Mkuu
Bila bila , maadam JPM alijinasibu ni Msukuma, akajitambulisha ni Msukuma wa Chato, akatambulishwa ni Msukuma, akawa rais wa JMT kama Msukuma, hadi amefariki amekufa akijulikana JPM ni Msukuma, maadam sasa hatunaye, naomba naomba tuendelee kumtambua JPM kuwa ni Msukuma, hata kama kuna baadhi ya watu wanajua for sure ukweli wa asili halisi ya JPM
Mimi kama mwandishi wa habari wa IJ, kwanza niliuliza humu,
https://www.jamiiforums.com/threads...-ni-msukuma-mhaya-au-muha-wa-kakonko.1373311/ kisha nikafanya IJ, nilipoupata ukweli halisi, nikarejea humu JF
https://www.jamiiforums.com/threads...u-tutangulize-mbele-maslahi-ya-taifa.1307125/
Hivyo hili la Magufuli na Usukuma, tuliache!.
P