Picha: Kiba akiwa na familia ya Zari

Picha: Kiba akiwa na familia ya Zari

Mkuu mbona unaanza kuropoka kama umeshikiliwa Mpini kwa nyuma. Mi mtoto wa kiume na naomba tuheshimiane.

Mimi nasema kuhusu demu ambaye Diamond kashakula ndipo Alikiba anafyata kwa nyuma.

Nitajie demu ambaye Alikiba kashakula alafu ndipo Diamond akaenda kujikomba humo.

Acha hasira na andika kwa Staha.
Wolper gambe
 
03cbb746edcc94c2bf5c388e78aba3f3.jpg
Duuuh [emoji32][emoji115][emoji23][emoji23]hafanani kabisa na yule wa madale [emoji125][emoji125]
 
Hahahah tatizo ushabiki tu. Hope mbeleni mambo yatakuwa Sawa kati ya hawa wawili
Dah ila syo leo wala kesho maana hakuna anaekubali kujishusha Kwa mwenzie. Ila d must confess yy ndo anatakiwa amplease mshikaji
 
Mkuu mbona unaanza kuropoka kama umeshikiliwa Mpini kwa nyuma. Mi mtoto wa kiume na naomba tuheshimiane.

Mimi nasema kuhusu demu ambaye Diamond kashakula ndipo Alikiba anafyata kwa nyuma.

Nitajie demu ambaye Alikiba kashakula alafu ndipo Diamond akaenda kujikomba humo.

Acha hasira na andika kwa Staha.
Kumbe wote ni wanaume mbona mnachekesha wakuu mnanitia aibu au ndio wale wanaume wa dar
 
Daaaa yani humu mnatiaha hata uulze nn bado wadau mtashusha nondo ,,bnafsi sikuwah ka kuna pcha ya pamoja ya "DIAMOND NA KIBA" SALUTE SCORPIO ME
 
-Kabisa mkuu.
-Kuna wasanii wanaimba vizuri sana kama/kuliko diamond na Alikiba hawapati airtime na sapot ya kutosha kwa mashabiki.
Mfano;
-Ben pol
-Barnaba
-Steve rnb
-Cassim Mganga
**mazingira yaliyopo kwa sasa ili upate kick na sapot inabidi msanii awe upande wa team kiba au team diamond kitu ambacho kinazidi kinawafanya wanapoteza zaidi mashabiki wa team pinzani.
mziki ni biashara ni lazima uangalie niwatu gani katika soko umewalenga na uhakikishe unawapa kile wanachohitaji. sio tu uwape mziki mzuri wape mziki mzuri watu wanaouhitaji. Darasa muziki wake sasa hivi unahit lakini huwezi ona kuna team darasa sababu mpaka sasa darasa hajajitengenezea soko maalum anachofanya ni kuimba mziki mzuri tu na watu wanaupenda. Hao wote uliowataja ni wanamziki wazuri lakini hawajatarget soko specific. kama unajua mambo ya market niche utaelewa ninalosema.
 
Wolper gambe
We jamaa inaonyesha habari za mjini huwa zinakupita kushoto.

Hivi ukuwepo mjini Wolper aliposema kuwa Ali ndio alikuwa mwanaume wake wa kwanza hapa mjini?!

Wakati huo Baba ako Dimond alikuwa anaosha vyombo kwa Bob Junior
 
  • Thanks
Reactions: G 6
Mkuu mbona unaanza kuropoka kama umeshikiliwa Mpini kwa nyuma. Mi mtoto wa kiume na naomba tuheshimiane.

Mimi nasema kuhusu demu ambaye Diamond kashakula ndipo Alikiba anafyata kwa nyuma.

Nitajie demu ambaye Alikiba kashakula alafu ndipo Diamond akaenda kujikomba humo.

Acha hasira na andika kwa Staha.
Kwanza wanawake wote aliozaa nao hawajulikani alafu siyo ya diamond coz wanajitambua
 
We jamaa inaonyesha habari za mjini huwa zinakupita kushoto.

Hivi ukuwepo mjini Wolper aliposema kuwa Ali ndio alikuwa mwanaume wake wa kwanza hapa mjini?!

Wakati huo Baba ako Dimond alikuwa anaosha vyombo kwa Bob Junior
Ww kaka unakurupukaga san kama maisha ya ukimbizi uko SA yamekushinda rudi bongo.....jamaa alikuwa anampondea kiba kuwa anapiga kila alipopit domo na mm ndo nikamjibu kuwa mbona domo alitoka na wolper gambe wkt kiba alikuwa kashaosh rungu kitambo....siku nyingne uwe unaelewa siyo ukiona kiba tu unapat nyege
 
Back
Top Bottom