Picha: Kiba akiwa na familia ya Zari

Picha: Kiba akiwa na familia ya Zari

Kawatafuta? Kiba yupo uganda kwa dili zake kwa hiyo kawatafuta hao nduguzenu au wao ndio wamemfuata akiwa kwemye mishe zake
We muulize kwanza aliepost hizo Picha ni nan?? Kama ni kiba sawa na kumbuka anaempost MTU it means anamkubali[emoji12] [emoji12] [emoji12] kibaa nomaaa wanamkubali kimya kimya usikute hata huyo zari anamkubali kiba kimyakimya
 
Mkuu mbona unaanza kuropoka kama umeshikiliwa Mpini kwa nyuma. Mi mtoto wa kiume na naomba tuheshimiane.

Mimi nasema kuhusu demu ambaye Diamond kashakula ndipo Alikiba anafyata kwa nyuma.

Nitajie demu ambaye Alikiba kashakula alafu ndipo Diamond akaenda kujikomba humo.

Acha hasira na andika kwa Staha.
Kwanza wanawake wenyewe wanamtafuta kiba kama kisasi kwa diamond na kiba yeye Mtoto wa kiume umejileta mwenyewe afanyaje, na kuhusu Wema Sepetu yeye mwenyewe alijianzishia ukaribu na kiba ili kumkomoa diamond kwasababu kipindi hicho ndo walikuwa wameachana na beef ya domo na king ndo ilikuwa ndo imepamba moto, haya ukimtoa jokate tutajie mwanamke mwingine alietoka na diamond afu na kiba akatoka nae, usipende kukurupuka na kukalili ongea facts,.. Nyie timu domo mna nn ona sasa na familia ya zari ishaanza kumshobokea king hhaaahahaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] mtafua sana mwka huu maana c kwa hayo mapovu
 
-Imani yao inawatuma wakiwa na ugomvi/tofauti ndo watafanya ushindani katika soko la mziki (kama vile ni masharti ya mganga[emoji1] [emoji1])

Lakini kumbe wakiungana wanaweza kufanya vizuri zaidi "umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu",pia watakapokuwa pamoja hata wasanii wengi nyuma yao watafaidika sana na mziki wetu Tz utazidi kufanya vizuri kimataifa.
Mtu mmoja hatoshi peke yake kuitangaza Tz
Kwa ubinafsi aliokuwa nao diamond haiwezekani , hapa utaskia ana bifu na darasa au nyota ya darasa ishachukuliwa
 
Hivi kuna mtu ana picha yoyote ya Diamond na Ali Kiba wakiwa pamoja!? Maana sijawahi kuiona.
Hata kama unayo wakiwa wadogo wanacheza, mi mwenzenu sijawahi
Zipo nyingi tu
 
Alikiba bhanah! Daah,anafata nyayo za Diamond tu.

Diamond katembea na Jokate,naye huyo kajipendekeza. Diamond kamtema Wema,naye huyo kaanze naye Urafiki. Diamond kamzalisha Zari,naye huyo anawatafuta urafiki na wadogo zake na Zarinah.

Aisee,aya bhanah! Kila la kheri Kibakuli.
Vitu vya kawaida kupiga picha na celebrities wewe tu ndo unashangaa
 
1effff49e6dbd20e628e3adfd3a0fce9.jpg
We jamaa toka lini Diamond akawa na mwili wa Neyo
 
Mkuu mbona unaanza kuropoka kama umeshikiliwa Mpini kwa nyuma. Mi mtoto wa kiume na naomba tuheshimiane.

Mimi nasema kuhusu demu ambaye Diamond kashakula ndipo Alikiba anafyata kwa nyuma.

Nitajie demu ambaye Alikiba kashakula alafu ndipo Diamond akaenda kujikomba humo.

Acha hasira na andika kwa Staha.
Kujikomba ndo nn? acha ushamba
 
Wazo zuri, halafu ukute wanafungia hata zile baraka ndogo ndogo za mwenyez Mungu tuu, wangepatana wange advance zaidi.

Pia wangeacha mwanya wa sisi kuwazungumzia wasanii wengine wadogo wadogo rather than wao.
Kweli kabisa. Siku wakiwa wamoja naamini mambo yatakuwa fresh.

Kingine ushabiki ni tatizo sana.
 
Back
Top Bottom