Picha: Kijana wa BBT akiwa amempigia Magoti Waziri wa Kilimo

Picha: Kijana wa BBT akiwa amempigia Magoti Waziri wa Kilimo

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
IMG_1115.jpeg
 
Hao vijana kwanini serikali isiwape nauli warudi makwao?

Mpango wenyewe umeshafeli, pesa zimepigwa hakuna anayejielewa asiyejua hilo, kuendelea kukaa na hao vijana ili ku justify maendeleo ya mpango uliofeli ni dhambi.

Bashe toa nauli toka kwenye pesa uliyopiga kwenye huo mpango mfu uwape hao vijana warudi makwao, usiwafanye wageuke wakimbizi.

Bashe ana bahati sana tuna Rais asiyejielewa, ni ajabu sana mpaka leo bado yuko ofisini, tena anajiamini kabisa, anawashikia kiuno akitabasamu!.
 
Yaan mleta uzi unajisikiliza mwenyewe kweli...?

Umeandika nini. Kwa asiyejua but ataelewa hiyo picha? Ataelewa kitu gani hapo 500.000 gani?

Kazi kweli kweli
 
Hao vijana kwanini serikali isiwape nauli warudi makwao?

Mpango wenyewe umeshafeli, pesa zimepigwa hakuna anayejielewa asiyejua hilo, kuendelea kukaa na hao vijana ili ku justify maendeleo ya mpango uliofeli ni dhambi.

Bashe toa nauli toka kwenye pesa uliyopiga kwenye huo mpango mfu uwape hao vijana warudi makwao, usiwafanye wageuke wakimbizi.
Badala ya kuchukua vijana wakulima kweli kwenye hiyo program wakabeba watoto wa mjini matokeo ndio hayo. Wapeni laki tano zao
 
Leta habari iliyoshiba kama huna habari basi kaa kimya!! Hiyo picha inawezekana walikuwa wanasali labda (japo kiongozi kashika kiuno) Sasa hatujui ninini hasa kilikuwa kinaendelea hapo! Ulipaswa useme wewe bila kupotosha ama hisia binafsi!
 
Walefi kuanzia mwanzo mpaka mwisho wataendelea kufeli! These people are not smart! Huyu Waziri ni mjuaji tu badala ya kutafuta vijana wakulima wako ndani kwenye mikoa ya wakulima anakusanya makada wa CCM!
Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kuwa mwnaa ccm na uvivu.....Watafiti waingie field ku prove hili.
 
Mambo site sio poa. Mpaka unasikia mtu kavuna gunia 500 KWA kuanza kilimo kidogo kidogo(achana na hii umetoa mtaji mkubwa huku ukapeleka kwenye kilimo).

Wakulima waheshimiwe
 
Back
Top Bottom