Picha: Kinachoendelea Furahisha mkutano wa CHADEMA kwa wana Mwanza

Picha: Kinachoendelea Furahisha mkutano wa CHADEMA kwa wana Mwanza

Mnamtukana sana Magufuli hii ni dharau kubwa kwa wasukuma. Na wasukuma watawapa majibu yenu kwa vitendo.

Kwa nini Chadema msingeanzia mkutano kwenu uchagani Moshi?
Kwani Chadema ni chama cha mkoa?
 
Tukitoka hapo tunakwenda kubet halafu tunatafuta vijiwe tubishane sajili za simba na yanga.

My beautiful kantre.
 
Hayati Magufuli mpenda maendeleo mnamtukana,mnasifia walamba asali wanao tuuzia kilo ya mchele sh 3800..

Ngojeni muone aibu mtakayo ipataleo.nyinyi wahuni.

Magufuli alikuwa na shamba la mpunga? Jitihada zako za kuzuia wasukuma wasiende kwenye mkutano wa CDM zitazaa matunda?
 
Mnamtukana sana Magufuli hii ni dharau kubwa kwa wasukuma. Na wasukuma watawapa majibu yenu kwa vitendo.

Kwa nini Chadema msingeanzia mkutano kwenu uchagani Moshi?

Kwahiyo magufuli aliwaambia wasukuma ni mali yake, na mwanza hawaruhusiwi watu wengine kufika? CCM mtajitahidi kujificha kwa wasukuma lakini leo mtafurahia show.
 
Mkuu Bila bila , maadam JPM alijinasibu ni Msukuma, akajitambulisha ni Msukuma wa Chato, akatambulishwa ni Msukuma, akawa rais wa JMT kama Msukuma, hadi amefariki amekufa akijulikana JPM ni Msukuma, maadam sasa hatunaye...
Hii inanikumbusha yule mkenya smart aliyewahi kuiongoza FAT akijulikana mtanzania, mwisho wa siku ukweli ukafunguka.
 
Hivi mnamdanganya Msukuma gani kwamba Magufuli alikuwa Msukuma? Msukuma gani hakuguswa na makali ya mashambulizi dhidi ya mifugo yake?
Hii dhana ya Ukabila mnayoendeleza mkiwatumia wasukuma haiwasaidii lolote maana Wasukuma hawana muda nayo.
Sukuma Gang kalikuwa kakikundi kadogo sana kalikotumia jina la kabila hilo kutafuta uungwaji mkono huku wakijinufaisha binafsi. Waangalie waanzilishi wake, Gwajima, Makonda, Mnyeti, Mpina jinsi walivyojineemesha halafu linganisha na Walichopata hao wasukuma kama kabila.
Kuhubiri ukabila hakuwafanyi CCM muungwe mkono na Wasukuma maana hakuna popote mlipowahi kuwabeba wasukuma zaidi ya kuwwtumia kwa maslahi yenu na kisha kuwatupa. Wasukuma wangapi wamepoteza mamia kwa maelfu ya mifugo yao? Wangapi kanda ya ziwa wamechomewa nyavu na mitumbwi kwa maagizo ya Mpina akiwa waziri?
Unawazuga wasukuma gani wasiojua CCM ilivyowaheuka na kuwa mwiba kwao?
Kwa hiyo Chadema ndio imekuja kuwasaidia wasukuma au?
 
Wanaambulia laana tu ya kushangilia kifo cha Magufuli.

Malipo ni hapa hapa duniani waliwatukana sana wana Mwanza walifikiri wamevuka mto
 
Acha ujinga, nani kakuambia Mwanza ni ya wasukuma? Mwanza ni ya Watanzania na uovu wa magu haukuwa wa wasukuma bali wake mwenyewe hivyo usituchanganye

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Na leo tena, endeleeni kumtukana Hayati. Msijikite kwenye hoja na solutions za kuwakwamua watanzania. Kwa aina ya genge lenu lilivyo, watanzania wanaona bora walamba asali waendelee kula kuliko kukabidhi nchi kwa hungry dogs. It may happen, ila sio kesho wala kesho kutwa.
 
Acha ujinga, nani kakuambia Mwanza ni ya wasukuma? Mwanza ni ya Watanzania na uovu wa magu haukuwa wa wasukuma bali wake mwenyewe hivyo usituchanganye

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app

Hii dhana ya kusema Jpm alikuwa akipendelea Wasukuma wenzake mlikuwa mkimaanisha Wasukuma wa mkoa gani!???

Sio nyinyi mliosema kudeka deka kwa Wasukuma kumefika mwisho kisa Godfather wao kafariki,

Sasa leo vp tena mnaanza kujibaraguza na kujipendekeza Mwanza na kuanza kukana kauli zenu!??
 
Mkuu Bila bila , maadam JPM alijinasibu ni Msukuma, akajitambulisha ni Msukuma wa Chato, akatambulishwa ni Msukuma, akawa rais wa JMT kama Msukuma, hadi amefariki amekufa akijulikana JPM ni Msukuma, maadam sasa hatunaye, naomba naomba tuendelee kumtambua JPM kuwa ni Msukuma, hata kama kuna baadhi ya watu wanajua for sure ukweli wa asili halisi ya JPM
Mimi kama mwandishi wa habari wa IJ, kwanza niliuliza humu, https://www.jamiiforums.com/threads...-ni-msukuma-mhaya-au-muha-wa-kakonko.1373311/ kisha nikafanya IJ, nilipoupata ukweli halisi, nikarejea humu JF https://www.jamiiforums.com/threads...u-tutangulize-mbele-maslahi-ya-taifa.1307125/
Hivyo hili la Magufuli na Usukuma, tuliache!.
P
Mi mwenyewe msukuma lakn nasema hakuna msukuma wa Aina ya jiwe, huyo alikuwa mrundi pure
 
JamiiForums442997317_236x211.jpg
 
Na leo tena, endeleeni kumtukana Hayati. Msijikite kwenye hoja na solutions za kuwakwamua watanzania. Kwa aina ya genge lenu lilivyo, watanzania wanaona bora walamba asali waendelee kula kuliko kukabidhi nchi kwa hungry dogs. It may happen, ila sio kesho wala kesho kutwa.
Weka hapa kipande cha audio au video ambapo kiongozi wa CHADEMA akimtukani huyo shetani wenu.
 
Back
Top Bottom