Aisee naona wasukuma wanalalama mno kila post ninayochungulia eti wanatukanwa wasukuma bhana walijifanya nchi yao hii enzi ya zama za mawe jaman muwe na amani mambo ya ukabila ya nn tunajenga tanzania moja mkikosolewa kubalini na mjitathimini kwenye mapungufu mrekebishe mbona cc wa pwani atuna noma viongozi wa kanda yetu wanapokosea na kukoselewa nyie akina nani kwan wasukuma msiokosea mnaolalama kila kukicha