Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤭Hili tangazo ni la juzi tu hapa si muda mrefu.
1999-2000 ni miaka zaidi ya 24, waliokuwa na 20 kipindi kile saa hii Wako 40s.Hili tangazo ni la juzi tu hapa si muda mrefu.
Hili tangazo la mwaka 2000Kama unalimanya vema hili tangazo pendwa basi uzee umeshakufikia. Tunza afya. Fanya mazoezi, punguza ugimbi, sukari, chumvi na mafuta. Piga mambogamboga, mabilinganya nk View attachment 3137992
Humu JF wapo mpaka watu Wana miaka5 na tangazo wanalijua.1999-2000 ni miaka zaidi ya 24, waliokuwa na 20 kipindi kile saa hii Wako 40s.
Watu wa Mbeya wana miili mikubwa ,just imagine SATIVA17 ana miaka 27 tu.Ukiwa na 24 tu kwa sasa ni Mzee...mambo yanaenda kasi sana.
Miaka 40 bado kabisa. Hapo ndio akili imeanza kukomaa. Ndio maana hata Katiba ya Tanzania inaruhusu mwananchi wa kuanzia miaka 40, kugombea kuchaguliwa kuwa Rais wa nchi. Uzee unaanzia miaka 60.1999-2000 ni miaka zaidi ya 24, waliokuwa na 20 kipindi kile saa hii Wako 40s.
Ila linakaribia robo karneHili tangazo ni la juzi tu hapa si muda mrefu.
Omar kazi ni kujikuna tu ngwaraa ngwaraaa Haya chukua upeleke kulee 😀😀😀 hivi lilikuwa tangazo la nini hili? nilkuwa primary nimesahau la kitu gani!Leta Matangazao ya Omary ngwarangwara,naleta janja ya nyani joto ya jiwe kwisha jua.