Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani akiwa CHADEMA tatizo Nini?Acha ushamba wako. Hapo anafanya kazi kama Prof. Chadema kama taasis wame outsource mtu wa kuja ku wa mentor shida iko wapi??? Yupo hapo kama mtaalam wa finance and administration.
Kama kuwa na akili timamu na kusimamia ukweli ni kuwa CHADEMA basi kweli Prof ni CHADEMA.Kumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!
View attachment 3268101
Tatizo lipo kwa aliyeshangaa na kupandisha uzi mm sioni tatizoKwani akiwa CHADEMA tatizo Nini?
Na hii inaruhusiwa kwa muhtakabali wa malengo yetuWabongo akili zipo chadema ila matumbo yapo CCM
.Acha ushamba wako. Hapo anafanya kazi kama Prof. Chadema kama taasis wame outsource mtu wa kuja ku wa mentor shida iko wapi??? Yupo hapo kama mtaalam wa finance and administration.
Mwenzio yupo kazini, endelea kupiga domo.Kumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!
View attachment 3268101
Swali kwa nini ccm hawana akiliKumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!
View attachment 3268101
Sahihi kabisaAcha ushamba wako. Hapo anafanya kazi kama Prof. Chadema kama taasis wame outsource mtu wa kuja ku wa mentor shida iko wapi??? Yupo hapo kama mtaalam wa finance and administration.
We ulitaka hawe baba mkwe wako wa wajinga ccm.Embu achana na watu wenye heshima zao tutakutupia laana leo ukaungane na mwijakuKumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!
View attachment 3268101
Walichelewa kupata oxygen kwenye ubongo wakati wanazaliwa.Swali kwa nini ccm hawana akili