PICHA: Kama unalijua hili tangazo, punguza ulaji wa chumvi na sukari, ongeza mazoezi

PICHA: Kama unalijua hili tangazo, punguza ulaji wa chumvi na sukari, ongeza mazoezi

Hili tangazo siyo la Kizamani kihivyo...nadhani angalau aliyekuwepo wakati wa vitu vifuatavyo
  1. Kama umepaka mafuta ya shanti / rays
  2. Umetumia mafuta ya kupikia inaitwa superghee, pride nk
  3. Umeogea sabuni ya lux
  4. Umetumia baiskeli aina ya swala
  5. Umewahi kusikiliza kipindi cha chibuku inayorushwa RTD (Radio Tanzania Dar -es Salaam) na kipindi cha Mikingamo wa umma
  6. Umepaka mafuta ya mkebe inayoitwa Yollanda
  7. nk nk nk nk angalau unaweza kuwa mtu zamani kidogo angalu.



 
Hili tangazo siyo la Kizamani kihivyo...nadhani angalau aliyekuwepo wakati wa vitu vifuatavyo
  1. Kama umepaka mafuta ya shanti / rays
  2. Umetumia mafuta ya kupikia inaitwa superghee, pride nk
  3. Umeogea sabuni ya lux
  4. Umetumia baiskeli aina ya swala
  5. Umewahi kusikiliza kipindi cha chibuku inayorushwa RTD (Radio Tanzania Dar -es Salaam) na kipindi cha Mikingamo wa umma
  6. Umepaka mafuta ya mkebe inayoitwa Yollanda
  7. nk nk nk nk angalau unaweza kuwa mtu zamani kidogo angalu.



Miaka 22 iliyopita ni juzijuzi. Usijifariji mkuu, ni jioni tayari, pita Kariakoo shimoni nunua mabilinganya, mapilipili hoho, makaroti na mabamia pika chukuchuku. Kula. Usisahau kufanya mazoezi.

Hilo tangazo hata kama ulilitazama ITV ukiwa primary angalau darasa la saba wakati huo wewe tayari unajukuu sasa!
 
Miaka 40 bado kabisa. Hapo ndio akili imeanza kukomaa. Ndio maana hata Katiba ya Tanzania inaruhusu mwananchi wa kuanzia miaka 40, kugombea kuchaguliwa kuwa Rais wa nchi. Uzee unaanzia miaka 60.
Pamoja na porojo zote hizo, kuzingatia ULAJI SAHIHI hakujalishi umri wa mtu. Kila mtu anatakiwa kuzingatia sana ulaji na unywaji sahihi wakati wote wa maisha yake- tangu utoto hadi uzee.
Umekuwa serious Sana mkuu 😂😂😂😂
Uzi umekaa kimasihara huu
 
Humu JF wapo mpaka watu Wana miaka5 na tangazo wanalijua.
Hili tangazo vijana at late 29'S and early 30'S wanalijua maana ilikua kama katuni kwao enzi ni wakiwa na miaka5 au6.

Labda useme tangazo la miaka ya themanini au tisini mwanzo
Vijana ni wale waliozaliwa 2000s wengine wote tunaitwa mishangazi au age go.😂😂😂
 
Humu JF wapo mpaka watu Wana miaka5 na tangazo wanalijua.
Hili tangazo vijana at late 29'S and early 30'S wanalijua maana ilikua kama katuni kwao enzi ni wakiwa na miaka5 au6.

Labda useme tangazo la miaka ya themanini au tisini mwanzo
Makondeko bar,woowoowoo tukunyema
 
No, 1990.....
Siyo kweli, nina kumbukumbu tripu ya kwanza narudi Bongo ilikuwa mwaka 2000 ndio Mengi alileta hiyo Jackport Bingo baadaye Wahindi wakamletea kiwingu nao wakaanzisha Aladins Bingo.

Sikiliza nyimbo ya Sugu na Balozi Dar Dsm utaelewa, halafu fuatilia hiyo nyimbo ilitoka mwaka gani?
 
Back
Top Bottom