Elections 2010 Picha: Kikwete Tanga, Bumbuli, Kilindi, Kilimanjaro, Arusha

Elections 2010 Picha: Kikwete Tanga, Bumbuli, Kilindi, Kilimanjaro, Arusha

Original Pastor

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2007
Posts
1,274
Reaction score
51
JK amnadi Profesa Maji Marefu Korogwe vijijini leo

jk2.jpg


JK akimnadi mgombea ubunge wa CCM kiti cha Korogwe Vijijini Bw. Stephen Ngonyani maarufu kama Profesa Maji Marefu mchana huu katika kijiji cha Mashewa kilichoko Korogwe vijijini

jk5.jpg

Bango la Profesa Maji Marefu

Huyu ni Mganga Maarufu wa CCM wameona wampe Ubunge kwa tiketi ya Chama Chao Sasa Je Huko Bungeni na Kazi yake itakuwaje au anakwenda kwa ajili ya kuwaagu wa Bunge kule Bungeni au atasaidia kuleta maendeleo ya Taifa letu??? Hii Nchi sio Gambia Mbunge lazima awe mganga sasa huku tunapokwenda sasa Ni hatari zaid. Wananchi CHAGUA CHADEMA KWA MAENDELEO YAKO. Usikubali kupoteza kura yako kwa kuchagua hii. HATARI NCHI IMESHAUZWA SASA WANATAFUTA KINGA ZA GIZA.​
 
Mie naogopa kuchangia mawazo jamaa anaweza kukuadhibu huko huko ilipo
 
Nauliza: Katika jimbo hilo CCM hawako ndani ya maji marefu?
 
Mie naogopa kuchangia mawazo jamaa anaweza kukuadhibu huko huko ilipo

Kama unamuamini mungu wewe changia tu. Shibuda huyo anadunda mbona na alijitokeza kugombea urais ijapokuwa bwana sheikh yahaya alisema atakufa!!!
 
ccm ni chama cha wachawi na watu wenye mawazo dhalili na wahujumu wa uchumi na raslimali za taifa.
Yuko yule wa Urambo aligombea jina lake limenitoka ni mganga, manyaunyau ni mwanaccm pia, shehe Yahya hussein na Maji marefu.
 
jk2.jpg

Sifahamu hUyu jamaa amesomea nini, lakini naona ndoto za Bunge la safari hii kuwa la COMEDIANS!...
Anyway, labda wananchi wa huko wanapenda shughuli zake, na hivyo wanaamini watasaidika zaidi akiwa mteule wao!
 
ccm ni chama cha wachawi na watu wenye mawazo dhalili na wahujumu wa uchumi na raslimali za taifa.
Yuko yule wa Urambo aligombea jina lake limenitoka ni mganga, manyaunyau ni mwanaccm pia, shehe Yahya hussein na Maji marefu.

ha ha ha haaaaaaa ... ngoma imepata bikra
 
Prof Mashuzi Marefu naye atakuwa akimwongezea Kikwete nguvu!
 
CCM wameamua kupeleka kinga bungeni!!

Ndiyo. Ndumba kwa mbele! Tujiandae kukatwa viungo na kuuawa na hawa waganga kwani sasa watakuwa na watetezi kibao: bungeni, serikalini (kuanzia ngazi ya juu kabisa), ikulu, baadhi ya media, nk. Tutapona kweli?
 
JK amnadi Profesa Maji Marefu Korogwe vijijini leo

jk2.jpg


JK akimnadi mgombea ubunge wa CCM kiti cha Korogwe Vijijini Bw. Stephen Ngonyani maarufu kama Profesa Maji Marefu mchana huu katika kijiji cha Mashewa kilichoko Korogwe vijijini

jk5.jpg

Bango la Profesa Maji Marefu



Huyu ni Mganga Maarufu wa CCM wameona wampe Ubunge kwa tiketi ya Chama Chao Sasa Je Huko Bungeni na Kazi yake itakuwaje au anakwenda kwa ajili ya kuwaagu wa Bunge kule Bungeni au atasaidia kuleta maendeleo ya Taifa letu??? Hii Nchi sio Gambia Mbunge lazima awe mganga sasa huku tunapokwenda sasa Ni hatari zaid. Wananchi CHAGUA CHADEMA KWA MAENDELEO YAKO. Usikubali kupoteza kura yako kwa kuchagua hii. HATARI NCHI IMESHAUZWA SASA WANATAFUTA KINGA ZA GIZA.​

Shehe Yahya, Prof. Maji Marefu, Majini... Wahenga wanasema utamjua mtu kwa kampani anayo-keep. Waganga wa kienyeji na imani ya uchawi ni pande mbili za sarafu moja. Watanzania wanajua sana jinsi viongozi wa CCM wanavyopiga foleni kwa hawa waganga wakati wa uchaguzi na pindi kukiweko na mgao wa vyeo. Wanaamrishwa na hawa waganga kufanya vitu wakiwa uchi na kuchimbia vitu ardhini kwa kutumia makalio yao.... Na wanatii amri na kutekeleza hayo!

Kama viongozi wa nchi wanakuwa na fikra na imani za namna hii huwezi kutegemea nchi ikaendelea. Umaskini wa nchi siyo ukosefu wa fedha bali unatokana na ukosefu wa uongozi wenye fikra za maendeleo.
 
Mi sidhani kachaguliwa kwa sababu ya uganga wake. Nilikuwepo Korogwe muda mfupi uliopita Steven Ngonyani ndio mgombea anayekubalika kwa wananchi wa jimbo lake kuliko mgombea yeyote. Labda uniambie kuna mengine nisiyoyajua.
 
Mi sidhani kachaguliwa kwa sababu ya uganga wake. Nilikuwepo Korogwe muda mfupi uliopita Steven Ngonyani ndio mgombea anayekubalika kwa wananchi wa jimbo lake kuliko mgombea yeyote. Labda uniambie kuna mengine nisiyoyajua.

Mkuu mbona jibu unalo mwenyewe? lipi lina mfanya akubalike? waulize hao wana korogwe..

Mr. "Devo" at his best!
 
CCM wanachama wake Mafisadi, waganga wakienyeji na wafananao na hao
 
Nasikia siku hizi ameacha uganga ni tajiri wa kutupwa huko Korogwe....
 
ndugu maneno ya sheikh yahya yatachkua miaka kumi kuwaingia
 
Back
Top Bottom