CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Oyaa hiyo picha Boss yuko kwenye JIWE achana nayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaa hiyo picha Boss yuko kwenye JIWE achana nayo
Wewe siyo mzima. Hebu muulize mkeo hapo jirani akuambie ukweli.Mimi nina akili timamu. Siko kama wewe
Jiwe yuko kwenye jiweyuko kwenye JIWE
Yaani ilikuwa hatari na nusu.Dah,kweli upoyoyo ndio ilikuwa cv.
Usihangaike na Wanasiasa waliokataliwa Majukwani baada ya kumtukana Mwamba JPMSioni kosa katika hizo picha au ni marufuku kula mahindi na watu kucheza ngoma?
Ndiyo hivyoAya mambo haya eti na huyu alikuwa wazir wa mambo ya nje for 10 years..duh.🤣
Mwamba huwa hafanyi mambo ya kingeseHakika Magufuli alikuwa mwamba
Dikteta huyu atatukanwa mpk Yesu atakaporudi.Jamani si tulishakubaliana kuwa tumwache sasa mzee wetu apumzike?.Tumuache jamani,kila mtu ana mapungufu yake tuombeane tu mwisho mwema maana kila mtu atakufa.
Haitakusaidia,maana yeye ameshamaliza safari yake na inawezekana Mungu ameshamsamehe mapungufu yake.Kumbe ni bora kutumia muda huu kujipatanisha na Mungu wetu badala ya kupoteza muda kumtukana Mtu aliyekwisha jifia.Dikteta huyu atatukanwa mpk Yesu atakaporudi.