King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
mwanzo alikuwa anaitwa Janet Sostenes akiwa na Misanya Bingi(MAP) kwenye kipindi au Asia Mohamed.Wakina Janet Sostenes Mwenda π₯π₯ nilikuwa natamani nikue haraka maana niliona wakubwa wana faidi
Miaka 22 iliyopita ni juzijuzi. Usijifariji mkuu, ni jioni tayari, pita Kariakoo shimoni nunua mabilinganya, mapilipili hoho, makaroti na mabamia pika chukuchuku. Kula. Usisahau kufanya mazoezi.Hili tangazo siyo la Kizamani kihivyo...nadhani angalau aliyekuwepo wakati wa vitu vifuatavyo
- Kama umepaka mafuta ya shanti / rays
- Umetumia mafuta ya kupikia inaitwa superghee, pride nk
- Umeogea sabuni ya lux
- Umetumia baiskeli aina ya swala
- Umewahi kusikiliza kipindi cha chibuku inayorushwa RTD (Radio Tanzania Dar -es Salaam) na kipindi cha Mikingamo wa umma
- Umepaka mafuta ya mkebe inayoitwa Yollanda
- nk nk nk nk angalau unaweza kuwa mtu zamani kidogo angalu.
Umekuwa serious Sana mkuu ππππMiaka 40 bado kabisa. Hapo ndio akili imeanza kukomaa. Ndio maana hata Katiba ya Tanzania inaruhusu mwananchi wa kuanzia miaka 40, kugombea kuchaguliwa kuwa Rais wa nchi. Uzee unaanzia miaka 60.
Pamoja na porojo zote hizo, kuzingatia ULAJI SAHIHI hakujalishi umri wa mtu. Kila mtu anatakiwa kuzingatia sana ulaji na unywaji sahihi wakati wote wa maisha yake- tangu utoto hadi uzee.
Watu hawataki kuitwa wazee πππ2002 ni juzi we jamaa...hiyo ni miaka 22 sasa
Vijana ni wale waliozaliwa 2000s wengine wote tunaitwa mishangazi au age go.πππHumu JF wapo mpaka watu Wana miaka5 na tangazo wanalijua.
Hili tangazo vijana at late 29'S and early 30'S wanalijua maana ilikua kama katuni kwao enzi ni wakiwa na miaka5 au6.
Labda useme tangazo la miaka ya themanini au tisini mwanzo
CTN au DTV haikuwepo mwaka huu?Mwaka 98 kombe la dunia tumecheki nyumbani enzi izo tv station ni mbili za ITV,TBT, Channel 10 free mnaweka antenna ndefu Sanaa π juu ya bati.
Other wise muangalie cassette za πΌ VHS
Hapo 2007 kulikua na CD na DVD KABISA NI BALAA
Nazungumzia enzi hizo 1998 nikiwa mwanza.CTN au DTV haikuwepo mwaka huu?
Long time kitambo sanaaaaaaaaaaa πππ1999-2000 ni miaka zaidi ya 24, waliokuwa na 20 kipindi kile saa hii Wako 40s.
Makondeko bar,woowoowoo tukunyemaHumu JF wapo mpaka watu Wana miaka5 na tangazo wanalijua.
Hili tangazo vijana at late 29'S and early 30'S wanalijua maana ilikua kama katuni kwao enzi ni wakiwa na miaka5 au6.
Labda useme tangazo la miaka ya themanini au tisini mwanzo
Mwenyewe unaiona miiingii kweli.2002 ni juzi we jamaa...hiyo ni miaka 22 sasa
TBT ni channel gabi mkuu!?Mwaka 98 kombe la dunia tumecheki nyumbani enzi izo tv station ni mbili za ITV,TBT, Channel 10 free mnaweka antenna ndefu Sanaa π juu ya bati.
Other wise muangalie cassette za πΌ VHS
Hapo 2007 kulikua na CD na DVD KABISA NI BALAA
DTV ilikuwepo kabla ya itvCTN au DTV haikuwepo mwaka huu?
I mean TVTTBT ni channel gabi mkuu!?
Sativa Ana 27? Ukiacha mwili sura yake Kama ako kwenye 30s, anyway labda life tu πWatu wa Mbeya wana miili mikubwa ,just imagine SATIVA17 ana miaka 27 tu.
No, 1990.....Hili tangazo la mwaka 2000
Mbona sio tangazo la muda mrefu?
Siyo kweli, nina kumbukumbu tripu ya kwanza narudi Bongo ilikuwa mwaka 2000 ndio Mengi alileta hiyo Jackport Bingo baadaye Wahindi wakamletea kiwingu nao wakaanzisha Aladins Bingo.No, 1990.....