyo picha ya kwanza.Hiyo picha ya kwanza duuh!.
Huyu ni kiazi mbatata mhurumie tuSioni kosa katika hizo picha au ni marufuku kula mahindi na watu kucheza ngoma?
Huu wimbo wa katiba mpya hivi sasa unaimbwa na kila mtu, hata waliopo ccm.Hii nchi inahitaji katiba mpya vinginevyo atakuja tokea kichaa mara kumi ya mwendazake.
Wenzao wanavikamata vyuo vikuu wao wako busy na marehemuHuyu ni kiazi mbatata mhurumie tu
USSR
Hiyo picha ya pili unaona nini?Aibu naona mm kwenye hiyo picha ya kwanza.
Naona aibuHiyo picha ya pili unaona nini?
Kwanini?Naona aibu
Wewe huoni mkuu?Kwanini?
Aya mambo haya eti na huyu alikuwa wazir wa mambo ya nje for 10 years..duh.🤣
Mimi nina akili timamu. Siko kama weweWewe huoni mkuu?