MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Kwani Chadema ni chama cha mkoa?Mnamtukana sana Magufuli hii ni dharau kubwa kwa wasukuma. Na wasukuma watawapa majibu yenu kwa vitendo.
Kwa nini Chadema msingeanzia mkutano kwenu uchagani Moshi?
Hayati Magufuli mpenda maendeleo mnamtukana,mnasifia walamba asali wanao tuuzia kilo ya mchele sh 3800..
Ngojeni muone aibu mtakayo ipataleo.nyinyi wahuni.
Mnamtukana sana Magufuli hii ni dharau kubwa kwa wasukuma. Na wasukuma watawapa majibu yenu kwa vitendo.
Kwa nini Chadema msingeanzia mkutano kwenu uchagani Moshi?
Sawa, kwakua Mungu ni mjomba wako siwezi kukukatalia.Nakuhakikishia hakuna baraka za Mungu kwenye kupigia debe umwisenge.
Hii inanikumbusha yule mkenya smart aliyewahi kuiongoza FAT akijulikana mtanzania, mwisho wa siku ukweli ukafunguka.Mkuu Bila bila , maadam JPM alijinasibu ni Msukuma, akajitambulisha ni Msukuma wa Chato, akatambulishwa ni Msukuma, akawa rais wa JMT kama Msukuma, hadi amefariki amekufa akijulikana JPM ni Msukuma, maadam sasa hatunaye...
Sahihi,Sahihi sanaHayati Magufuli mpenda maendeleo mnamtukana,mnasifia walamba asali wanao tuuzia kilo ya mchele sh 3800..
Ngojeni muone aibu mtakayo ipataleo.nyinyi wahuni.
Kwa hiyo Chadema ndio imekuja kuwasaidia wasukuma au?Hivi mnamdanganya Msukuma gani kwamba Magufuli alikuwa Msukuma? Msukuma gani hakuguswa na makali ya mashambulizi dhidi ya mifugo yake?
Hii dhana ya Ukabila mnayoendeleza mkiwatumia wasukuma haiwasaidii lolote maana Wasukuma hawana muda nayo.
Sukuma Gang kalikuwa kakikundi kadogo sana kalikotumia jina la kabila hilo kutafuta uungwaji mkono huku wakijinufaisha binafsi. Waangalie waanzilishi wake, Gwajima, Makonda, Mnyeti, Mpina jinsi walivyojineemesha halafu linganisha na Walichopata hao wasukuma kama kabila.
Kuhubiri ukabila hakuwafanyi CCM muungwe mkono na Wasukuma maana hakuna popote mlipowahi kuwabeba wasukuma zaidi ya kuwwtumia kwa maslahi yenu na kisha kuwatupa. Wasukuma wangapi wamepoteza mamia kwa maelfu ya mifugo yao? Wangapi kanda ya ziwa wamechomewa nyavu na mitumbwi kwa maagizo ya Mpina akiwa waziri?
Unawazuga wasukuma gani wasiojua CCM ilivyowaheuka na kuwa mwiba kwao?
Magu yule alikuwa MhutuAcha ujinga, nani kakuambia Mwanza ni ya wasukuma? Mwanza ni ya Watanzania na uovu wa magu haukuwa wa wasukuma bali wake mwenyewe hivyo usituchanganye
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Unaweweseka tu, tulia dawa ipenyeHayati Magufuli mpenda maendeleo mnamtukana,mnasifia walamba asali wanao tuuzia kilo ya mchele sh 3800..
Ngojeni muone aibu mtakayo ipataleo.nyinyi wahuni.
Wasukuma wamesaidiwa na ccm kwa kuongezewa tozo na kupandishiwa gharama za maisha,Kwa hiyo Chadema ndio imekuja kuwasaidia wasukuma au?
Na leo tena, endeleeni kumtukana Hayati. Msijikite kwenye hoja na solutions za kuwakwamua watanzania. Kwa aina ya genge lenu lilivyo, watanzania wanaona bora walamba asali waendelee kula kuliko kukabidhi nchi kwa hungry dogs. It may happen, ila sio kesho wala kesho kutwa.Acha ujinga, nani kakuambia Mwanza ni ya wasukuma? Mwanza ni ya Watanzania na uovu wa magu haukuwa wa wasukuma bali wake mwenyewe hivyo usituchanganye
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kaziacha kwa mumewe ili awahi kuja kuleta umbea na kutumiwa Bando lake mapema.Picha ziko wapi?
Acha ujinga, nani kakuambia Mwanza ni ya wasukuma? Mwanza ni ya Watanzania na uovu wa magu haukuwa wa wasukuma bali wake mwenyewe hivyo usituchanganye
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mi mwenyewe msukuma lakn nasema hakuna msukuma wa Aina ya jiwe, huyo alikuwa mrundi pureMkuu Bila bila , maadam JPM alijinasibu ni Msukuma, akajitambulisha ni Msukuma wa Chato, akatambulishwa ni Msukuma, akawa rais wa JMT kama Msukuma, hadi amefariki amekufa akijulikana JPM ni Msukuma, maadam sasa hatunaye, naomba naomba tuendelee kumtambua JPM kuwa ni Msukuma, hata kama kuna baadhi ya watu wanajua for sure ukweli wa asili halisi ya JPM
Mimi kama mwandishi wa habari wa IJ, kwanza niliuliza humu, https://www.jamiiforums.com/threads...-ni-msukuma-mhaya-au-muha-wa-kakonko.1373311/ kisha nikafanya IJ, nilipoupata ukweli halisi, nikarejea humu JF https://www.jamiiforums.com/threads...u-tutangulize-mbele-maslahi-ya-taifa.1307125/
Hivyo hili la Magufuli na Usukuma, tuliache!.
P
Weka hapa kipande cha audio au video ambapo kiongozi wa CHADEMA akimtukani huyo shetani wenu.Na leo tena, endeleeni kumtukana Hayati. Msijikite kwenye hoja na solutions za kuwakwamua watanzania. Kwa aina ya genge lenu lilivyo, watanzania wanaona bora walamba asali waendelee kula kuliko kukabidhi nchi kwa hungry dogs. It may happen, ila sio kesho wala kesho kutwa.