Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WATOTO WASHULE!???????????:nono:mbona mkutano umejaa watoto wa shule!!! Bwahahahaha
Umeona uniform ya shule gani hapo? hao ni vijana wenye umri zaidi ya miaka 18 ila kwa kuwa lishe ya waTZ ni ya kubabaisha na kukosa matumaini lazima waonekane wadogo. Subiri baada ya 31/oct utaona sura za matumainimbona mkutano umejaa watoto wa shule!!! Bwahahahaha
vyombo vya dola havijajiandaa kuwa na commander-in-chief mwingine zaidi ya jk. Tukumbushane tarehe 01/11/2010.
Kompyuta yangu imegoma kufungua hizi picha tangu jana nifanyeje?![]()
Wapenzi na wananchama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakiwa na bango lenye ujumbe mbalimbali, katika mkutano wa mgombea urais kupitia chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mwembe Yanga, Temeke jijini Dar es Salaam hii leo.
![]()
Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa akiwahutubia wakazi wa Manzese jijini Dar es Salaam, katika mkutano wake wa kampeni leo mchana.
![]()
Mmoja wa wananchi waliohudhulia mkutano wa mgombea uaris kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akipiga picha huku akiwa amevalia kofia yenye picha ya mgombea huyo
![]()
![]()
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akiwahutubia maelfu ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam, katika mkutano wa kampeni, kwenye Uwanja wa Mwembe Yanga, Temeke hii leo.
Picha zote kwa hisani ya Joseph Senga