Amaitwa John Meshack.
Hapana mkuu, jitu la Nigeria hilo arifu
Huyo atakuwa wa pwani
Amaitwa John Meshack.
Mkuu name calling?
Unaweza kuta majina kama hayo zaidi ya watu wawili .Nadhani kuzungumzia mazingira na anakokaa ndiyo njia mbadala!
Daah wamejionea ni opportunity kuendelea kumwagwa Mavi kizembe
Watu ugumu wa maisha utawapeleka pabaya.Mwanaume unachukua maamuzi magumu kiasi hichi.GOD FORBID
Huyu kijana wa kimeru ameponzwa na tamaa ya fedha. Kadhalilisha sana jamii ya waafrika.
Sema tuu jina man tumjue
Hapa ndio thamani ya uchawi inatakiwa kuonekana. Familia imrushie bonge la tunguli huko huko alipo apooze kuanzia kiuno kushuka chini