Mtalia sana...
Mtalia sana...
Mtalia sana...
Mie naogopa kuchangia mawazo jamaa anaweza kukuadhibu huko huko ilipo
jamani hawa sisiemu ni wahuni hapo wanawaandalia fusha wabunge machachali sasa ole wao nao kama hawataomba hifadhi ya maisha yao kwa Yesu awalinde na nguvu za giza, hwao wabunge wanganga wa kienyeji wote wanataka kuenda bungeni kupuliza tuCCM chai sana na ni wajinga wa kupitiliza
Yaani mmeona ni bora kuleta waganga wa kienyeji bungeni sio?
Haya kazi mnayo this time