Picha: Kila la heri Simba SC na Yanga FC wawakilishi wetu wakimataifa

Picha: Kila la heri Simba SC na Yanga FC wawakilishi wetu wakimataifa

bb1c690620c05dcb1ccd846227a2d07f.jpg
98dff187a7f50d2173f219214163d8d8.jpg
c8d5d4f1a60769eeb2117087ca6443d7.jpg
a21bc05ab7510fd777d3eb71da1368a7.jpg
7479a71525d2b8873fb999d1d136afe1.jpg


Kila la heri Klabu zetu Tanzania Simba SC na Yanga FC kutuwakilisha kimataifa. Kikosi cha Yanga kilikuwa kikitua mchana wa leo katika uwanja wa Jomo Kenyatta nchini Kenya tayari kwa safari kuelekea Shelisheli kwa ajili ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya St Louis FC.

Kikosi cha Simba SC kikiwa kimefika salama jioni ya leo nchini Kenya kikisubiri kuelekea nchini Djibouti tayari kuwavaa Gendamarie Internationale FC katika michuano ya Kombe la Shirikisho.

Kila la heri wawakilishi wetu wa kimataifa.
upload_2018-2-19_16-25-22.png


Wa Kimataifa
 
bb1c690620c05dcb1ccd846227a2d07f.jpg
98dff187a7f50d2173f219214163d8d8.jpg
c8d5d4f1a60769eeb2117087ca6443d7.jpg
a21bc05ab7510fd777d3eb71da1368a7.jpg
7479a71525d2b8873fb999d1d136afe1.jpg


Kila la heri Klabu zetu Tanzania Simba SC na Yanga FC kutuwakilisha kimataifa. Kikosi cha Yanga kilikuwa kikitua mchana wa leo katika uwanja wa Jomo Kenyatta nchini Kenya tayari kwa safari kuelekea Shelisheli kwa ajili ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya St Louis FC.

Kikosi cha Simba SC kikiwa kimefika salama jioni ya leo nchini Kenya kikisubiri kuelekea nchini Djibouti tayari kuwavaa Gendamarie Internationale FC katika michuano ya Kombe la Shirikisho.

Kila la heri wawakilishi wetu wa kimataifa.
hizi ni timu ni za kutoka nchi gani?

mbona naona mojawapo ni kama ina wazee wazee hivi, au macho yangu?
 
hizi ni timu ni za kutoka nchi gani?

mbona naona mojawapo ni kama ina wazee wazee hivi, au macho yangu?
Timu zote wachezaji wanapisha umri tu lakini hakuna wazee. Wazee hawawezi kucheza mpira. Na ukiangalia kwa makini kuna timu ishajikatie tamaa ya kusonga mbele, wanaenda tu kwa vile ni wajibu.. Angalia hata mchezaji wa sita picha ya kwanza kwenye thread walio kwenye mstari wa kuingia amekata tamaa.. Aaaaah anatamani hata arudi tu home, maana anaona mauza uza tu.
 
Timu zote wachezaji wanapisha umri tu lakini hakuna wazee. Wazee hawawezi kucheza mpira. Na ukiangalia kwa makini kuna timu ishajikatie tamaa ya kusonga mbele, wanaenda tu kwa vile ni wajibu.. Angalia hata mchezaji wa sita picha ya kwanza kwenye thread walio kwenye mstari wa kuingia amekata tamaa.. Aaaaah anatamani hata arudi tu home, maana anaona mauza uza tu.
angalia tena vizuri mkuu.
 
NilOTE="Daudi Mchambuzi, post: 25858287, member: 32466"]yanga walikosa hata nguo za maana za kuvalisha wachezaji wao jamani??[/QUOTE]
Nilijua tu kuwa hicho ndo kinatafutwa.
 
bb1c690620c05dcb1ccd846227a2d07f.jpg
98dff187a7f50d2173f219214163d8d8.jpg
c8d5d4f1a60769eeb2117087ca6443d7.jpg
a21bc05ab7510fd777d3eb71da1368a7.jpg
7479a71525d2b8873fb999d1d136afe1.jpg


Kila la heri Klabu zetu Tanzania Simba SC na Yanga FC kutuwakilisha kimataifa. Kikosi cha Yanga kilikuwa kikitua mchana wa leo katika uwanja wa Jomo Kenyatta nchini Kenya tayari kwa safari kuelekea Shelisheli kwa ajili ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya St Louis FC.

Kikosi cha Simba SC kikiwa kimefika salama jioni ya leo nchini Kenya kikisubiri kuelekea nchini Djibouti tayari kuwavaa Gendamarie Internationale FC katika michuano ya Kombe la Shirikisho.

Kila la heri wawakilishi wetu wa kimataifa.



Subirini kicheko cha kimataifa.....Hapo Yanga watarudi hoi na visingizio kibaooooooo, hiii timu hata siku moja haijawahi kufanya vizuri kimataifa, wao wanaridhika na kuitwa "Vibonde wa Kimataifa."
 
bb1c690620c05dcb1ccd846227a2d07f.jpg
98dff187a7f50d2173f219214163d8d8.jpg
c8d5d4f1a60769eeb2117087ca6443d7.jpg
a21bc05ab7510fd777d3eb71da1368a7.jpg
7479a71525d2b8873fb999d1d136afe1.jpg


Kila la heri Klabu zetu Tanzania Simba SC na Yanga FC kutuwakilisha kimataifa. Kikosi cha Yanga kilikuwa kikitua mchana wa leo katika uwanja wa Jomo Kenyatta nchini Kenya tayari kwa safari kuelekea Shelisheli kwa ajili ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya St Louis FC.

Kikosi cha Simba SC kikiwa kimefika salama jioni ya leo nchini Kenya kikisubiri kuelekea nchini Djibouti tayari kuwavaa Gendamarie Internationale FC katika michuano ya Kombe la Shirikisho.

Kila la heri wawakilishi wetu wa kimataifa.
Mkude naona raundi hii kawahi ndege, alafu Mohamed Hussein hana pozi lingine la kupiga picha? Picha nyingi hilo ndio pozi lake.
 
Mkude naona raundi hii kawahi ndege, alafu Mohamed Hussein hana pozi lingine la kupiga picha? Picha nyingi hilo ndio pozi lake.
Huyu hana style nyingine sijui kwanini. Labda ndo anavyopenda

Simba SC Nguvu Moja..!
 
Back
Top Bottom