Wanazingua hawa! Hakunaga machalii kama haya Arusha
Uwiiiiiii tunaenda wapi jamani?
Huyo kijana katudhalilisha sana,angekuwa kaka yangu ningemtilia sumu......potelea pote.
Msilolijua ni kama usiku wa Giza. Hiyo kitu imekua staged huyo jamaa wa Arusha kamlipa mshikaji wafunge Ndoa fake ili apate Uraia
Pia asiweze kurudishwa Tanzania kwa sababu Tanzania hizo ndoa hazikubaliki
Ingawa kafanya kwa interest zake ila ni Aibu sana kwa Taifa, tusimame pamoja kupinga ndoa za jinsia moja.
Kuna mmoja tulikuwa pajero pale akaja anaumauma vidole tukamuuliza wewe unit nani akajibu naitwa aunt Lee tukamkazia sauti aunt Lee wewe mchina?akasema hapana aunt Lee kifupi cha aunt lyimo.Hii tabia katika jamii yetu imekuwa na inatakiwa ipigwe vita si jambo la kulivumilia eti uamuzi wake hapana tukicheka na nyani tutavuna mabua.
Wanazingua hawa! Hakunaga machalii kama haya Arusha
Najiuliza hivi kweli unaambiwa vua chupi kweli linavua!!!!!
Arusha ni wapenda mabadiliko, nadhani na hili ni moja ya badiliko, badala ya kuzungusha mikono, chalii yetu kaamua kuzungusha kiono!! wera wera!
Najiuliza hivi kweli unaambiwa vua chupi kweli linavua!!!!!
Achana na habari ya kajala kubanjuka na mwanamuziki diamond platnums, tupilia mbali habari ya lulu kumpora bwana hamisa mobeto, habari inayozagaa kwa sasa kama moto wa kifuu kwenye mitandao ya kijamii, ni kuhusu kijana wa kiume wa kitanzania aliyekubali kuolewa na mwanaume wa kizungu huko UK, habari chini ya kapeti zinaelezea kijana huyo kuwa ni mwenyeji wa Arusha. Hata hivyo bado haijajulikana kijana huyo anatokea familia gani na uamuzi wa familia yake baada ya kusikia kijana wao kaolewa na mwanaume mwenzie tena harusi ya kifahari.
Hakuna mkuu! Mleta mada anabifu na watu wa Arusha tuu
Huyo anatakiwa apopolewe mawe mkuu.