Eeeeee Mungu wa Mbinguni. Tunaomba kwamba uwape watu wako wa Tanzania busara na hekima ili wapige kura ya kuleta mabadiliko katika nchi. Tuwezeshe kuiondoa nchi hii kutoka mikononi mwa mafisadi na kuirudisha mikononi mwa mwananchi wenye nchi. Eee Mungu tuondoe MIsri Utumwani utuingize Kanaani, nchi ya ahadi, naam nchi ya neema iliyojaa maziwa na asali, yaani huduma muhimu za jamii: elimu, tiba bure. Muungu tunakuomba kwamba kwa njia ya kura watu wako wamwidhinishe Dr. Slaa kuwa rais wa 5 wa nchi yetu. Tuna imani ya kuwa chini ya uongzi wake watu watapata maisha bora.
NAAM TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!