Picha: Kijana wa Arusha aolewa na mzungu UK

Aibu kubwa sana. Ni ushetani ndio unasumbua unasimamishaje kwa dume jenzio. Ajabu sana naona tunamlazimisha Mungu hukumu ije haraka
 
dah noma sanaa! Kuna mdau hapa anamjuwa kinaga ubaga ananipa mchapo kumbe ile benz yake kaongwa na uyo bwanaake! Na ule mjengo wa mbez nae kapangishiwa ...daaah!

Kwahiyo ni Mtanzania au Mganda?
 
Moderator naomba heading ibadilike na updates za uraia wa huyo Shoga iwekwe juu ili kuweka kumbukumbu sawa ....
 
Last edited by a moderator:
Wewe falla ndio nini kutuwekea picha yenye makorokocho yako?
Umeshindwa kupiga hilo gazeti pekee?
Umenitia hasira sana maana ndio naamka hivi.......

Mfuasi wa CUF? Tangu lini Arusha kukawa na wafuasi wa CUF?
 
Wewe falla ndio nini kutuwekea picha yenye makorokocho yako?
Umeshindwa kupiga hilo gazeti pekee?
Umenitia hasira sana maana ndio naamka hivi.......
Naheshimu sana wanawake na sina tabia ya kuwatukana. Sitaki nianzie kwako (kama kweli u mwanamke). Hii picha na zingine zipo hivyo hivyo Facebook na kwenye magroup ya Whatsapp zimejaa na zipo zinazunguka huko. Hayo siyo makorokocho yangu japo sielewi ni kwa nini yamekutoa povu namna hii. May be unableed au una mimba changa. Asante na pole kwa kukuharibia asubuhi yako. Don't worry. Still you gonna have a good day!
 
Ni haki yake kuchukua maamuzi aliyoona yanampendeza.
Anaolewa mwingine nyie mnakata viuno?
 
Kama ni mchaga huyu atakua mmarangu tuu, vijana wa kimarangu wanachapwa nao sana hapa mjini

Dah umenikumbusha mbali kipindi hicho kitaa Mbezi Beach kulikua na jamaa anaitwa Kibo Marealle bonge la tajiri nyumba yake inatazamana na Jangwani sea breeze na mwenzake Aluu alibadilisha hadi jinsia
 
Suala la huyu kijana naona limeshaingiliwa na ushabiki wa utaifa na siasa na kila gazeti linaandika linavyotaka. Hii ni front page ya gazeti la Kiu. Wengine wanasema ndoa imefungwa Uingereza, Kiu wenyewe wanasema ni Ujerumani ali mradi vurugu tupu!
 
Acheni uzushi jamani.. Huyo ni raia wa Uganda. Cuf, arusha na Tanzania vinahusikaje? Ile sheria ya mtandao itawatafuna vichwa.
 

Wewe mchicha mwiba kati yangu mimi na wewe nani katokwa povu?
Mie nimeandika mistari michache tu ila wewe umemwagika povu vibaya sana.
Usinichokoe,maana kama unataka ligi tutacheza kigodoro hapa mpaka jua litakapokuchwa.
Bora hata huyo aliyeolewa kuliko wewe unayejificha,choko mzoefu anajulikana tu hata ajifiche vipi.
 
Hakika huyo jamaa kawadhalilisha wana Arusha kwa tamaa ya kuwa billionaire...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…