Wolper gambeMkuu mbona unaanza kuropoka kama umeshikiliwa Mpini kwa nyuma. Mi mtoto wa kiume na naomba tuheshimiane.
Mimi nasema kuhusu demu ambaye Diamond kashakula ndipo Alikiba anafyata kwa nyuma.
Nitajie demu ambaye Alikiba kashakula alafu ndipo Diamond akaenda kujikomba humo.
Acha hasira na andika kwa Staha.
Duuuh [emoji32][emoji115][emoji23][emoji23]hafanani kabisa na yule wa madale [emoji125][emoji125]
Duuuh [emoji32][emoji115][emoji23][emoji23]hafanani kabisa na yule wa madale [emoji125][emoji125]
Mimi na wewe tupo team moja bhana...Ila nimefurahi, kumbe nyie ni team pinzani!!! Kama mimi na rafiki yangu chige[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mbna ali ndo alimleta sharobaro rec. Unasemaje hawahawah salimiana?Asee mgoja nika i revist maana hawa jamaa kumbukumbu hazioneshi kama waliwahi hata kusalimiana
Hii ilikuwa neyo na kiba mkuuPhotoshop
Ni kweli kabisa. Si unajua wabongo tenaHii ilikuwa neyo na kiba mkuu
Mr nice gani huyo mkuuHuyo wa Katikati Ni Mr. Nice? Nasikia kampokea Yesu huko Tangibovu.
Hhah sijui wanaona wivu jamaa akikaa na neyo? wanataka simba wao tu ndo ajipendekeze peke yakeNi kweli kabisa. Si unajua wabongo tena
Hahahah tatizo ushabiki tu. Hope mbeleni mambo yatakuwa Sawa kati ya hawa wawiliHhah sijui wanaona wivu jamaa akikaa na neyo? wanataka simba wao tu ndo ajipendekeze peke yake
ipoHivi kuna mtu ana picha yoyote ya Diamond na Ali Kiba wakiwa pamoja!? Maana sijawahi kuiona.
Hata kama unayo wakiwa wadogo wanacheza, mi mwenzenu sijawahi
Dah ila syo leo wala kesho maana hakuna anaekubali kujishusha Kwa mwenzie. Ila d must confess yy ndo anatakiwa amplease mshikajiHahahah tatizo ushabiki tu. Hope mbeleni mambo yatakuwa Sawa kati ya hawa wawili
Ngoja tuone kama itakuwa hivyo.Dah ila syo leo wala kesho maana hakuna anaekubali kujishusha Kwa mwenzie. Ila d must confess yy ndo anatakiwa amplease mshikaji
Kumbe wote ni wanaume mbona mnachekesha wakuu mnanitia aibu au ndio wale wanaume wa darMkuu mbona unaanza kuropoka kama umeshikiliwa Mpini kwa nyuma. Mi mtoto wa kiume na naomba tuheshimiane.
Mimi nasema kuhusu demu ambaye Diamond kashakula ndipo Alikiba anafyata kwa nyuma.
Nitajie demu ambaye Alikiba kashakula alafu ndipo Diamond akaenda kujikomba humo.
Acha hasira na andika kwa Staha.
mziki ni biashara ni lazima uangalie niwatu gani katika soko umewalenga na uhakikishe unawapa kile wanachohitaji. sio tu uwape mziki mzuri wape mziki mzuri watu wanaouhitaji. Darasa muziki wake sasa hivi unahit lakini huwezi ona kuna team darasa sababu mpaka sasa darasa hajajitengenezea soko maalum anachofanya ni kuimba mziki mzuri tu na watu wanaupenda. Hao wote uliowataja ni wanamziki wazuri lakini hawajatarget soko specific. kama unajua mambo ya market niche utaelewa ninalosema.-Kabisa mkuu.
-Kuna wasanii wanaimba vizuri sana kama/kuliko diamond na Alikiba hawapati airtime na sapot ya kutosha kwa mashabiki.
Mfano;
-Ben pol
-Barnaba
-Steve rnb
-Cassim Mganga
**mazingira yaliyopo kwa sasa ili upate kick na sapot inabidi msanii awe upande wa team kiba au team diamond kitu ambacho kinazidi kinawafanya wanapoteza zaidi mashabiki wa team pinzani.
We jamaa inaonyesha habari za mjini huwa zinakupita kushoto.Wolper gambe
Kwanza wanawake wote aliozaa nao hawajulikani alafu siyo ya diamond coz wanajitambuaMkuu mbona unaanza kuropoka kama umeshikiliwa Mpini kwa nyuma. Mi mtoto wa kiume na naomba tuheshimiane.
Mimi nasema kuhusu demu ambaye Diamond kashakula ndipo Alikiba anafyata kwa nyuma.
Nitajie demu ambaye Alikiba kashakula alafu ndipo Diamond akaenda kujikomba humo.
Acha hasira na andika kwa Staha.
Ww kaka unakurupukaga san kama maisha ya ukimbizi uko SA yamekushinda rudi bongo.....jamaa alikuwa anampondea kiba kuwa anapiga kila alipopit domo na mm ndo nikamjibu kuwa mbona domo alitoka na wolper gambe wkt kiba alikuwa kashaosh rungu kitambo....siku nyingne uwe unaelewa siyo ukiona kiba tu unapat nyegeWe jamaa inaonyesha habari za mjini huwa zinakupita kushoto.
Hivi ukuwepo mjini Wolper aliposema kuwa Ali ndio alikuwa mwanaume wake wa kwanza hapa mjini?!
Wakati huo Baba ako Dimond alikuwa anaosha vyombo kwa Bob Junior