Picha: Kiba akiwa na familia ya Zari

Kawatafuta? Kiba yupo uganda kwa dili zake kwa hiyo kawatafuta hao nduguzenu au wao ndio wamemfuata akiwa kwemye mishe zake
We muulize kwanza aliepost hizo Picha ni nan?? Kama ni kiba sawa na kumbuka anaempost MTU it means anamkubali[emoji12] [emoji12] [emoji12] kibaa nomaaa wanamkubali kimya kimya usikute hata huyo zari anamkubali kiba kimyakimya
 
wamekutana club binti kaomba wapate tupicha tuwili tutatu kwa kumbukumbu.

Na binti huyo huyo ndio katupia mitandaoni kwa mapenzi yake kwa King.Inshangaza kuona watu wa Madale mapovu yanawatoka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani yanawatoka c kidogo afu hiyo caption sasa
 
Kwanza wanawake wenyewe wanamtafuta kiba kama kisasi kwa diamond na kiba yeye Mtoto wa kiume umejileta mwenyewe afanyaje, na kuhusu Wema Sepetu yeye mwenyewe alijianzishia ukaribu na kiba ili kumkomoa diamond kwasababu kipindi hicho ndo walikuwa wameachana na beef ya domo na king ndo ilikuwa ndo imepamba moto, haya ukimtoa jokate tutajie mwanamke mwingine alietoka na diamond afu na kiba akatoka nae, usipende kukurupuka na kukalili ongea facts,.. Nyie timu domo mna nn ona sasa na familia ya zari ishaanza kumshobokea king hhaaahahaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] mtafua sana mwka huu maana c kwa hayo mapovu
 
Kwa ubinafsi aliokuwa nao diamond haiwezekani , hapa utaskia ana bifu na darasa au nyota ya darasa ishachukuliwa
 
Hivi kuna mtu ana picha yoyote ya Diamond na Ali Kiba wakiwa pamoja!? Maana sijawahi kuiona.
Hata kama unayo wakiwa wadogo wanacheza, mi mwenzenu sijawahi
Zipo nyingi tu
 
Vitu vya kawaida kupiga picha na celebrities wewe tu ndo unashangaa
 
Kujikomba ndo nn? acha ushamba
 
Wazo zuri, halafu ukute wanafungia hata zile baraka ndogo ndogo za mwenyez Mungu tuu, wangepatana wange advance zaidi.

Pia wangeacha mwanya wa sisi kuwazungumzia wasanii wengine wadogo wadogo rather than wao.
Kweli kabisa. Siku wakiwa wamoja naamini mambo yatakuwa fresh.

Kingine ushabiki ni tatizo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…